Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Hizbullah yasema itaendelea kusimama na Iran mkabala wa Marekani

    Hizbullah yasema itaendelea kusimama na Iran mkabala wa Marekani

    Feb 21, 2021 04:12

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama itaendelea kusimama bega kwa bega na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kukabiliana na Marekani.

  • Trump aliacha kwa makusudi maambukizo ya corona yaongezeke Marekani baada ya kubwagwa katika uchaguzi

    Trump aliacha kwa makusudi maambukizo ya corona yaongezeke Marekani baada ya kubwagwa katika uchaguzi

    Feb 21, 2021 00:44

    Mkurugenzi wa Taasisi ya Taifa la Magonjwa ya Kuambukiza ya nchini Marekani amesema kuwa, rais wa zamani wa nchi hiyo Donald Trump aliacha kwa makusudi maambukizo ya ugonjwa wa COVID-19 yaongezeke nchini humo baada ya kubwagwa katika uchaguzi wa Novemba 3, 2020.

  • Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Morocco yashadidisha ukandamizaji baada ya kuanzisha uhusiano na Israel

    Feb 20, 2021 09:15

    Serikali ya Morocco imeshadidisha mbinyo, ukandamizaji na ukiukaji wa haki za binadamu dhidi ya wanaharakati na wananchi wa kawaida nchini humo, baada ya Rabat kukubaliana na utawala wa Kizayuni wa Israel kuanzisha uhusiano wa pande mbili.

  • Khatibzadeh: Ili kuhuisha JCPOA, ni dharura Marekani kuondoa kivitendo vikwazo dhidi ya Iran

    Khatibzadeh: Ili kuhuisha JCPOA, ni dharura Marekani kuondoa kivitendo vikwazo dhidi ya Iran

    Feb 19, 2021 23:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema njia pekee ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya Iran.

  • Wabunge wa Iraq wataka uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo ukomeshwe

    Wabunge wa Iraq wataka uingiliaji wa Marekani katika masuala ya nchi hiyo ukomeshwe

    Feb 19, 2021 10:33

    Wabunge kadhaa wa Iraq wametoa indhari kuhusu uingiliaji wa Marekani hasa katika kadhia ya uchaguzi ujao wa bunge na katika masuala ya kijeshi na kiusalama ya nchi hiyo.

  • Biden akiri, ubaguzi wa rangi unaendelea kuitafuna jamii ya Marekani

    Biden akiri, ubaguzi wa rangi unaendelea kuitafuna jamii ya Marekani

    Feb 19, 2021 04:38

    Ubaguzi wa rangi, ubaguzi wa kimbari na ukatili dhidi ya watu weusi daima vimekuwa miongoni mwa sifa kuu za jamii ya Marekani tangu nchi hiyo ilipoasisiwa, na hadi sasa Wamarekani weusi wangali wanasumbuliwa na aina mbalimbali za ubaguzi na ukatili.

  • Soko la bakaroa bandia dhidi ya corona lagunduliwa Marekani

    Soko la bakaroa bandia dhidi ya corona lagunduliwa Marekani

    Feb 18, 2021 06:27

    Maafisa wa afya nchini Marekani wameripoti kuwa, barakoa bandia milioni 11 zimenaswa nchini humo sambamba na nchi hiyo kuendelea kukabiliwa na uhaba mkubwa wa barakoa.

  • Trump azungumza kwa mara ya kwanza ya vyombo vya habari baada ya kuondoka White House, asema Biden ana matatizo ya kiakili

    Trump azungumza kwa mara ya kwanza ya vyombo vya habari baada ya kuondoka White House, asema Biden ana matatizo ya kiakili

    Feb 18, 2021 04:29

    Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amevishambulia vikali vyombo vya habari katika mazungumzo yake ya kwanza na vyombo vya habari baada ya kuondoka White House akimtuhumu rais wa sasa wa nchi hiyo, Joe Biden kuwa ana matatizo ya kiakili.

  • Nukta kadhaa za kuzingatiwa katika shambulio la makombora la Arbil, Iraq

    Nukta kadhaa za kuzingatiwa katika shambulio la makombora la Arbil, Iraq

    Feb 17, 2021 23:06

    Shambulio la makombora lililofanyika Jumatatu usiku karibu na uwanja wa ndege wa kimataifa wa Arbil huko Iraq lilipelekea mtu mmoja kupoteza maisha na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Hofu ya kushadidi matatizo ya kiuchumi na kijamii nchini Marekani

    Hofu ya kushadidi matatizo ya kiuchumi na kijamii nchini Marekani

    Feb 15, 2021 23:09

    Katika miaka ya hivi karibuni, hali ya kiafya na tiba nchini Marekani daima imekuwa ikizorota na kuvurugika zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS