Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri

    Wapinzani 37 wa serikali ya Cairo wahukumiwa kifo nchini Misri

    Mar 02, 2020 22:56

    Mahakama ya Misri imewahukumu kifo wanaharakati 37 kwa kile kilichotajwa kuwa ni kuhusika na harakati za makundi ya kigaidi.

  • Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Kuanza tena uhusiano wa posta kati ya Misri, Saudi Arabia, Bahrain na Qatar

    Feb 25, 2020 09:57

    Katika hatua yao mpya Misri, Saudi Arabia na Bahrain zimeamua kuanza tena kutoa huduma za posta kwa Qatar.

  • Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini

    Misri yapongeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini

    Feb 24, 2020 08:19

    Serikali ya Misri imepngeza kuundwa serikali ya umoja wa kitaifa nchini Sudan Kusini na kusema kuwa ina matumaini hatua hiyo itatoa fursa ya kushuhudiwa utulivu na usalama wa kudumu nchini humo.

  • Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak

    Mahakama Misri yawaondoa hatiani wanae Mubarak

    Feb 22, 2020 21:47

    Wana wawili wa kiume wa aliyekuwa Rais wa Misri Hosni Mubarak wameondolewa hatiani na mahakama katika kesi iliyokuwa ikiwakabili ya uuzaji hisa za benki kinyume cha sheria miaka minne kabla ya mwamko wa mwaka 2011 uliopelekea baba yao kuondolewa madarakani baada ya miaka 30 ya utawala wake wa kidikteta.

  • Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto

    Misri yataka bara la Afrika lipewe haki ya kura ya veto

    Feb 15, 2020 23:21

    mwakilishi wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametaka bara la Afrika lipewe viti viwili vya kudumu katika Baraza la Usalama la umoja huo na haki ya kura ya veto (turufu).

  • Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri

    Magaidi 17 waangamizwa katika mkoa wa Sinai, Misri

    Feb 12, 2020 04:02

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa wanachama 17 wa genge moja la kigaidi katika mji wa al-Arish, katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Uchunguzi: Al Sisi anawaua wapinzani wake kwa

    Uchunguzi: Al Sisi anawaua wapinzani wake kwa "mauti ya polepole" wakiwa jela

    Feb 10, 2020 04:51

    Uchunguzi uliofanywa na televisheni ya al Jazeera ya Qatar umefichua takwimu za kutisha kuhusu idadi ya wafungwa wa kisiasa waliouawa au kuaga dunia kutokana na kutelekezwa, kutopatiwa matibabu kwa makusudi na mazingira mabaya kupita kiasi ndani ya jela za Misri tangu baada ya mapinduzi ya kijeshi yaliyoongozwa na rais wa sasa wa nchi hiyo, Abdel Fattah al Sisi mwezi julai mwaka 2013.

  • Al Sisi atahadharisha kuhusu kupelekwa magaidi wa Syria katika nchi ya Libya

    Al Sisi atahadharisha kuhusu kupelekwa magaidi wa Syria katika nchi ya Libya

    Feb 08, 2020 23:12

    Rais wa Miisri ametahadharisha kuwa kuhamisha magaidi walioko Syria na kuwapelekwa Libya kutakuwa na matokeo hatari kwa nchi zote jirani za Kiafrika.

  • Misri yatahadharisha kuhusu madola ya kigeni kuingilia masuala ya ndani ya Libya

    Misri yatahadharisha kuhusu madola ya kigeni kuingilia masuala ya ndani ya Libya

    Feb 02, 2020 23:36

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametahadharisha kuhusu madhara yanayosababishwa na madola ajinabi ya kuingilia masuala ya ndani ya Libya.

  • Watu 37 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Watu 37 wahukumiwa kifo nchini Misri

    Feb 01, 2020 23:11

    Mahakama moja nchini Misri imewahukumu adhabu ya kifo watu 37 akiwemo Hisham al Ashmawy afisa wa zamani wa jeshi la nchi hiyo aliyejiunga na magenge ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS