Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump

    Oct 24, 2020 11:11

    Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.

  • Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi

    Oct 11, 2020 08:32

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.

  • Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi

    Oct 05, 2020 04:40

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amefanya mazungumzo na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa na kutilia mkazo udharura wa kupambana vilivyo na kikamilifu na magenge ya kigaidi nchini Syria.

  • Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani

    Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani

    Oct 03, 2020 23:15

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kukomesha ukandamizaji dhidi ya wapinzani.

  • Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha

    Oct 01, 2020 07:04

    Kamanda wa Jeshi la Anga la Ethiopia amekariri tena kwamba nchi yake ina uwezo wa kuziuia shambulizi lolote dhidi ya bwawa na Renaissance (al-Nahdha) linalojengwa juu ya maji ya Mto Nile ambalo limesababisha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za Misri na Sudan.

  • Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri

    Sep 30, 2020 22:58

    Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa wa polisi.

  • Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi

    Sep 29, 2020 03:59

    Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Misri yametangaza kuwa mamia ya watu wametiwa nguvuni katika maandamano yanayofanywa na wananchi kwa siku kadhaa mtawalia wakimtaka Rais Abdel Fattah al Sisi ajiuzulu na kuondoka madarakani.

  • Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu

    Sep 26, 2020 08:51

    Kwa akali watu wawili wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika ghasia za maandamano ya wananchi wa Misri, wanaomtaka Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo ang'atuke madarakani.

  • Maandamano wa wapinzani wa el Sisi yafanyika nchini Misri

    Maandamano wa wapinzani wa el Sisi yafanyika nchini Misri

    Sep 19, 2020 02:57

    Baadhi ya wananchi wa Misri wamefanya maandamano katika mji wa Suez wa mashariki mwa mji mkuu Cairo kupinga siasa za rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi.

  • Mawakili: Mtoto wa Morsi aliuawa kwa kemikali ya sumu Misri

    Mawakili: Mtoto wa Morsi aliuawa kwa kemikali ya sumu Misri

    Sep 08, 2020 03:20

    Mawakili wa familia ya Mohammad Morsi, rais wa zamani wa Misri wamesema mtoto wa kiume wa kiongozi huyo, Abdullah Morsi aliuawa kwa kemikali hatari ya sumu, na wala hakufa kwa mshtuko wa moyo kama zilivyotangaza mamlaka za nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS