-
Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri
Apr 15, 2020 03:36Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.
-
Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai
Apr 08, 2020 03:29Jeshi la Misri limezishambulia ngome za magaidi katika eneo la Sinai kaskazini mwa nchi hiyo kufuatia kuongezeka mashambulizi ya magaidi.
-
Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri
Mar 23, 2020 09:28Jumuiya za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimatangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa amefia jela akiwa chini ya mateso ya maafisa usalama wa nchi hiyo.
-
Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona
Mar 21, 2020 22:05Duru za habari nchini Misri zimearifu kuwa, serikali ya Cairo imeanza kuwaondoa wanajeshi wake Libya, kutokana na hofu ya maambukizi ya kirusi cha Corona.
-
Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona
Mar 21, 2020 07:14Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa sababu ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.
-
Wito watolewa Misri kutaka Machi 15 iwe Siku ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani
Mar 16, 2020 23:53Kituo kimoja cha Kiislamu nchini Misri kimetaka tarehe 15 Machi kila mwaka iwe Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu.
-
Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita
Mar 15, 2020 03:16Duru za habari zimeripoti kuwa, afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijesi wa Sudan ametembelea Misri kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu bwawa la al Nahdha la Ethiopia na kupunguza wasiwasi wa kutokea vita baina ya nchi hizo mbili.
-
Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri
Mar 14, 2020 09:08Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.
-
Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya
Mar 10, 2020 08:11Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.
-
Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu
Mar 08, 2020 23:17Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.