-
Ripoti: Wanajeshi wa Marekani wanapora mafuta ya Syria
Jul 02, 2020 12:10Wanajeshi wa Marekani wamepora shehena ya matrela 30 ya mafuta ya petroli kutoka visima vya mafuta vya Syria na kuyapeleka Iraq.
-
Russia yazikosoa nchi za Magharibi kuhusu madai yao ya kutaka kuisaidia Syria
Jul 01, 2020 11:23Russia imekosoa mienendo inayokinzana ya nchi za Magharibi ya kuiwekea vikwazo vya uchumi Syria na wakati huo huo zinaitisha mkutano wa kukusanya misaada eti ya kibinadamu kwa ajili ya watu wa nchi hiyo.
-
Uturuki yawatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa kilojistiki
May 23, 2020 09:16Duru za habari za Syria zimeripoti kuwa, Uturuki imewatumia magaidi wa Syria msafara mwingine wa vifaa vya kijeshi katika maeneo unayoyakalia kwa mabavu ya kaskazini mwa Syria.
-
Sayyid Hassan Nasrallah atetea msimamo wa Iran kuhusu mgogoro wa Syria
May 15, 2020 07:33Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon ametoa hotuba yenye kukosoa vikali sera za Marekani na utawala Israel kuhusu misimamo ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mgogoro wa Syria.
-
Malengo ya Israel katika mashambulio inayofanya mara kwa mara dhidi ya Syria
Apr 29, 2020 06:35Raia watatu wa Syria waliuawa na wanne walijeruhiwa katika shambulio la makombora lililofanywa na utawala wa Kizayuni siku ya Jumatatu dhidi ya maeneo ya makazi ya raia katika vitongoji vya al-Hajirah na al-Adilah kandokando ya Damascus, mji mkuu wa Syria.
-
Vijana waliopewa mafunzo na Luteni Soleimani wamuenzi kamanda wao mjini Halab Syria
Feb 19, 2020 10:56Kwa siku kadhaa sasa wananchi wa kaskazini mwa Syria wameghariki katika furaha baada ya kukombolewa kikamlifu mji wa Halab uliokuwa unakaliwa kwa mabavu na magenge ya kigaidi kwa miaka mingi. Mji huo wa Halab ambao ni muhimu mno kwa Syria hasa kiuchumi, kisiasa, kielimu na kiutamaduni, ulikombolewa kikamilifu Jumapili wiki hii.
-
Serikali ya Syria: Hatutaki uvamizi wa aina yoyote ile katika ardhi yetu
Feb 05, 2020 04:43Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, amesema kuwa raia wa nchi hiyo hawakubali uvamizi wowote katika ardhi za nchi yao.
-
Mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya Russia na Syria Baharini
Jan 22, 2020 01:03Majeshi ya Russia na Syria yamefanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Bandari ya Tartus ya Syria katika pwani ya Bahari ya Mediterranea.
-
Syria yakosoa jinai zinazofanywa na Marekani dhidi ya binadamu na haki zake
Dec 13, 2019 10:29Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imeikosoa Marekani kutokana na jinai zake dhidi ya ubinadamu na haki za binadamu katika maeneo mbalimbali ya dunia na imetoa wito wa kufanyika uchunguzi wa kimataifa kuhusiana na jinai hizo.
-
Marekani yazidi kumimina wanajeshi wake kaskazini mwa Syria + Video
Nov 17, 2019 11:23Msafara mwingine mmoja wa wanajeshi wa Marekani umeingia katika mji wa Qamishli mkoani al Hasakah, huko kaskazini mashariki mwa Syria.