Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?

    Bwawa la Renaissance; tishio kwa amani au fursa ya maendeleo?

    Sep 11, 2025 07:19

    Bwawa la Renaissance au an-Nahdha, mradi mkubwa zaidi wa kuzalisha umeme barani Afrika, ulizinduliwa rasmi na serikali ya Ethiopia siku ya Jumanne.

  • Misri: Hatutakuwa lango la kupitishia Wapalestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao

    Misri: Hatutakuwa lango la kupitishia Wapalestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao

    Sep 06, 2025 06:44

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Misri imelaani matamshi ya waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu na kusisitiza kuwa Misri haitakuwa lango la kupitishia wananchi wa Palestina wanaohamishwa kwa nguvu katika ardhi yao.

  • MSF: Kipindupindu 'kibaya' kuwahi kutokea ndani ya miaka mingi kimeua watu 40 Darfur, Sudan

    MSF: Kipindupindu 'kibaya' kuwahi kutokea ndani ya miaka mingi kimeua watu 40 Darfur, Sudan

    Aug 15, 2025 07:29

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) limeripoti kuwa, watu wasiopungua 40 wamefariki dunia katika eneo la Darfur, Sudan katika kipindi cha wiki moja, huku nchi hiyo ikikabiliana kudhibiti mripuko mkubwa zaidi wa kipindupindu kuwahi kushuhudiwa nchini humo katika kipindi cha miaka mingi.

  • Al-Sisi: Misri haitafumbia macho haki yake ya maji

    Al-Sisi: Misri haitafumbia macho haki yake ya maji

    Aug 13, 2025 07:16

    Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri, amesema kwamba mtu yeyote anayedhani kwamba Misri itafumbia macho haki yake ya kunufaika na maji ya Mto Nile anakosea.

  • Rais wa Baraza la Uongozi Sudan: Tutapambana na RSF mpaka tutaposafisha kila kipande cha ardhi ya Darfur

    Rais wa Baraza la Uongozi Sudan: Tutapambana na RSF mpaka tutaposafisha kila kipande cha ardhi ya Darfur

    Aug 06, 2025 12:23

    Rais wa Baraza la Uongozi wa Mpito nchini Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amerudia ahadi yake aliyotoa ya kuvishinda na kuviondoa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mkoa wa Darfur, magharibi mwa nchi hiyo.

  • Baada ya vifo vya watu 80, waliofariki dunia kwa kipindupindu nchini Sudan wapindukia 2,370

    Baada ya vifo vya watu 80, waliofariki dunia kwa kipindupindu nchini Sudan wapindukia 2,370

    Aug 04, 2025 09:32

    Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) limetangaza kuwa, watu 80 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa kipindupindu na zaidi ya maambukizi mapya 2,100 yamerekodiwa katika majimbo matano ya Darfur, nchini Sudan hadi kufikia Julai 30.

  • Katika wiki moja vifo 18, maambukizi 1,300 ya kipindupindu yaripotiwa Sudan iliyogubikwa na vita

    Katika wiki moja vifo 18, maambukizi 1,300 ya kipindupindu yaripotiwa Sudan iliyogubikwa na vita

    Jul 23, 2025 06:12

    Wizara ya Afya ya Sudan imeripoti maambukizi mapya ya kipindupindu, huku idadi hiyo ikifika 1,307 na vifo 18 vilivyosababishwa na ugonjwa huo ndani ya muda wa wiki moja.

  • Mufti wa Misri alaani ziara ya ‘mashekhe wa Ulaya’ waliotembelea Israel

    Mufti wa Misri alaani ziara ya ‘mashekhe wa Ulaya’ waliotembelea Israel

    Jul 11, 2025 13:38

    Mufti wa Misri, Sheikh Nazir Ayad, amelaani ziara iliyofanywa na kundi alilolitaja kama "wale wanaojitangaza kuwa shakhsia wa kidini", waliotembelea ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina bandia la Israel na kuitaja ziara hiyo kuwa ni "uwekezaji wa bei rahisi wa kisiasa kwa kutumia majoho bandia ya ushekhe ili kuipamba sura ya utawala ghasibu wa umwagaji damu".

  • Waziri Araghchi yupo Misri kujadili Gaza, uhusiano wa Tehran-Cairo

    Waziri Araghchi yupo Misri kujadili Gaza, uhusiano wa Tehran-Cairo

    Jun 02, 2025 06:46

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi yuko katika mji mkuu wa Misri, Cairo, kwa ajili ya kufanya mazungumzo na maafisa wakuu wa nchi hiyo, juu ya uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Misri pamoja na maendeleo katika eneo la Asia Magharibi, yakiwemo mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza.

  • Sisi katika mkutano na afisa wa US, ataka kusitishwa mapigano Gaza

    Sisi katika mkutano na afisa wa US, ataka kusitishwa mapigano Gaza

    May 19, 2025 07:09

    Rais wa Misri Abdel-Fattah al-Sisi jana Jumapili alitoa wito wa kufikiwa makubaliano ya usitishaji vita mara moja katika Ukanda wa Gaza, na kuruhusu kuingia misaada ya kibinadamu katika eneo hilo lililozingirwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS