Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani inazidi kudhoofika kimataifa, Russia na China zinaimarika

    Marekani inazidi kudhoofika kimataifa, Russia na China zinaimarika

    Dec 16, 2018 23:09

    Mchambuzi na mtaalamu maarufu wa masuala ya kisiasa wa chama cha Republican amekiri kuwa Marekani inazidi kudhoofika katika uga wa kimataifa.

  • Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Marekani na waitifaki wake; wabebaji dhima na masuulia ya matatizo ya Mashariki ya Kati

    Dec 14, 2018 13:17

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Si Iran, bali ni Marekani na waitifaki wake ndio wahusika na wabeba dhima ya masaibu na matatizo yaliyolikumba eneo la Mashariki ya Kati, kuanzia yale yaliyosababishwa na Saddam mpaka yaliyoletwa na kundi la kigaidi la DAESH (ISIS).

  • Zarif: Nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unaendelea kufifia

    Zarif: Nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unaendelea kufifia

    Dec 14, 2018 12:31

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema jitihada za Rais Donald Trump za kuzishurutisha nchi nyingine zisifanye biashara na Tehran zinaonesha bayana namna uwezo, nguvu na ushawishi wa Marekani duniani unavyofifia na kudhoofika siku baada ya nyingine.

  • Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Msimamo makini wa Russia, wa kupinga JCPOA kuhusishwa na masuala mengine ya Iran

    Dec 13, 2018 23:12

    Baada ya Marekani kujitoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA mnamo mwezi Mei mwaka huu wa 2018, kila mara imekuwa ikijaribu kufanya kila njia kuzishusisha shughuli za nyuklia za Iran na masuala mengine, ili kutetea na kuhalalisha uamuzi wake wa kujitoa kwenye makubaliano hayo.

  • Miaka 40 baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, Wamarekani bado wako kwenye ndoto

    Miaka 40 baada ya Mapinduzi ya Kiislamu, Wamarekani bado wako kwenye ndoto

    Dec 13, 2018 03:51

    Sambamba na kutimia miaka 40 tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran, uhasama na uadui wa Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu umefikia kileleni.

  • Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China

    Marekani yachukua mateka katika vita vyake vya kibiashara na China

    Dec 12, 2018 22:58

    Baada ya Donald Trump kuingia madarakani kama rais wa Marekani Januari mwaka 2017, amekuwa akifuatilia sera hasimu na zenye utata kuhusu China na hivyo kuwaibulia wakuu wa China changamoto kadhaa. Moja ya sera ambazo Trump ametekeleza ni kuongeza ushuru wa forodha kwa bidhaa kutoka China na kwa njia hiyo kutangaza rasmi vita vya kibiashara dhidi ya China.

  • China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    China yarudisha mapigo, yapiga marufuku simu za iPhone

    Dec 12, 2018 09:02

    Kampuni ya Apple ya Marekani imepata pigo kubwa baada ya mahakama moja ya China kupiga marufuku uuzaji wa simu za iPhone nchini Uchina.

  • Rouhani: Iran inaendelea kuuza mafuta yake duniani hata baada ya vikwazo vya Marekani

    Rouhani: Iran inaendelea kuuza mafuta yake duniani hata baada ya vikwazo vya Marekani

    Dec 11, 2018 12:27

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema uuzaji mafuta ghafi ya petroli ya Iran katika soko la dunia unaendelea hata baada ya kuanza kutekelezwa awamu ya pili ya vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ambavyo vilianza Novemba Nne.

  • Nchi zaidi ya 150 zapasisha Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri licha ya upinzani wa Marekani

    Nchi zaidi ya 150 zapasisha Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri licha ya upinzani wa Marekani

    Dec 10, 2018 11:46

    Zaidi ya nchi 150 duniani zimeunga mkono rasmi Mkataba wa Kimataifa wa Wahajiri katika mkutano unaofanyika nchini Morocco licha ya upinzani mkubwa wa Marekani.

  • Onyo la Jean-Yves Le Drian kwa Donald Trump: Acha kuingilia mambo ya ndani ya Ufaransa

    Onyo la Jean-Yves Le Drian kwa Donald Trump: Acha kuingilia mambo ya ndani ya Ufaransa

    Dec 09, 2018 23:30

    Jean-Yves Le Drian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni ya Ufaransa amemuonya Rais Donald Trump wa Marekani na kumtaka aache kuingilia masuala ya ndani ya Ufaransa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS