Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Agizo la Trump la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia; Dunia inarudi kwenye mashindano ya silaha za nyuklia?

    Agizo la Trump la kuanza tena majaribio ya silaha za nyuklia; Dunia inarudi kwenye mashindano ya silaha za nyuklia?

    Oct 30, 2025 11:52

    Rais Donald Trump wa Marekani ameamuru kuanzishwa tena majaribio ya silaha za nyuklia za nchi hiyo.

  • Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?

    Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela?

    Oct 26, 2025 02:22

    Huku uwezekano wa Marekani kuishambulia Venezuela ukiongezeka, kunajitokeza swali kwamba, je hadithi ya Ghuba ya Nguruwe (Bay of Pigs) itakaririwa kuhusiana na Venezuela?

  • Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?

    Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?

    Oct 23, 2025 07:53

    Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia Al-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, ametoa wito wa kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya nchi hiyo akidai kuwa ni tishio kwa maslahi ya Washington na Baghdad.

  • Chuo Kikuu cha Arizona; Taasisi ya saba Marekani kukataa matakwa ya sera mpya ya Trump

    Chuo Kikuu cha Arizona; Taasisi ya saba Marekani kukataa matakwa ya sera mpya ya Trump

    Oct 22, 2025 02:33

    Vyuo Vikuu saba vya juu nchini Marekani vimepinga mpango tata wa "kielimu" wa Ikulu ya White House, ambao unashutumiwa kuwa ni mkakati wa kisiasa unaolenga kuwanyamazisha wapinzani na kuwaadhibu wanaoiunga mkono Palestina katika Vyuo Vikuu.

  • Trump: Ukraine haiwezi kushinda vita dhidi ya Russia

    Trump: Ukraine haiwezi kushinda vita dhidi ya Russia

    Oct 21, 2025 11:26

    Rais wa Marekani, Donald Trump amesema haitakidi kwamba Ukraine inaweza kuibuka mshinda katika vita vyake na Russia.

  • Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

    Mwakilishi wa US adai vita vya Israel dhidi ya Lebanon haviepukiki ikiwa Hizbullah haitapokonywa silaha

    Oct 20, 2025 09:40

    Tom Barrack, balozi wa Marekani nchini Uturuki na mjumbe maalumu wa masuala ya Syria, ametoa onyo la kutisha kwa Lebanon akiitaka ama iipokonye silaha Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchi hiyo Hizbulla au ikabiliwe na mashambulizi mengine ya Israel na migogoro ya kiuchumi na kisiasa.

  • Deni la umma lailemea serikali ya Marekani, wachumi washikwa na wasiwasi

    Deni la umma lailemea serikali ya Marekani, wachumi washikwa na wasiwasi

    Oct 20, 2025 02:35

    Deni la umma la Marekani limefikia kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika historia ya nchi hiyo, ambapo sasa deni hilo linatajwa kufika trilioni 37.9.

  • NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    NAM yaonya kuhusu chokochoko za Washington; Je, Marekani iko mbioni kushambulia Venezuela?

    Oct 19, 2025 02:40

    Wakati ripoti zikionyesha kuwa Pentagon inatayarisha machaguo ya kijeshi dhidi ya Venezuela, Jumuiya ya Nchi Zisizofungamana na Siasa za Upande Wowote (NAM), ambayo inaundwa na zaidi ya nchi 120, imeonya kwamba shambulio lolote dhidi ya nchi hiyo ya Amerika Kusini litakuwa ukiukaji wa wazi wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.

  • Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Taa ya kijani ya Trump kwa Israel; Je vita vya Gaza vitaanza tena?

    Oct 18, 2025 02:29

    Rais Donald Trump wa Marekani ameionyesha Israel taa ya kijani ili ianzishe tena vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Putin amuonya Trump kuhusu kuipa Ukraine makombora ya Tomahawk

    Putin amuonya Trump kuhusu kuipa Ukraine makombora ya Tomahawk

    Oct 17, 2025 07:05

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amemuonya Rais wa Marekani, Donald Trump katika mazungumzo yao ya simu kwamba, kuipa Ukraine makombora ya masafa marefu ya Tomahawk kutaharibu zaidi uhusiano kati ya Moscow na Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS