Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Shambulizi la anga la Marekani huko Syria, nembo ya kupenda vita ya serikali ya Biden

    Feb 27, 2021 05:37

    Mwaka 2014 Marekani ilituma majeshi yake kinyume cha sheria nchini Syria kwa kisingizio cha kupambana na kundi la kigaidi la Daesh na majeshi hayo yamebakia nchini humo hadi sasa licha ya wito wa mara kwa mara wa serikali ya Damascus wa kutaka kuondoka majeshi hayo vamizi katika ardhi yake.

  • Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel

    Feb 26, 2021 23:15

    Utata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.

  • Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni ukiukaji wa kanuni na sheria za kimataifa

    Russia: Mashambulio ya Marekani Syria ni ukiukaji wa kanuni na sheria za kimataifa

    Feb 26, 2021 09:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia imelaani mashambulizi ya usiku wa kuamikia leo ya Marekani huko Syria na kuyataja kuwa ni kinyume na kanuni na sheria za kimataifa.

  • Marekani yashambulia makundi yanayopambana na ugaidi mpakani mwa Iraq na Syria

    Marekani yashambulia makundi yanayopambana na ugaidi mpakani mwa Iraq na Syria

    Feb 26, 2021 04:30

    Jeshi la Marekani kwa amri ya Rais Joe Biden limefanya mashambulizi ya anga yaliyolenga kambi za makundi ya muqawama yanayopambana na magenge ya kigaidi katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Malaki wameuawa katika operesheni za kijeshi za Marekani duniani

    Feb 26, 2021 04:27

    Mamia ya maelfu ya watu wameuawa kutokana na uingiliaji wa kijeshi wa Marekani katika nchi mbalimbali duniani, tangu yalipojiri mashambulizi ya Septemba 11.

  • FBI yakiri kufanya uzembe na kuruhusu kuvamiwa jengo la Bunge nchini Marekani

    FBI yakiri kufanya uzembe na kuruhusu kuvamiwa jengo la Bunge nchini Marekani

    Feb 25, 2021 23:20

    Mkuu wa muda wa polisi ya Congress ya Marekani amekiri kwamba chombo hicho kilifanya uzembe kwa kuruhusu magenge ya rais wa zamani wa nchi hiyo, Donald Trump, kuvamia jengo la bunge na kufanya mauaji na uharibifu ndani yake.

  • 'Kulifufua genge la kigaidi la Daesh ndilo lengo la kiistratijia la Marekani'

    'Kulifufua genge la kigaidi la Daesh ndilo lengo la kiistratijia la Marekani'

    Feb 25, 2021 23:20

    Mbunge wa zamani wa Lebanon amesisitiza kuwa, suala la kulifufua genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ndilo lengo la kiistratijia la Marekani kwani inaamini kwamba genge hilo ni turufu ya kufanikisha malengo yake haramu katika eneo hili.

  • Wananchi Marekani hawaridhishwi serikali yao kupuuza suala la umaskini

    Wananchi Marekani hawaridhishwi serikali yao kupuuza suala la umaskini

    Feb 25, 2021 00:20

    Utafiti mpya wa maoni nchini Marekani unaonyesha kuwa, akthari ya wananchi hawaridhishwi na hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kupuuza vita dhidi ya umaskini, kuboresha huduma za afya na elimu.

  • Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake

    Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake

    Feb 23, 2021 23:11

    Baada ya kupita mwaka mmoja sasa tangu kulipotokea mlipukowa ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani na kufeli kwa serikali ya nchi hiyo katika kukabiliana na janga hilo, sasa idadi ya wahanga wa corona imepindukia watu nusu milioni kwa kadiri kwamba, Rais Joe Biden amemuru bendera za nchi hiyo zipepee nusu mlingoti.

  • Caracas yajibu vikwazo vya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Venezuela

    Caracas yajibu vikwazo vya Marekani na waitifaki wake dhidi ya Venezuela

    Feb 23, 2021 09:40

    Viongozi wa Caracas wamelaani "vita vya kiuchumi vya pande kadhaa" za Umoja wa Ulaya na Marekani dhidi ya Venezuela.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS