-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya maadui, mkijaribu mtashindwa tena
May 15, 2026 09:48Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amezionya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu kuanzisha tena hatua mpya za kijeshi dhidi ya Iran, akisema kuwa makabiliano ya awali yalishindwa kufikia malengo yaliyokusudiwa, na kwamba jaribio lolote la baadaye litakuwa na matokeo yaleyale.
-
Pezeshkian: Mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya viwanja vya michezo yafichua uadui kwa heshima ya Iran
May 15, 2026 06:06Rais Masoud Pezeshkian wa Iran amesema kuwa kulengwa kwa viwanja vya michezo na miundombinu ya umma na Marekani pamoja na Israel wakati wa vita vya uchokozi kumefichua uadui wa washambuliaji hao dhidi ya heshima, furaha na fahari ya taifa la Iran.
-
China yaionya Marekani kuhusu mauzo ya silaha kwa Taiwan
May 14, 2026 03:20China kwa mara nyingine tena imepinga vikali hatua ya Marekani kuzidisha himaya na uungaji mkono wake wa kijeshi kwa Taiwan sambamba na ziara ya Rais Trump mjini Beijing.
-
Viongozi wa dini wafanya maandamano ya amani ya 'Moral Monday' mjini Washington kulaani 'vita visivyo vitakatifu' vya Trump
May 13, 2026 12:11Viongozi wa imani za dini walifanya maandamano ya amani ya Jumatatu ya Maadili (Moral Monday) nje ya Ikulu ya White House dhidi ya 'vita visivyo vitakatifu' katika eneo la Asia Magharibi.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Msimamo wa Marekani ndio kikwazo kikuu kumaliza vita
May 13, 2026 02:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amesema kuwa msimamo wa Marekani wa kutaka masharti ya kupita kiasi pamoja na mienendo yake mingine inayodhoofisha juhudi za diplomasia ndiyo vizuizi vikuu vya kumaliza mzozo uliozuka kufuatia vita dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Uchunguzi wa Maoni: Wamarekani waliowengi wanasema Trump hakuwa na hoja ya wazi ya vita dhidi ya Iran
May 12, 2026 09:12Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa asilimia 66 Wamarekani wanaamini kuwa Rais Donald Trump ameshindwa kutoa hoja iliyo wazi kuhusu vita vya kichokozi vya na Marekani na Israel dhidi ya Iran. Aidha Wamarekani waliwengi wanasema wamekumbwa na hali ngumu ya kifedha kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta baada ya mashambulizi hayo.
-
Sera ya US ya Mwiko wa Kutosema Chochote Kuhusu Silaha za Nyuklia ya Israel Inamomonyoka?
May 09, 2026 13:08Katika hali isiyo ya kawaida na ya nadra kuwahi kushuhudiwa, wajumbe 29 wa Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua Waziri wa Mambo ya Nje Marco Rubio wakiitaka Washington ifichue na kuweka hadharani mpango wa silaha za nyuklia wa Israel. Barua hiyo inataka kukomeshwa sera ya kiitwacho "kimya rasmi" kuhusu uwezo wa nyuklia wa Israel.
-
New York Times: Gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran ni trilioni kadhaa
May 09, 2026 09:51Justin Wolfers, profesa wa uchumi katika Chuo Kikuu cha Michigan, katika makala ya New York Times, amekadiria gharama ya vita vya Marekani dhidi ya Iran kuwa trilioni kadhaa za dola.
-
Mbunge Ulaya atoa wito wa uchunguzi kuhusu mauaji ya wanafunzi wa shule ya Minab
May 09, 2026 09:12Mwakilishi wa Bunge la Ulaya ametoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mauaji yaliyofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wasichana wa Shule ya Msingi ya Minab kusini mwa Iran, akisema huenda yalikuwa shambulio la kupangwa.
-
Msemaji wa zamani wa Pentagon: Majenerali wa Marekani wana hofu kubwa kuhusu vita dhidi ya Iran
May 09, 2026 08:08Msemaji wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) amefichua kuwa: Majenerali waandamizi wa jeshi la nchi hiyo wana hofu kubwa kuhusu kuzungumzia vita vya maafa dhidi ya Iran.