-
Rais Bashar al-Assad: Syria katu haitagawanywa
Nov 16, 2019 02:45Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema: Serikali ya Damascus haitaafiki kwa namna yoyote ile Syria igawanywe.
-
Marekani na magendo ya mafuta ya Syria
Oct 30, 2019 07:42Jumatatu iliyopita Mark Esper, Waziri wa Ulinzi wa Marekani alidai kuwa eti nchi yake ipo nchini Syria kwa ajili ya kulinda vyanzo vya mafuta vya taifa hilo la Kiarabu, na kwamba Washington haitaki kuona vyanzo hivyo vikiingia kwa mara nyingine katika udhibiti wa kundi la Daesh (ISIS).
-
Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria
Oct 18, 2019 15:21Mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Uturuki yameua raia wasiopungua watano huku mapigano ya hapa na pale yakiendelea kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mashariki mwa Syria licha ya maafikiano ya kusitisha hujuma yaliyofikiwa kati ya Uturuki na Marekani hapo jana.
-
Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali
Oct 09, 2019 02:32Kamanda Mkuu wa Wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria ameelezea uwezekano wa kushirikiana na serikali ya Damascus kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya Uturuki dhidi ya maeneo ya mpakani kaskazini mwa Syria.
-
Wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wanatumia maelfu ya shule kama makao ya kijeshi
Sep 27, 2019 02:39Wanamgambo wa Kikurdi kwa jina la Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria wanaoungwa mkono na Marekani hadi kufikia sasa wamefunga shule zaidi ya elfu mbili katika mkoa wa Hasaka. Aidha wamezigeuza baadhi ya shule hizo kuwa makao yao ya kijeshi.
-
Syria: Magenge ya kigaidi yameharibu maelfu ya maeneo ya kihistoria
Jun 11, 2019 14:04Idara ya Majumba ya Makumbusho na Athari za Kihistoria ya Syria imetangaza kwamba, kwa akali maeneo elfu 10 ya kihistoria ya nchi hiyo yako katika hatari ya kutokomezwa na kuporwa.
-
Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria
May 28, 2019 07:54Kituo cha Upatanishi cha Russia nchini Syria kimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limevunja shambulizi la magaidi wa Jabhat al Nusra kaskazini mwa mkoa wa Hama na kuangamiza magaidi wasiopungua 100 walioshambulia vituo vya jeshi hilo.
-
Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria
May 12, 2019 02:36Idadi kubwa ya dawa, silaha na zana za kijeshi zilizoundwa katika utawala wa Kizayuni na kupewa magaidi zimenaswa wakati wa kuwafurusha magaidi hao huko kusini mwa Syria.
-
Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno
Apr 16, 2019 14:43Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen
-
Sisitizo la Rais Putin la kuweko juhudi za pamoja za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Apr 10, 2019 06:39Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya kutwishwa nchi hiyo vilivyoanza 2011, ulipelekea Syria kugeuka na kuwa medani ya makabiliano baina ya Wamagharibi na waitifaki wao wa Kiarabu pamoja na Uturuki hapo awali dhidi ya mhimili wa muqawama ukijumuisha na Russia.