-
Misri na vita vya Gaza; Kujaribu kufuata mkakati wa uwastani
Oct 09, 2025 03:10Kuanza vita vya Gaza baada ya operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa mnamo Oktoba 7, 2023 ulikuwa mwanzo wa mabadiliko katika sera za ndani na za kigeni za Misri.
-
Kwa nini Israel inahofia maneva ya pamoja ya baharini kati ya Misri na Uturuki?
Sep 26, 2025 09:23Kuanza tena meneva ya kijeshi kati ya Uturuki na Misri, sambamba na kupelekewa idadi kubwa ya wanajeshi wa Misri katika Peninsula ya Sinai, kumeutia wasiwasi utawala wa Kizayuni.
-
Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?
Sep 11, 2025 07:19Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.
-
Misri: Hatutakuwa lango la kupitishia Wapalestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao
Sep 06, 2025 06:44Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imelaani matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na kusisitiza kuwa Misri haitakuwa lango la kupitishia wananchi wa Palestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao.
-
MSF: Kipindupindu 'kibaya' kuwahi kutokea ndani ya miaka mingi kimeua watu 40 Darfur, Sudan
Aug 15, 2025 07:29Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa, watu wasiopungua 40 wamefariki dunia katika eneo la Darfur, Sudan katika kipindi cha wiki moja, huku nchi hiyo ikikabiliana kudhibiti mripuko mkubwa zaidi wa kipindupindu kuwahi kushuhudiwa nchini humo katika kipindi cha miaka mingi.
-
Al-Sisi: Misri haitafumbia macho haki yake ya maji
Aug 13, 2025 07:16Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri, amesema kwamba mtu yeyote anayedhani kwamba Misri itafumbia macho haki yake ya kunufaika na maji ya Mto Nile anakosea.
-
Rais wa Baraza la Uongozi Sudan: Tutapambana na RSF mpaka tutaposafisha kila kipande cha ardhi ya Darfur
Aug 06, 2025 12:23Rais wa Baraza la Uongozi wa Mpito nchini Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amerudia ahadi yake aliyotoa ya kuvishinda na kuviondoa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mkoa wa Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.
-
Baada ya vifo vya watu 80, waliofariki dunia kwa kipindupindu nchini Sudan wapindukia 2,370
Aug 04, 2025 09:32Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, watu 80 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu na zaidi ya maambukizi mapya 2,100 yamerekodiwa katika majimbo matano ya Darfur, nchini Sudan hadi kufikia Julai 30.
-
Katika wiki moja vifo 18, maambukizi 1,300 ya kipindupindu yaripotiwa Sudan iliyogubikwa na vita
Jul 23, 2025 06:12Wizara ya Afya ya Sudan imeripoti maambukizi mapya ya kipindupindu, huku idadi hiyo ikifika 1,307 na vifo 18 vilivyosababishwa na ugonjwa huo ndani ya muda wa wiki moja.
-
Mufti wa Misri alaani ziara ya ‘mashekhe wa Ulaya’ waliotembelea Israel
Jul 11, 2025 13:38Mufti wa Misri, Sheikh Nazir Ayad, amelaani ziara iliyofanywa na kundi alilolitaja kama "wale wanaojitangaza kuwa shakhsia wa kidini", waliotembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel na kuitaja ziara hiyo kuwa ni "uwekezaji wa bei rahisi wa kisiasa kwa kutumia majoho bandia ya ushekhe ili kuipamba sura ya utawala ghasibu wa umwagaji damu".