Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Askari polisi na magaidi 7 wauawa kwenye makabiliano Misri

    Apr 15, 2020 03:36

    Afisa wa polisi wa Misri na washukiwa saba wa genge la kigaidi wameuawa katika makabiliano ya risasi baina ya pande mbili hizo jijini Cairo.

  • Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai

    Jeshi la Misri lafanya oparesheni ya mashambulio dhidi ya magaidi katika eneo la Sinai

    Apr 08, 2020 03:29

    Jeshi la Misri limezishambulia ngome za magaidi katika eneo la Sinai kaskazini mwa nchi hiyo kufuatia kuongezeka mashambulizi ya magaidi.

  • Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mfungwa wa tatu wa kisiasa afia jela akiteswa nchini Misri

    Mar 23, 2020 09:28

    Jumuiya za kutetea haki za binadamu nchini Misri zimatangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa amefia jela akiwa chini ya mateso ya maafisa usalama wa nchi hiyo.

  • Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona

    Misri yaanza kuwaondoa askari wake Libya kwa hofu ya Corona

    Mar 21, 2020 22:05

    Duru za habari nchini Misri zimearifu kuwa, serikali ya Cairo imeanza kuwaondoa wanajeshi wake Libya, kutokana na hofu ya maambukizi ya kirusi cha Corona.

  • Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Amnesty yaitaka Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa hofu ya corona

    Mar 21, 2020 07:14

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeitaka serikali ya Misri kuwaachia huru wafungwa wa kisiasa kwa sababu ya kasi ya maambukizi ya virusi vya corona.

  • Wito watolewa Misri kutaka Machi 15 iwe Siku ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

    Wito watolewa Misri kutaka Machi 15 iwe Siku ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

    Mar 16, 2020 23:53

    Kituo kimoja cha Kiislamu nchini Misri kimetaka tarehe 15 Machi kila mwaka iwe Siku ya Kimataifa ya Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu.

  • Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita

    Afisa mmoja wa ngazi za juu wa Sudan atembelea Misri kupunguza wasiwasi wa kutokea vita

    Mar 15, 2020 03:16

    Duru za habari zimeripoti kuwa, afisa mmoja wa ngazi za juu wa kijesi wa Sudan ametembelea Misri kwa ajili ya kufanya mazungumzo kuhusu bwawa la al Nahdha la Ethiopia na kupunguza wasiwasi wa kutokea vita baina ya nchi hizo mbili.

  • Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Makamanda wa jeshi la Ethiopia wasema wako tayari kukabiliana na hujuma yoyote ya Misri

    Mar 14, 2020 09:08

    Mkuu wa majeshi ya Ethiopia amesema kuwa jeshi la nchi hiyo liko tayari kukabiliana na hujuma ya aina yoyote ya kijeshi itakayolenga bwawa la al Nahdha na kujibu hujuma hiyo.

  • Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Misri na Imarati zaunda kikosi cha majini cha Kikomando cha kukabiliana na Uturuki huko Libya

    Mar 10, 2020 08:11

    Misri huku ikiungwa mkono na Umoja wa Falme za Kiarabu imeripotiwa kuunda kikosi maalumu cha oparesheni za majini kinachowajumuisha makomando wa Libya ambacho kimepewa jukumu la kulenga maslahi ya Uturuki katika pwani za Libya.

  • Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Serikali ya Misri: Ethiopia imeidhalilisha Jumuiya ya Nchi za Karabu

    Mar 08, 2020 23:17

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Misri imetangaza kuwa, inapinga vikali taarifa iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Ethiopia kuhusu azimio la Baraza la Jumuiya ya Nchi za Kiarabu kuhusiana na ujenzi wa Bwawa la al-Nahdha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS