Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mazungumzo

  • Kufikishwa salamu za maneno za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Papa Francis

    Kufikishwa salamu za maneno za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Papa Francis

    Jun 02, 2022 11:55

    Ayatullah Alireza Arafi Mkurugenzi wa Vyuo vya Kidini, Hawza nchini Iran amemfikishia Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani salamu za maneno za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, alipokutana na kuzungumza na Papa mjini Vatican.

  • Iran: Mazungumzo yetu na Saudia yanaendelea vizuri

    Iran: Mazungumzo yetu na Saudia yanaendelea vizuri

    Oct 05, 2021 08:07

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema mazungumzo baina ya Jamhuri ya Kiislamu na Saudi Arabia yanaendelea vizuri.

  • Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Mazungumzo ya Mkuu wa CIA na Mullah Baradar; kielelezo cha uhusiano wa siri wa Marekani na Taliban

    Aug 25, 2021 09:46

    Gazeti la Washington Post limeandika katika toleo lake la jana Jumanne kuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA William Burns amekutana na kufanya mazungumzo kwa njia ya siri na Mkuu wa Kisiasa wa Taliban Mullah Abdul Ghani Baradar, katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul.

  • Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti

    Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti

    Mar 06, 2021 11:00

    Katika miaka ya karibuni nchi ya Iraq imekuwa uwanja wa mashambulio na harakkati ya makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la Daesh ambalo limesababisha madhara makubwa kwa nafsi na mali za wananchi wote wa nchi hiyo, Waislamu na Wakristo.

  • Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Sisitizo la Rais mteule wa Bolivia la kuunga mkono kadhia ya Palestina

    Nov 02, 2020 07:37

    Baada ya chama cha mrengo wa kushoto nchini Bolivia kuibuka mshindi katika uchaguzi wa Rais nchini humo, Luis Arce rais mteule wa nchi hiyo amesisitiza juu ya himaya na uungaji mkono wa nchi yake kwa kadhia ya Palestina katika majukwaa na duru zote za ndani na za kimataifa.

  • Iran yakadhibisha madai ya kufanya mazungumzo na Marekani nchini Oman

    Iran yakadhibisha madai ya kufanya mazungumzo na Marekani nchini Oman

    Sep 28, 2020 12:17

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekanusha vikali taarifa zinazodai kuwa Jamhuri ya Kiislamu imefanya mazungumzo na Marekani huko nchini Oman.

  • HAMAS na Jihadul Islami zapinga mpango wa kufanya mazungumzo na Israel

    HAMAS na Jihadul Islami zapinga mpango wa kufanya mazungumzo na Israel

    May 08, 2020 08:15

    Harakati za Muqawama wa Kiislamu za Palestina HAMAS na Jihadul-Islami zimekosoa vikali mpango wa baadhi ya nchi za Kiarabu wa kutaka kurejea kwenye meza ya mazungumzo na utawala haramu wa Israel.

  • Rais Kiir wa Sudan Kusini na Machar kukutana ana kwa ana Juba

    Rais Kiir wa Sudan Kusini na Machar kukutana ana kwa ana Juba

    Dec 10, 2019 07:50

    Mahasimu wa kisiasa nchini Sudan Kusini, Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani, Riek Machar wanatazamiwa kukutana leo Jumanne katika mazungumzo ya uso kwa uso katika mji mkuu wa nchi hiyo Juba.

  • Sudan yaakhirisha mazungumzo na makundi ya waasi

    Sudan yaakhirisha mazungumzo na makundi ya waasi

    Nov 20, 2019 06:57

    Serikali ya Sudan imekubali ombi mla kuakhirisha hadi mwezi ujao mazungumzo ya amani kati yake na makundi ya waasi wanaobeba silaha yaliyotazamiwa kufanyika kesho Alkhamisi kufuatia ombi la timu ya wapatanishi.

  • Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Trump na ahadi zake bandia za kuiondolea Iran vikwazo baada ya kufanyika mazungumzo

    Sep 30, 2019 12:06

    Baada ya kuiondoa nchi yake kwenye mapatano ya nyuklia mwezi Mei mwaka jana na kisha kuiwekea vikwazo vikali Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, katika miezi ya hivi karibuni Rais Donald Trump wa Marekani ameonyesha hamu kubwa ya kutaka kufanya mazungumzo na Iran ambapo baada ya kufanya mazungumzo na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, kulienea fununu za uwezekano wa kukutana marais wa Iran na Marekani kando ya mkutano mkuu wa Umoja wa Mataifa mjini New York.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS