-
Reuters: Marekani na Ulaya 'zinaiba dhahabu Afrika' kupitia Imarati
Apr 24, 2019 23:50Uchunguzi uliofanywa na shirika la habari la Reuters umefichua kuwa, tani za dhahabu zenye thamani ya mabilioni ya dola zinasafirishwa kila mwaka kwa njia za magendo kutoka Afrika kuelekea Marekani na nchi za Ulaya, huku Umoja wa Falme za Kiarabu ukitajwa kuwa lango kuu la biashara hiyo haramu.
-
Rouhani: Njama za Marekani dhidi ya Iran zitashindwa + Video
Apr 24, 2019 09:30Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Wamarekani katika kipindi cha miaka 40 sasa wamekuwa wakipanga njama kila siku dhidi ya taifa la Iran na katika muda huo wote wamekuwa wakishindwa."
-
Zarif: Wasiwasi na kukata tamaa, sababu za Marekani kushadidisha vikwazo dhidi ya Iran
Apr 23, 2019 23:37Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uamuzi wa Marekani wa kushadidisha ugaidi wa kiuchumi dhidi ya taifa hili umetokana na wasiwasi na kukata tamaa utawala huo wa kibeberu.
-
Jeshi la Marekani linawaruhusu wanachama wa Daesh waingie Afghanistan
Apr 23, 2019 09:45Ripoti mpya imefichua kuwa, jeshi la Marekani limekuwa likiwaruhusu wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) pamoja na silaha zao kuingia nchini Afghanistan.
-
IRGC: Ikibidi, Iran itafunga lango bahari la Hormuz
Apr 23, 2019 09:40Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema lango bahari la Hormuz ni njia ya kimataifa ya majini na kwamba Iran haitakuwa na chaguo jingine ghairi ya kulifunga lango hilo la kistratajia iwapo itazuiwa kulitumia.
-
Marekani yatishia kuiwekea Uturuki vikwazo vipya ikinunua mfumo wa makombora wa S-400 kutoka Russia
Apr 23, 2019 02:32Uhusiano wa Marekani na Uturuki umekumbwa na msuguano mkubwa hasa baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli ya Julai 2016. Baada ya Uturuki kusambaratisha mapinduzi hayo, ilisema kuwa Marekani ilihusika katika njama hiyo na kwa msingi huo uhusiano wa nchi hizo mbili uliingia baridi.
-
Balozi wa Ufaransa Washington: Mpango wa Marekani wa muamala wa Karne umeshindwa zamani
Apr 22, 2019 22:52Balozi wa Ufaransa mjini Washington amesisitiza kuwa, kuna asilimia 99 ya uwezekano wa kufeli mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne" wa eti kutatua mgogoro wa Palestina na Israel.
-
Radiamali ya Wademocrats dhidi ya uungaji mkono wa Rais Donald Trump kwa jenerali Khalifa Haftar
Apr 22, 2019 02:42Nchi yenye utajiri wa mafuta ya Libya ambayo kijiografia ipo kaskazini mwa Afrika, imekuwa ikishuhudia vurugu, machafuko na vita vya ndani tangu mwaka 2011.
-
Seneta wa Marekani ataka Trump ang'olewe madarakani
Apr 21, 2019 21:06Seneta wa chama cha Democrats nchini Marekani ametoa mwito wa kuanzishwa mchakato wa kuuzuliwa Rais Donald Trump wa nchi hiyo.
-
Meja Jenerali Baqeri: IRGC imefelisha njama za Marekani dhidi ya Iran kwa miaka 40
Apr 21, 2019 09:37Mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema wanafikra wakubwa ndani ya utawala wa Marekani wameshindwa sambamba na njama zao kufeli mkabala wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika kipindi chote cha miaka 40 iliyopita.