Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • El Sisi 'apigwa mnada' kwa nusu pauni katika mitandao ya kijamii, serikali ya Misri yaja juu

    El Sisi 'apigwa mnada' kwa nusu pauni katika mitandao ya kijamii, serikali ya Misri yaja juu

    Oct 07, 2019 15:33

    Mwanaharakati na mpinzani wa Rais Abdel Fattah el Sisi wa Misri ameanzisha kampeni ya Hashtagi katika mtandao wa kijamii wa Twitter ya kumpiga mnada kiongozi huyo kwa thamani haba na duni.

  • Licha ya kukumbwa na kashfa za wizi, mauaji na maadili maovu, kasisi mmoja Misri amwita Abdel Fattah el Sisi kuwa ni Nabii wa Mungu

    Licha ya kukumbwa na kashfa za wizi, mauaji na maadili maovu, kasisi mmoja Misri amwita Abdel Fattah el Sisi kuwa ni Nabii wa Mungu

    Oct 07, 2019 04:25

    Kasisi wa kanisa moja nchini Misri, mfuasi wa rais wa nchi hiyo, Abdel Fattah el Sisi ametoa matamshi ya ajabu ya kumsifu kupindukia rais huyo licha ya kwamba ana kashfa nyingi za wizi, mauaji ya watu na maadili maovu.

  • Misri: Mazungumzo yetu na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah yamevunjika

    Misri: Mazungumzo yetu na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah yamevunjika

    Oct 06, 2019 04:43

    Serikali ya Misri imesema mazungumzo mapya kati ya nchi hiyo na Ethiopia kuhusu bwawa la al-Nahdhah linalojengwa na Addis Ababa yamegonga mwamba.

  • Maelfu watiwa nguvuni Misri katika maandamano yanayomtaka al Sisi ang'atuke

    Maelfu watiwa nguvuni Misri katika maandamano yanayomtaka al Sisi ang'atuke

    Oct 04, 2019 23:09

    Kamisheni ya Haki na Uhuru ya Misri imetangaza kuwa, askari usalama wa nchi hiyo wamewatia nguvuni raia zaidi ya elfu 3 katika maandamano ya wiki mbili za hivi karibuni dhidi ya Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi huyo.

  • Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler

    Spika wa Bunge Misri amfananisha Rais wa nchi hiyo na Adolf Hitler

    Oct 03, 2019 04:27

    Spika wa Bunge la Misri amemfananisha Rais Abdel Fattah al Sisi wa nchi hiyo na dikteta wa zamani wa Ujerumani Adolf Hitler.

  • Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Amnesty International: Misri ni gereza kubwa la wakosoaji wa serikali

    Sep 30, 2019 04:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limekosoa vikali ukandamizaji na kamatakamata dhidi ya waandamanaji nchini Misri na kusisitiza kuwa nchi hiyo imegeuzwa kuwa gereza kubwa la wakosoaji.

  • Usalama waimarishwa Misri kukabiliana na maandamano dhidi ya Rais Abdul-Fattah al-Sisi

    Usalama waimarishwa Misri kukabiliana na maandamano dhidi ya Rais Abdul-Fattah al-Sisi

    Sep 29, 2019 09:00

    Usalama umeimarishwa kote nchini Misri ili kukabiliana na maandamano ya wananchi dhidi ya Rais wa nchi hiyo Abdul-Fattah al-Sisi ambayo yameshadidi na kutishia uongozi wake.

  • Kuanza tena maandamano ya wananchi huko Misri

    Kuanza tena maandamano ya wananchi huko Misri

    Sep 29, 2019 03:40

    Wananchi wa Misri kwa mara nyingine wamemiminika mitaani kulalamikia matatizo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii wanayokabiliana nayo na kutaka kuondoka madarakani rais wa nchi hiyo Abdel Fattah al Sisi baada ya kupita miaka 8 ya vuguvufu la harakati ya wananchi wa Misri lililopelekea kung'olewa madarakani dikteta wa zamani wa nchi hiyo Hosni Mubarak.

  • Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Al Sarraj ataka kukomeshwa uingiliaji wa nchi ajinabi huko Libya

    Sep 26, 2019 23:08

    Waziri Mkuu na Mkuu wa baraza la uongozi la serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya ametaka kusitishwa uingiliaji wa Imarati, Misri na Ufaransa katika masuala ya ndani ya nchi yake.

  • Kuendelea maandamano nchini Misri, sambamba na uungaji mkono wa Trump kwa Abdul-Fattah al-Sisi

    Kuendelea maandamano nchini Misri, sambamba na uungaji mkono wa Trump kwa Abdul-Fattah al-Sisi

    Sep 26, 2019 07:15

    Katika hali ambayo, Rais Donald Trump wa Marekani alimtaja Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri walipokutana mjini New York makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuwa, 'Kiongozi Mkubwa', maandamano dhidi ya serikali ya Cairo yameendelea kushuhudiwa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS