-
Ethiopia yamwita kumsaili balozi wa Marekani kwa matamshi aliyotoa Trump
Oct 24, 2020 11:11Balozi wa Marekani mjini Addis Ababa ameitwa kusailiwa kufuatia kauli aliyotoa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu bwawa la An-Nahdhah au Renaissance.
-
Maelfu ya Wamisri wakamatwa katika maandamano dhidi ya utawala wa Sisi
Oct 11, 2020 08:32Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema kwa uchache watu elfu mbili wametiwa mbaroni katika maandamano ya kupinga utawala wa Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ndani ya siku 20 zilizopita.
-
Misri yataka vita dhidi ya magaidi nchini Syria viongezewe kasi
Oct 05, 2020 04:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amefanya mazungumzo na mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa na kutilia mkazo udharura wa kupambana vilivyo na kikamilifu na magenge ya kigaidi nchini Syria.
-
Amnesty yaitaka serikali ya Misri kusitisha ukandamizaji wa wapinzani
Oct 03, 2020 23:15Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kukomesha ukandamizaji dhidi ya wapinzani.
-
Kamanda wa jeshi la Ethiopia: Tunaweza kuzima shambulio dhidi ya al Nahdha
Oct 01, 2020 07:04Kamanda wa Jeshi la Anga la Ethiopia amekariri tena kwamba nchi yake ina uwezo wa kuziuia shambulizi lolote dhidi ya bwawa na Renaissance (al-Nahdha) linalojengwa juu ya maji ya Mto Nile ambalo limesababisha mgogoro mkubwa baina ya nchi hiyo na nchi za Misri na Sudan.
-
Wanachama 6 wa Ikhwan wahukukmiwa kunyongwa nchini Misri
Sep 30, 2020 22:58Mahakama nchini Misri imewahukumu kifo wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya maafisa wa polisi.
-
Mamia ya raia wakamatwa Misri katika maandamano dhidi ya Rais al Sisi
Sep 29, 2020 03:59Mashirika ya kutetea haki za binadamu nchini Misri yametangaza kuwa mamia ya watu wametiwa nguvuni katika maandamano yanayofanywa na wananchi kwa siku kadhaa mtawalia wakimtaka Rais Abdel Fattah al Sisi ajiuzulu na kuondoka madarakani.
-
Watu kadhaa wauawa katika maandamano ya kumtaka Rais wa Misri ajiuzulu
Sep 26, 2020 08:51Kwa akali watu wawili wameuawa huku makumi ya wengine wakijeruhiwa katika ghasia za maandamano ya wananchi wa Misri, wanaomtaka Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo ang'atuke madarakani.
-
Maandamano wa wapinzani wa el Sisi yafanyika nchini Misri
Sep 19, 2020 02:57Baadhi ya wananchi wa Misri wamefanya maandamano katika mji wa Suez wa mashariki mwa mji mkuu Cairo kupinga siasa za rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi.
-
Mawakili: Mtoto wa Morsi aliuawa kwa kemikali ya sumu Misri
Sep 08, 2020 03:20Mawakili wa familia ya Mohammad Morsi, rais wa zamani wa Misri wamesema mtoto wa kiume wa kiongozi huyo, Abdullah Morsi aliuawa kwa kemikali hatari ya sumu, na wala hakufa kwa mshtuko wa moyo kama zilivyotangaza mamlaka za nchi hiyo ya Kiarabu.