Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yatangaza wajumbe wa iitwayo 'Bodi ya Amani' ya Ghaza, yumo pia Tony Blair

    Marekani yatangaza wajumbe wa iitwayo 'Bodi ya Amani' ya Ghaza, yumo pia Tony Blair

    Jan 18, 2026 02:39

    Ikulu ya White House imetangaza majina ya wajumbe wa linaloitwa baraza la amani litakaloongozwa na Rais wa Marekani Donald Trump na kusimamia utawala wa eneo la Palestina la Ukanda wa Ghaza. Orodha hiyo inajumuisha waziri wa mambo ya nje wa Marekani Mark Rubio, mjumbe maalumu wa Trump Steve Witkoff, mkwe wa Trump Jared Kushner, na waziri mkuu wa zamani wa Uingereza Tony Blair.

  • Onyo la Iran kwa Marekani; Usirudie tena vita vilivyofeli vya siku 12

    Onyo la Iran kwa Marekani; Usirudie tena vita vilivyofeli vya siku 12

    Jan 18, 2026 02:37

    Tehran imemuonya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu kukariri uzoefu uliofeli wakati wa vita vya siku 12 vya utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran.

  • Imam Khamenei: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja/ Lengo la Marekani ni kuimeza Iran

    Imam Khamenei: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja/ Lengo la Marekani ni kuimeza Iran

    Jan 17, 2026 13:45

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema Iran inamtambua Rais wa Marekani, Donald Trump, kama mhusika mkuu wa mauaji na uharibifu katika ghasia za hivi karibuni hapa nchini.

  • Kwa nini Wamarekani waliowengi wanapinga wazo la Marekani kuimiliki Greenland?

    Kwa nini Wamarekani waliowengi wanapinga wazo la Marekani kuimiliki Greenland?

    Jan 16, 2026 15:20

    Utafiti mpya wa maoni unaonyesha kuwa Wamarekani wengi wanapinga vikali wazo la kuihodhi Greenland.

  • Iran: US, Israel ziliwapa silaha, fedha wafanya ghasia nchini

    Iran: US, Israel ziliwapa silaha, fedha wafanya ghasia nchini

    Jan 16, 2026 02:54

    Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema Marekani na Israel zilipanga na kufanikisha ghasia zilizoshuhudiwa hapa nchini hivi karibuni, zikielekeza silaha na pesa taslimu kuchochea vurugu na uvunjifu wa utulivu, ikiwa ni sehemu ya mpango mpana wa kuibua mgawanyiko na mifarakano katika taifa hili.

  • Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?

    Nini lengo la mchezo wa takwimu wa Trump kuhusu waliofariki katika ghasia za Iran?

    Jan 15, 2026 10:34

    Ikiwa ni katika fremu ya uingiliaji wake katika masuala ya ndani ya Iran, Rais Donald Trump wa Marekani amezindua sarakasi mpya ya takwimu kuhusu Iran.

  • Haki za binadamu za Kimarekani; Risasi ndani, madai ya haki za binadamu nje ya nchi

    Haki za binadamu za Kimarekani; Risasi ndani, madai ya haki za binadamu nje ya nchi

    Jan 15, 2026 05:11

    Kufuatia kifo cha raia wa Marekani aliyepigwa risasi na maafisa wa uhamiaji, maandamano yamekuwa yakiendelea katika majimbo mengi ya Marekani.

  • Kwa nini Pakistan imekosoa msimamo wa Trump kuhusu machafuko nchini Iran?

    Kwa nini Pakistan imekosoa msimamo wa Trump kuhusu machafuko nchini Iran?

    Jan 14, 2026 07:21

    Pakistan imekosoa msimamo wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu machafuko yanayochochewa na nchi za Magharibi nchini Iran.

  • Larijani: Trump ndiye 'muuaji mkubwa zaidi' wa Wairani

    Larijani: Trump ndiye 'muuaji mkubwa zaidi' wa Wairani

    Jan 14, 2026 06:46

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) amelaani vitisho vya Rais wa Marekani Donald Trump dhidi ya taifa hili, akimtaja mwanasiasa huyo kama mmoja wa wauaji wakubwa zaidi wa Wairani.

  • Afrika yakosoa hatua ya Trump ya kuiondoa US katika taasisi za kimataifa

    Afrika yakosoa hatua ya Trump ya kuiondoa US katika taasisi za kimataifa

    Jan 14, 2026 06:45

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika (AU), Mahmoud Ali Youssouf ametoa wito wa kuimarishwa mifumo ya pande nyingi ili kushughulikia changamoto za kimataifa, siku chache baada ya Marekani kuchukua uamuzi wa upande mmoja wa kujiondoa katika taasisi mbalimbali za kimataifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS