-
China yaionya Canada kuhusu kumpeleka Marekani mkuu wa Huawei
Dec 09, 2018 03:51Serikali ya China imetoa onyo kali na kuitaka Canada imuachie huru mara moja mkuu wa shirika kubwa la mawasiliano la Huawei na isithubutu kumkabidhi kwa wakuu wa mahakama za Marekani.
-
Jitihada za Marekani za kuzuia maendeleo ya teknolojia ya China
Dec 08, 2018 23:22Tangu alipochukua madaraka, Rais Donald Trump wa Marekani ameisababishia China changamoto mbalimbali. China inahesabiwa kuwa nguvu kubwa zaidi ya pili ya kiuchumi duniani.
-
Marekani yaendeleza umwagaji damu Syria, yaua watu 8 wa familia moja
Dec 07, 2018 20:55Muungano wa eti kupambana na magaidi wa Daesh unaoongozwa na Marekani umeendelea kufanya mashambulizi yake ya anga katika mkoa wa mashariki wa Deir ez-Zor nchini Syria na kuua raia wengi.
-
Pigo la kihistoria kwa Marekani katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika mwaka wa kwanza wa uamuzi wa Trump dhidi ya Quds
Dec 07, 2018 20:52Muswada uliokuwa umependekezwa na Marekani dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa haukupasishwa na kumfanya Nikki Haley, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ashuhudie pigo la kihistoria dhidi ya nchi yake katika siku zake hizi za mwisho za majukumu yake katika umoja huo.
-
Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN
Dec 07, 2018 11:07Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani
Dec 07, 2018 11:03Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameeleza namna nchi hiyo inavyojuta kwa namna ilivyoamiliana vizuri na Marekani huko nyuma, akisisitiza kuwa Islamabad haitaendelea kuwa kibaraka wa Washington.
-
Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao
Dec 06, 2018 11:20Shirika la habari la Associated Press limevujisha data za serikali ya Washington zinazoonesha kuwa, Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico ndani ya miezi michache iliyopita.
-
Qassemi: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani
Dec 06, 2018 03:59Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Marekani imeanzisha makundi katika maeneo mbalimbali ya dunia hususan katika nchi jirani na Iran kwa shabaha ya kuzuia ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi hizo na Tehran, lakini Jamhuri ya Kiislamu itavuka salama kipindi cha sasa.
-
Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika
Dec 05, 2018 12:58Tovuti ya habari ya Intercept imefichua habari za kuwepo kambi za kijeshi za siri za Marekani katika nchi kadhaa za Afrika.
-
Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya
Dec 05, 2018 12:54Serikali ya Marekani imeitaarifu rasmi Russia uamuzi wa kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).