-
Iran yaikosoa Marekani kwa kuingiza udikteta kwenye michezo
Jan 09, 2022 23:19Rais wa Kamati ya Taifa ya Olimpiki ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeikashifu na kuikosoa vikali Marekani kwa hatua yake ya kususia Michezo ya Olimpiki ya Msimu wa Baridi Kali itakayofanyika huko Beijing, China.
-
Wazayuni wakasirika kwa "kususiwa kimichezo" katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020
Jul 27, 2021 22:55Duru za habari za lugha ya Kiebrania zimetangaza kuwa kususiwa wanamichezo wa utawala wa Kizayuni wa Israel katika mashindano ya Olimpiki ya Tokyo 2020 kumewakasirisha na kuwashtusha viongozi wa utawala huo haramu.
-
Misri kuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)
Jan 08, 2019 10:30Shirikisho la Soka Afrika CAF limetangaza leo Jumanne kuwa Misri ndiyo itakuwa mwenyeji wa michuano ya soka ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2019, baada ya kuipokonya Cameroon uenyeji huo.
-
Wanariadha 13 wa Afrika 'watoweka' Australia
Apr 12, 2018 10:23Wanariadha 13 wa Afrika walioenda kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Madola nchini Australia wametoweka katika mazingira ya kutatanisha.
-
Vita dhidi ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki, Korea Kusini!
Feb 10, 2018 13:05Vita na hujuma dhidi ya Uislamu inaonekana sasa kushamiri zaidi na kuingia katika michezo ya kimataifa.
-
Mnyanyua vyuma Muirani avunja rekodi mara tatu, apata dhahabu Paralympiki Rio
Sep 14, 2016 23:02Muirani mnyanyua vyuma katika uzani wa juu zaidi amevunja rekodi tatu za dunia na kupata medali ya dhahabu katika Michezo ya Olyimpiki ya walemavu- Paralympiki-huko Rio de Janeiro, Brazil.
-
Matatizo yanayotokana na kutojishughulisha na michezo yameyagharimu mataifa mabilioni ya dola
Jul 29, 2016 00:06Watafiti wa masuala ya afya na tiba wamesema matatizo ya afya yaliyosababishwa na watu kutojishughulisha na harakati za michezo katika mwaka 2013 yameyagharimu mataifa dola zipatazo bilioni 67.5.
-
Ureno yaibamiza Ufaransa na kutwaa Kombe la Yuro 2016
Jul 10, 2016 23:12Timu ya taifa ya Ureno imefuta uteja wa takriban miongo 4 dhidi ya Ufaransa kwa kuisasambua bao 1-0 katika mchuano wa fainali ya Kombe la Yuro mwaka huu 2016 mjini Paris.
-
FIFA yamteua mwanamke wa Kiislamu kuwa Katibu Mkuu
May 14, 2016 01:30Kwa mara ya kwanza katika historia ya kandanda duniani, Shirikisho la Soka Duniani FIFA limemteua mwanamke wa Kiafrika na Muislamu kuwa Katibu Mkuu wa taasisi hiyo ya kimataifa ya kusimamia mpira wa miguu.