-
Misri yawahukumu watu kadhaa kifungo cha maisha jela kwa kujiunga na Daesh
Jan 28, 2020 04:41Mahakama Cairo nchini Misri imewahukumu watu wasiopungua 37 vifungo mbalimbali vya jela kikiwemo kifungo cha maisha baada ya kupatikana na hatia ya kujiunga na kuliunga mkono genge la uhalifu lenye mfungamano na kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh.
-
Wanasheria wataka rais wa Misri atiwe mbaroni mjini London
Jan 20, 2020 20:47Kundi moja la mawakili wa Uingereza limetaka rais wa Misri atiwe mbaroni mara atakapofika mjini London.
-
Mazungumzo kuhusu bwawa la al-Nahdha yavunjika nchini Ethiopia
Jan 11, 2020 01:20Wizara ya Maji ya Misri imetangaza kuwa, mazungumzo yaliyokuwa yakiendelea huko Addis Ababa kati ya nchi hiyo, Ethiopia na Sudan kuhusiana na bwawa na al-Nahdha yamevunjika baada ya pande husika kushindwa kufikia makubaliano.
-
Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri aachiwa huru baada ya kuwa kizuizini kwa karibu miaka miwili
Dec 23, 2019 09:56Sami Anan Mkuu wa zamani wa jeshi la Misri ameachiwa huru kutoka kizuizini ambapo alikuwa akishikiliwa kwa karibu miaka miwili kwa kosa la kutaka kugombea kiti cha rais mwaka uliopita.
-
Misri yatoa wito wa kuundwa nchi huru ya Palestina
Dec 05, 2019 06:56Mwakilishi wa kudumu wa Misri katika Umoja wa Mataifa ametilia mkazo udharura wa kuundwa nchi huru ya Palestina na kusema kuwa, amani na utulivu haviwezi kupatikana bila ya kuchukuliwa hatua hiyo.
-
Hamas: Madai ya usitishaji vita wa muda mrefu ni propaganda za uchaguzi za utawala wa Kizayuni
Dec 05, 2019 04:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaja tetesi iliyoenea katika vyombo vya habari vya Kizayuni kuhusu jitihada za utawala huo za kufikia makubaliano ya usitishaji vita ya muda mrefu na Ukanda wa Ghaza kuwa ni propaganda za uchaguzi.
-
Shehena ya silaha kutoka Imarati yawasili nchini Libya
Nov 29, 2019 07:48Duru za habari nchini Misri zimeelezea kuwasili nchini Libya shehena ya silaha kutoka Imarati.
-
Misri yarusha satalaiti ya mawasiliano katika anga za mbali
Nov 27, 2019 10:37Misri imezindua satalaiti yake ya kwanza ya mawasiliano kwa kuirusha katika anga za mbali.
-
Jumuiya za kimataifa zapinga uteuzi wa Ghada Wali kuwa Mkurugenzi wa UNODC
Nov 24, 2019 23:22Jumuiya za kimataifa za kutetea haki za binadamu zimepinga uteuzi uliofanywa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na kumtangaza Ghada Wali, Waziri wa Ustawi za Jamii wa Misri kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Mihadarati na Jinai (UNODC).
-
HRW: Maelfu ya watu wametoweka nchini Misri katika utawala wa al Sisi
Nov 21, 2019 04:05Ripoti iliyotayarishwa na shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch kwa kushirikiana na Kituo cha Shihab na tasisi ya Uadilifu kwa Ajili ya Haki za Binadamu imesema kuwa, idadi ya jela nchini Misri imefikia 68 na kwamba jela 26 kati yazo zimejengwa katika kipindi cha utawala wa Rais wa sasa wa nchi hiyo Jenerali Abdel Fattah al Sisi.