Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Misimamo na hatua za upande mmoja za Trump; hatari kwa jamii ya kimataifa

    Misimamo na hatua za upande mmoja za Trump; hatari kwa jamii ya kimataifa

    Oct 18, 2018 05:51

    Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa jamii ya kimataifa inapasa kwa uchache kukabiliana na hatua za Marekani za kukiuka na kuvunja sheria ili kulinda heshima yake.

  • Qassemi: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria za kimataifa

    Qassemi: Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria za kimataifa

    Oct 17, 2018 23:48

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran ni kuvunjia heshima sheria na kanuni za kimataifa na hilo linatokana na chuki ya serikali ya Washington kwa taifa hili la Kiislamu.

  • Waziri wa Mafuta wa Iran: Marekani lazima iondoe vikwazo ili bei ya mafuta ishuke

    Waziri wa Mafuta wa Iran: Marekani lazima iondoe vikwazo ili bei ya mafuta ishuke

    Oct 17, 2018 00:48

    Bijan Namdar Zangeneh, Waziri wa Mafuta wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itaiondolea vikwazo Iran, bei ya mafuta katika soko la dunia itapungua na hali ya kuvurugika uthabiti iliyopo katika soko hilo hivi sasa itaondoka.

  • Ongezeko la nakisi ya bajeti ya Marekani ambalo halijawahi kushuhudiwa; matokeo ya siasa za Donald Trump

    Ongezeko la nakisi ya bajeti ya Marekani ambalo halijawahi kushuhudiwa; matokeo ya siasa za Donald Trump

    Oct 17, 2018 00:47

    Tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie katika ikulu ya White House na kushika hatamu za uongozi wa nchi hiyo, alidai kwamba, atatanguliza mbele sera na hatua zitakazokuza uchumi wa nchi yake pamoja na ajira sambamba na kuimarisha uwezo wa kijeshi wa Washington.

  • Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Tuhuma na maneno makali ya Trump dhidi ya China

    Oct 16, 2018 03:58

    Uhusiano wa Marekani na China umekumbwa na misukosuko na panda shuka mbalimbali baada ya kuingia madarakani Donald Trump huko Marekani. Washington na Beijing zinahitilafiana katika masuala mengi ya kisiasa, kibiashara, kiuchumi, kijeshi, kiusalama na kiistratijia.

  • Rais Rouhani: Marekani haitadumu kwa muda mrefu katika siasa zake dhidi ya Iran

    Rais Rouhani: Marekani haitadumu kwa muda mrefu katika siasa zake dhidi ya Iran

    Oct 15, 2018 23:36

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kwa mipango makini iliyoandaliwa, Marekani haitaweza kudumu kwa muda mrefu katika sera na siasa zake zilizo dhidi ya Iran.

  • Shirika la Marekani lakiri kuhusu kubakwa wasichana Liberia

    Shirika la Marekani lakiri kuhusu kubakwa wasichana Liberia

    Oct 15, 2018 23:35

    Shirika moja la kutoa misaada ya kibinadamu la Marekani limekiri kuwa wasichana wa shule inayosimamiwa na shirika hilo walibakwa na muasisi wake na kufanyiwa jinai nyingine za kingono.

  • Sakata la kutekwa MO Dewji: Familia kutoa Sh1 bilioni kwa atakayetoa taarifa za alipo bilionea huyo

    Sakata la kutekwa MO Dewji: Familia kutoa Sh1 bilioni kwa atakayetoa taarifa za alipo bilionea huyo

    Oct 15, 2018 10:32

    Familia ya bilionea aliyetekekwa nyara nchini Tanzania Mohammed Dewji imevunja ukimya na kusema kuwa, itatoa kitita cha Sh1 bilioni kama zawadi kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kupatikana kwa bilionea huyo.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran aonya kuhusu kuibuka 'Hitler' wapya

    Waziri wa Ulinzi wa Iran aonya kuhusu kuibuka 'Hitler' wapya

    Oct 15, 2018 10:11

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametahadharisha kuwa, iwapo dunia itaendelea kufumbia macho ukiukwaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na baadhi ya madola ya kibeberu, basi ijiandae kushuhudia watawala madikteta na makatili kama Adolf Hitler, kiongozi wa zamani wa Kinazi nchini Ujerumani.

  • Uungaji mkono wa Trump juu ya kuendelea miamala ya kuuzia silaha utawala wa Saudia

    Uungaji mkono wa Trump juu ya kuendelea miamala ya kuuzia silaha utawala wa Saudia

    Oct 15, 2018 00:15

    Suala la kutoweka katika mazingira ya kutatanisha na kuendelea kuwa kitendawili hatma ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari na mkosoaji mashuhuri wa utawala wa Saudia ndani ya ubalozi mdogo wa nchi hiyo huko mjini Istanbul, Uturuki, limeendelea kuibua radiamali nyingi duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS