-
Misri kupokea ndege za kivita kutoka Russia kabla ya Biden kuingia White House
Dec 18, 2020 08:45Duru za habari za Misri zimearifu kuwa, serikali ya nchi hiyo inafanya jitihada ili kupokea awamu ya kwanza ya ndege za kivita kutoka Russia kabla ya kuingia White House Joe Biden Rais mteule wa Marekani.
-
Safari ya Rais wa Misri nchini Ufaransa na kupamba moto upinzani na malalamiko dhidi yake
Dec 09, 2020 21:58Safari ya hivi karibuni ya Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri nchini Ufaransa na mazungumzo aliyofanya na Rais Emmanuel Macron wa nchi hiyo vimeibua hasira na malalamiko ya waungaji mkono wa haki za binadamu.
-
Rais wa Misri atupiwa lawama nyingine
Dec 08, 2020 03:58Mashirika mengi ya haki za binadamu yamemtupia lawama chungu nzima Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri wakati huu wa ziara yake mjini Paris, Ufaransa.
-
Baada ya mashinikizo ya kimataifa, Misri yawaachia huru wanaharakati watatu wa haki za binadamu
Dec 04, 2020 03:15Serikali ya Misri imewaachia huru wafanyakazi watatu wa shirika kubwa la kutetea haki za binadamu nchini humo kufuatia mashinikizo ya kimataifa.
-
Misri yaionya Israel kwa hatua yake ya kuendeleza ujenzi wake wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni
Nov 26, 2020 23:00Serikali ya Misri imeuonya utawala haramu wa Israel kwa hatua yake ya kutaka kujenga vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu ambazo zimepachikwa jina bandia la Israel.
-
Serikali ya Misri yatakiwa kuwaachia huru wanaharakati 3 wa haki za binadamu
Nov 23, 2020 01:06Idadi kubwa ya wahadhiri wa vyuo vikuu na watetezi wa haki za binadamu kote ulimwenguni wamewataka viongozi wa serikali ya Misri iwaachie huru haraka iwezekanavyo wanachama watatu wa taasisi moja ya kutetea haki za binadamu ya nchini humo.
-
Misri na Sudan kufanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi kukabiliana na Ethiopia
Nov 15, 2020 04:41Majeshi ya Misri yametoa taarifa kuhusu mpango wa kufanyika luteka na mazoezi ya pamoja ya anga ya kijeshi kati ya nchi hiyo na Sudan katika anga ya Sudan.
-
Al Azhar: Itungwe sheria ya kutambua hujuma dhidi ya Uislamu kuwa ni uhalifu
Oct 28, 2020 23:25Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amekosoa matamshi ya chuki na hujuma ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa dhidi ya Uislamu na kutoa wito wa kutungwa sheria inayotambua chuki na uhasama dhidi ya Waislamu kuwa ni uhalifu.
-
Baada ya vitisho vya Trump IGAD yataka mazungumzo ya Ethiopia na Misri kuhusu bwawa
Oct 26, 2020 03:48Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Mashariki mwa Afrika (IGAD) limehimiza mazungumzo yafanyike na mwafaka ufikiwe ili kuleta suluhu kuhusu kadhia ya bwawa kubwa linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile linalojulikana kama Grand Renaissance Dam (GERD).
-
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ethiopia: Matamshi ya Trump kuhusu bwawa la Renaissance ni ya kihalifu
Oct 25, 2020 08:40Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nchi za Nje ya Ethiopia ameyataja matamshi yaliyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la Renaissance kuwa ni jinai na uhalifu.