Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Viongozi wa Marekani wanyoosheana vidole vya lawama kuhusu kufedheheshwa nchi hiyo huko Afghanistan

    Viongozi wa Marekani wanyoosheana vidole vya lawama kuhusu kufedheheshwa nchi hiyo huko Afghanistan

    Aug 20, 2021 04:49

    Kufuatia kuingia tena madarakani huko Afghanistan kundi la Taliban, ambayo ni ishara ya wazi ya kushindwa vibaya kijeshi nchi hiyo ya Magharibi, Rais Joe Biden amekososlewa vikali kuhusiana na siasa zake za kuondoa askari wa nchi hiyo katika ardhi ya Afghanistan, ambapo sasa vyombo tofauti vya intelijensia na usalama vya Washington vinarushiana lawama kuhusu kadhia hiyo.

  • Al Houthi: Saudi Arabia ijifunze kutokana na kushindwa Marekani huko Afghanistan

    Al Houthi: Saudi Arabia ijifunze kutokana na kushindwa Marekani huko Afghanistan

    Aug 19, 2021 19:36

    Mjumbe wa ngazi ya juu wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia unapaswa kujifunza na kupata ibra kutokana na tajiriba ya kushindwa na kufeli Marekani huko Afghanistan.

  • Ripoti mpya kuhusu matokeo ya vita vya miaka 20 vya Marekani huko Afghanistan

    Ripoti mpya kuhusu matokeo ya vita vya miaka 20 vya Marekani huko Afghanistan

    Aug 19, 2021 19:34

    Taasisi ya Watson Institute for International and Public Affairs katika Chuo Kikuu cha Brown imetangaza katika ripoti yake mpya kwamba, Marekani imetumia dola trilioni 2.26 katika vita vyake vya miaka 20 huko Afghanistan ambavyo vilianza msimu wa mapukutiko wa mwaka 2001.

  • New York Times lafichua: CIA ilimtahadharisha Biden kuhusu mgogoro utakaozuka Afghanistan

    New York Times lafichua: CIA ilimtahadharisha Biden kuhusu mgogoro utakaozuka Afghanistan

    Aug 18, 2021 22:48

    Gazeti la New York Times limefichua kuwa, kabla wanajeshi wa Marekani hawajaondoka Afghanistan, Shirika la Ujasusi la Marekani CIA lilikuwa limeshamtahadharisha rais wa nchi hiyo Joe Biden kuhusu mgogoro utakaozuka ndani ya Afghanistan.

  • Facebook yatakiwa kufuta matangazo ya AIPAC yanayoeneza chuki dhidi ya Waislamu

    Facebook yatakiwa kufuta matangazo ya AIPAC yanayoeneza chuki dhidi ya Waislamu

    Aug 15, 2021 22:08

    Mtandao wa kijamii wa Facebook uko chini ya shinikizo yanayoutaka kuondoa matangazo yanayohujumu Uislamu na Waislamu dhidi ya mwakilishi Muislamu wa Kongesi ya Marekani Ilhan Omar, ambayo vikundi vya wanasheria vinasema yanahatarisha maisha ya mbunge huyo wa Minnesota.

  • Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Johnson akosoa uamuzi wa Marekani kuhusu Afghanistan

    Aug 15, 2021 05:31

    Sambamba na kundi la Taliban kuendelea kuteka maeneo zaidi huko Afghanistan na kuongezeka wasiwasi kuhusu mustakbali wa nchi hiyo, Boris Johnson, Waziri Mkuu wa Uingereza alisema Ijumaa kwamba hali ya Afghanistan ni mbaya mno na kwamba inatokana na uamuzi wa Rais Joe Biden wa kuondoa askari wa Marekani nchini humo.

  • Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Poland yakataa kulipa fidia kwa Marekani na Israel

    Aug 14, 2021 21:54

    Waziri Mkuu wa Poland, Mateusz Morawiecki amepinga ukosoaji uliolenga hatua ya Bunge la nchi hiyo ya kupasisha sheria mbili zinazohusiana na umiliki wa vyombo vya habari na Holocaust na kusema kuwa, hakuna uwezekano wa kuruhusu utawala wa Kizayuni wa Israel kumiliki vyombo vya habari vya Poland.

  • Billy Prempeh: Wamarekani weusi wanabaguliwa katika utoaji wa chanjo ya corona

    Billy Prempeh: Wamarekani weusi wanabaguliwa katika utoaji wa chanjo ya corona

    Aug 14, 2021 08:20

    Mgombea wa chama cha Republican katika jimbo la New Jersy katika uchaguzi wa Kongresi ya Marekani amekosoa ubaguzi unaoshuhudiwa nchini humo dhidi ya Wamarekani weusi katika utoaji wa chanjo ya corona.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja

    Umoja wa Mataifa wakosoa vikwazo vya upande mmoja

    Aug 13, 2021 04:35

    Wataalamu huru wa Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa wamesema katika taarifa iliyosambazwa Jumatano kwamba vikwazo vya upande mmoja vinavyotekelezwa kimataifa na baadhi ya nchi vimewapokonya watu wengi ulimwenguni haki yao ya kujistawisha kimaendeleo.

  • Biden azidi kupungukiwa na fahamu, mara hii amepotea njia ya kuelekea ofisini kwake White House!

    Biden azidi kupungukiwa na fahamu, mara hii amepotea njia ya kuelekea ofisini kwake White House!

    Aug 12, 2021 21:55

    Rais Joe Biden wa Marekani ameendelea kuonyesha kuwa, mbali na kuboronga katika uzungumzaji, anazidi kupungukiwa na fahamu pia baada ya kupotea njia ya kuelekea ofisini kwake katika Ikulu ya White House.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS