• Misimamo inayogongana ya White House na Biden kuhusu kusitishwa mapigano huko Ghaza

    Misimamo inayogongana ya White House na Biden kuhusu kusitishwa mapigano huko Ghaza

    Nov 03, 2023 03:27

    Ikiwa zimepita takribani wiki 4 tangu kuanza operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na mashambulizi ya jinai ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Ghaza ambayo yamepelekea kuuawa shahidi na kujeruhiwa maelfu ya Wapalestina hususan watoto na wanawake, Marekani ambayo ni muungaji mkono mkuu na mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, bado inataka kuendelezwa mauaji ya umwagaji damu huko Ghaza.

  • Gesi asilia; jibu kwa changamoto za ustawi endelevu katika karne ya 21

    Gesi asilia; jibu kwa changamoto za ustawi endelevu katika karne ya 21

    Feb 23, 2022 11:47

    Mkutano wa Sita wa Wakuu wa Jumuiya ya Nchi Zinazouza Nje Gesi Asilia (GECF) ulianza rasmi Jumanne wiki hii ukihudhuriwa na Rais Sayyid Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, wakuu na wawakilishi wa nchi wanachama wa jumuiya hiyo. Mkutano huo ilifunguliwa kwa hotuba ya Amir wa Qatar, Sheikh Tamim bin Hamad al-Thani kwa kauli mbiu ya "Usalama wa Nishati Duniani".

  • Misimamo inayogongana ya Trump mkabala na mamlaka ya kiulinzi ya Ulaya

    Misimamo inayogongana ya Trump mkabala na mamlaka ya kiulinzi ya Ulaya

    Nov 13, 2018 13:13

    Hitilafu na mizozo baina ya Ulaya na Marekani imedhihiri hivi sasa kuliko kipindi kingine chochote kile tangu Rais Donald Trump wa Marekani aingie madarakani.

  • Jela ya wenye misimamo mikali kujengwa Kenya

    Jela ya wenye misimamo mikali kujengwa Kenya

    Feb 17, 2016 15:11

    Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema njia pekee ya kupunguza kuenea athari mbaya za ugaidi na madudu yake ni kupitia kuundwa jela ya aina yake itakayotumiwa kuwafungia watu wenye misimamo mikali.