Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Michezo

  • Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo

    Jan 09, 2022 23:19

    Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.

  • Wazayuni wakasirika kwa

    Wazayuni wakasirika kwa "kususiwa kimichezo" katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020

    Jul 27, 2021 22:55

    Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimetangaza kuwa kususiwa wanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020 kumewakasirisha na kuwashtusha viongozi wa utawala huo haramu.

  • Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)

    Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)

    Jan 08, 2019 10:30

    Shirikisho la Soka Afrika CAF limetangaza leo Jumanne kuwa Misri ndiyo itakuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2019, baada ya kuipokonya Cameroon uenyeji huo.

  • Wanariadha 13 wa Afrika 'watoweka' Australia

    Wanariadha 13 wa Afrika 'watoweka' Australia

    Apr 12, 2018 10:23

    Wanariadha 13 wa Afrika walioenda kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Madola nchini Australia wametoweka katika mazingira ya kutatanisha.

  • Vita dhidi ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki, Korea Kusini!

    Vita dhidi ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki, Korea Kusini!

    Feb 10, 2018 13:05

    Vita na hujuma dhidi ya Uislamu inaonekana sasa kushamiri zaidi na kuingia katika michezo ya kimataifa.

  • Mnyanyua vyuma Muirani avunja rekodi mara tatu, apata dhahabu  Paralympiki Rio

    Mnyanyua vyuma Muirani avunja rekodi mara tatu, apata dhahabu Paralympiki Rio

    Sep 14, 2016 23:02

    Muirani mnyanyua vyuma katika uzani wa juu zaidi amevunja rekodi tatu za dunia na kupata medali ya dhahabu katika Michezo ya Olyimpiki ya walemavu- Paralympiki-huko Rio de Janeiro, Brazil.

  • Matatizo yanayotokana na kutojishughulisha na michezo yameyagharimu mataifa mabilioni ya dola

    Matatizo yanayotokana na kutojishughulisha na michezo yameyagharimu mataifa mabilioni ya dola

    Jul 29, 2016 00:06

    Watafiti wa masuala ya afya na tiba wamesema matatizo ya afya yaliyosababishwa na watu kutojishughulisha na harakati za michezo katika mwaka 2013 yameyagharimu mataifa dola zipatazo bilioni 67.5.

  • Ureno yaibamiza Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Ureno yaibamiza Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016

    Jul 10, 2016 23:12

    Timu ya taifa ya Ureno imefuta uteja wa takriban miongo 4 dhidi ya Ufaransa kwa kuisasambua bao 1-0 katika mchuano wa fainali ya Kombe la Yuro mwaka huu 2016 mjini Paris.

  • FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu

    May 14, 2016 01:30

    Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS