Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mgogoro wa Syria

  • Rais Bashar al-Assad: Syria katu haitagawanywa

    Rais Bashar al-Assad: Syria katu haitagawanywa

    Nov 16, 2019 02:45

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema: Serikali ya Damascus haitaafiki kwa namna yoyote ile Syria igawanywe.

  • Marekani na magendo ya mafuta ya Syria

    Marekani na magendo ya mafuta ya Syria

    Oct 30, 2019 07:42

    Jumatatu iliyopita Mark Esper, Waziri wa Ulinzi wa Marekani alidai kuwa eti nchi yake ipo nchini Syria kwa ajili ya kulinda vyanzo vya mafuta vya taifa hilo la Kiarabu, na kwamba Washington haitaki kuona vyanzo hivyo vikiingia kwa mara nyingine katika udhibiti wa kundi la Daesh (ISIS).

  • Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Licha ya kuafiki kusitisha mashambulio, ndege za kivita za Uturuki zaendelea kuua raia Syria

    Oct 18, 2019 15:21

    Mashambulio ya anga yaliyofanywa na ndege za kivita za Uturuki yameua raia wasiopungua watano huku mapigano ya hapa na pale yakiendelea kati ya majeshi ya nchi hiyo na wapiganaji wa Kikurdi kaskazini mashariki mwa Syria licha ya maafikiano ya kusitisha hujuma yaliyofikiwa kati ya Uturuki na Marekani hapo jana.

  • Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali

    Baada ya kutupwa mkono na Marekani, sasa Wakurdi wa Syria wajiandaa kujiunga na serikali

    Oct 09, 2019 02:32

    Kamanda Mkuu wa Wanamgambo wa Kikurdi nchini Syria ameelezea uwezekano wa kushirikiana na serikali ya Damascus kwa ajili ya kukabiliana na mashambulizi ya Uturuki dhidi ya maeneo ya mpakani kaskazini mwa Syria.

  • Wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wanatumia maelfu ya shule kama makao ya kijeshi

    Wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wanatumia maelfu ya shule kama makao ya kijeshi

    Sep 27, 2019 02:39

    Wanamgambo wa Kikurdi kwa jina la Vikosi vya Kidemokrasia vya Syria wanaoungwa mkono na Marekani hadi kufikia sasa wamefunga shule zaidi ya elfu mbili katika mkoa wa Hasaka. Aidha wamezigeuza baadhi ya shule hizo kuwa makao yao ya kijeshi.

  • Syria: Magenge ya kigaidi yameharibu maelfu ya maeneo ya kihistoria

    Syria: Magenge ya kigaidi yameharibu maelfu ya maeneo ya kihistoria

    Jun 11, 2019 14:04

    Idara ya Majumba ya Makumbusho na Athari za Kihistoria ya Syria imetangaza kwamba, kwa akali maeneo elfu 10 ya kihistoria ya nchi hiyo yako katika hatari ya kutokomezwa na kuporwa.

  • Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    Magaidi 100 wangamizwa katika mkoa wa Hama nchini Syria

    May 28, 2019 07:54

    Kituo cha Upatanishi cha Russia nchini Syria kimesema kuwa, jeshi la nchi hiyo limevunja shambulizi la magaidi wa Jabhat al Nusra kaskazini mwa mkoa wa Hama na kuangamiza magaidi wasiopungua 100 walioshambulia vituo vya jeshi hilo.

  • Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    Dawa zilizotengenezwa Israel zakutwa mikononi mwa magaidi huko Syria

    May 12, 2019 02:36

    Idadi kubwa ya dawa, silaha na zana za kijeshi zilizoundwa katika utawala wa Kizayuni na kupewa magaidi zimenaswa wakati wa kuwafurusha magaidi hao huko kusini mwa Syria.

  • Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Umoja wa Mataifa: Hali ya kibinadamu nchini Yemen inasikitisha mno

    Apr 16, 2019 14:43

    Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi mkubwa ulionao kutokana na kutoridhisha kabisa hali ya kibinadamu nchini Yemen

  • Sisitizo la Rais Putin la  kuweko juhudi za pamoja za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Sisitizo la Rais Putin la kuweko juhudi za pamoja za kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Apr 10, 2019 06:39

    Mgogoro wa Syria na vita vya ndani vya kutwishwa nchi hiyo vilivyoanza 2011, ulipelekea Syria kugeuka na kuwa medani ya makabiliano baina ya Wamagharibi na waitifaki wao wa Kiarabu pamoja na Uturuki hapo awali dhidi ya mhimili wa muqawama ukijumuisha na Russia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS