Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka?

    Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka?

    Apr 24, 2026 06:22

    Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limetahadharisha kuwa, vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Iran ni nukta ya kushuhudiwa mabadiliko muhimu yanayopelekea kudhoofika muungano wa Magharibi.

  • Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Apr 23, 2026 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.

  • Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Apr 22, 2026 16:24

    Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani.

  • Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?

    Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?

    Apr 22, 2026 16:08

    Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.

  • Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Apr 22, 2026 04:55

    Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita.

  • Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani

    Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani

    Apr 21, 2026 08:51

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema Tehran haitakubali kufanya mazungumzo na Washington chini ya kivuli cha vitisho.

  • Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima

    Aljazeera: Trump anatafuta njia ya kutoka vitani kwa heshima

    Apr 19, 2026 10:51

    Mwandishi wa kituo cha Aljazeera huko Washington anasema kuwa Rais Donald Trump Marekani anatafuta jinsi ya kutoka kwenye vita na Iran kwa njia ya heshima.

  • Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Wamarekani: Upungufu wa akili wa Trump umeongezeka

    Apr 19, 2026 10:39

    Mshauri wa Mkuu wa zamani mkuu wa Ikulu ya White House wakati wa muhula wa kwanza wa Donald Trump ameonya kuwa upungufu wa akili wa rais wa Marekani umeongezeka kwa kiasi kikubwa.

  • Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari

    Kinara wa Liberal Democrats Uingereza asema Trump ni jambazi fisadi na hatari

    Apr 15, 2026 08:12

    Mwanasiasa wa Uingereza amemtaja Donald Trump, rais wa Marekani, kuwa jambazi fisadi na hatari, na kusisitiza kuwa kitendo chake cha kuzingira Mlango-Bahari wa Hormuz kinaweza kuhatarisha usitishaji mapigano dhaifu kati ya Tehran na Washington.

  • Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33

    Uungaji mkono wa Wamarekani kwa utendaji wa Trump wapungua hadi asilimia 33

    Mar 31, 2026 05:41

    Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa nchini Marekani unaonyesha kuwa, kiwango cha uungaji mkono wa wananchi kwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo kwa mara nyingine tena kimepungua hadi asilimia 33 tu; huku idadi kubwa ya Wamarekani wakipinga mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS