Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Marekani yaikataza Misri kushirikiana na Russia, yaendelea kutoa vitisho dhidi ya Cairo

    Nov 18, 2019 23:10

    Kwa mara nyingine Marekani imetoa vitisho vikali kwa Misri kutokana na uamuzi wake wa kununua ndege aina ya Sukhoi-35 kutoka Russia.

  • Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Nov 16, 2019 07:47

    Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nchi za Ulaya zaeleza wasiwasi wao kuhusu rekodi mbaya ya haki za binadamu ya Misri

    Nov 14, 2019 21:54

    Nchi kadhaa za Ulaya zimeishutumu serikali ya Misri kwa ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, huku wanadiplomasia wa Umoja wa Mataifa wakieleza wasiwasi wao kuhusu ongezeko la ukandamizaji wa uhuru wa kujieleza katika nchi hiyo inayoongozwa na Jenerali Abdel Fattah al Sisi.

  • Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Ikhwani yaitaka UN kuokoa maisha ya kiongozi wake aliyoko katika jela ya Misri

    Oct 31, 2019 08:46

    Harakati ya Ikhwanul Muslimin ya Misri imeutaka Umoja wa Mataifa na taasisi zote za kisheria na za kutetea haki za binadamu za kikanda na kimataifa kuokoa maisha ya kiongozi wake, Dakta Mohammed Badie anayeshikiliwa katika jela ya Misri tangu mwaka 2013.

  • Magaidi 13 wauawa katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Magaidi 13 wauawa katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini Misri

    Oct 29, 2019 12:23

    Maafisa wa serikali ya Misri wametangaza kuwa magaidi 13 wameuawa katika mapigano yaliyojiri baina yao na askari usalama katika mkoa wa Sinai Kaskazini nchini humo.

  • Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Bunge la Ulaya lailaani serikali ya Misri kwa kukiuka haki za binadamu

    Oct 24, 2019 23:21

    Bunge la Ulaya linalokutana Strasbourg nchini Ufaransa limepasisha azimio la kuilaani serikali ya Misri kutokana na ukiukaji wake wa haki za binadamu.

  • Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha

    Abiy Ahmed: Tukilazimika tutaingia vitani na Misri kwa ajili ya bwawa la El Nahdha

    Oct 22, 2019 23:16

    Waziri Mkuu wa Ethiopia ametahadharisha kuwa, nchi hiyo itakusanya mamilioni ya wapiganaji iwapo italazimika kingia vitani na Misri katika mzozo wa ujenzi wa bwawa la El Nahdha juu ya maji ya Mto Nile.

  • Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95

    Libya yahamishia nchini Misri wahamiaji haramu 95

    Oct 17, 2019 23:55

    Serikali ya Libya imewahamishia nchini Misri makumi ya wahamiaji haramu wanaodaiwa kuwa na magonjwa ya kuambukiza.

  • Azma ya Ethiopia, Misri kuhusu mazungumzo ya ujenzi wa bwawa la Mto Nile

    Azma ya Ethiopia, Misri kuhusu mazungumzo ya ujenzi wa bwawa la Mto Nile

    Oct 12, 2019 08:38

    Rais wa Misri Abdel-Fatah al-Sisi na waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed wamesisitiza umuhimu wa kuondoa vizuizi vyote vinavyokabili mazungumzo ya pande tatu juu ya Bwawa la GERD linalojengwa na Ethiopia kwenye Mto Nile.

  • Zaidi ya walimu 1000 wafutwa kazi nchini Misri kwa tuhuma za kuwa wafuasi wa Ikhwanul Muslimin

    Zaidi ya walimu 1000 wafutwa kazi nchini Misri kwa tuhuma za kuwa wafuasi wa Ikhwanul Muslimin

    Oct 08, 2019 23:03

    Wizara ya Elimu ya Misri imetoa amri ya kuwafuta kazi walimu 1070 kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la Ikhwanul Muslimin. uamuzi huo umetolewa kufuatia maandamano ya hivi karibuni nchini humo dhidi ya serikali ya Abdel Fattah al Sisi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS