-
Gaidi mmoja Mmarekani auawa kaskazini mwa Iraq
Apr 21, 2019 02:09Duru za habari zimeripoti kuwa mwanajeshi mmoja gaidi wa Marekani ameuawa kaskazini mwa Iraq.
-
Korea Kaskazini: Matamshi ya Bolton kuhusu duru ya tatu ya mazungumzo ni ya kipumbavu
Apr 20, 2019 08:43Korea Kaskazini imeyataja kama ya kipumbavu matamshi ya John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa katika Ikulu ya White House ya Marekani, ambaye hivi karibuni alisema kuwa uwezekano wa kufanyika duru ya tatu ya mazungumzo kati ya nchi mbili hizo ni mdogo.
-
Marekani yazidisha mashinikizo dhidi ya Venezuela kwa kuiwekea vikwazo Benki Kuu ya nchi hiyo
Apr 19, 2019 03:18Ikiwa ni katika kuzidisha mashinikizo ya Marekani dhidi ya Venezuela, John Bolton, Mshauri wa Usalama wa Taifa wa Marekani amesema kuwa nchi hiyo imeiweka Benki Kuu ya Venezuela katika orodha ya vikwazo ya Washington.
-
Malalamiko ya pamoja ya nchi za dunia dhidi ya siasa za vikwazo za Marekani
Apr 17, 2019 01:45Ikiwa ni katika kuendeleza siasa zake za kibeberu, hivi sasa Washington imeongeza kasi kubwa ya kuziwekea vikwazo vya kiholela nchi mbalimbali duniani.
-
EU yatakiwa kupinga njama za Marekani dhidi ya Wapalestina "Muamala wa Karne"
Apr 16, 2019 09:45Viongozi na wanasiasa waandamizi wa zamani wa Ulaya wameuandikia barua Umoja wa Ulaya, wakiuasa usikubali kuunga mkono mpango wa Marekani wenye njama dhidi ya Wapalestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".
-
Kiongozi Muadhamu: Baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni
Apr 15, 2019 10:13Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, baadhi ya viongozi wa nchi za Kiislamu hawafanyii kazi maamrisho ya Qur'ani na ni vibaraka wa Marekani na Wazayuni.
-
Sheikh Naim Qassim: Marekani haina ubavu wa kukabiliana na mhimili wa muqawama
Apr 15, 2019 10:12Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, Marekani inataka kuupigisha magoti mhimili wa muqawama na kuufanya usalimu amri kupitia vikwazo vya kiuchumi, lakini inajidanganya kwani wananchi wa Lebanon katu hawatasalimu amri na muqawama utaendelea.
-
Zarif: Hatua ya Marekani dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni hatari
Apr 14, 2019 12:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amesema hatua isiyo ya kawaida ya Marekani dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu itakuwa na matokeo hatari sana.
-
Brigedia Jenerali Salami: Marekani imechukua hatua ya kipumbavu dhidi ya IRGC
Apr 14, 2019 02:58Naibu Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, uamuzi wa Marekani wa kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika orodha ya makundi yake ya kigaidi ni wa kipumbavu na usio kuwa na maana.
-
Hamas: Serikali mpya ya Abbas itasahilisha utekelezaji wa "Muamala wa Karne"
Apr 14, 2019 02:56Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas imekosoa uundwaji wa serikali mpya Palestina inayotawaliwa na wanachama wa chama chake cha Fath, ikisisitiza kuwa serikali ya namna hiyo itawepesisha utekeleza wa njama za Marekani dhidi ya Wapalestina zilizopewa jina "Muamala wa Karne".