Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri

    Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri

    Sep 25, 2019 04:16

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, polisi wa nchi hiyo wamewapiga risasi na kuwaua wanachama sita wa Ikhwanul Muslim katika mapigano yaliyotokea baina ya pande hizo mbili.

  • Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri

    Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri

    Sep 23, 2019 09:03

    Vyombo vya sheria vya Misri vimewatia mbaroni wafanya maandamano zaidi ya 650. Watu hao walikuwa wakiandamana dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah al Sisi.

  • Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi

    Sep 21, 2019 02:44

    Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.

  • Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi

    Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi

    Sep 20, 2019 02:54

    Afisa wa zamani wa jeshi la Misri amesema kuwa anazo nyaraka zinazohusiana na ufuska na utovu wa maadili wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya ngono.

  • Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai

    Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai

    Sep 15, 2019 02:46

    Vyombo vya usalama vya Misri vimetangaza habari ya kuuawa watu kadhaa katika makabiliano baina ya wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo na wanamgambo huko kaskazini mwa mkoa wa Sinai.

  • Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta

    Sep 14, 2019 07:05

    Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.

  • Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan

    Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan

    Sep 10, 2019 02:49

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan, akisisitiza kuwa serikali mpya ya kiraia ya Khartoum inahitaji uungaji mkono wa jamii ya kimataifa na sio kuendelea kuwekewa vikwazo na kutengwa.

  • Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela

    Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela

    Sep 08, 2019 02:50

    Mahakama nchini Misri imewahukumu viongozi kadhaa wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin vifungo vya maisha jela.

  • Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi

    Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi

    Sep 05, 2019 06:40

    Wakili wa familia ya rais wa zamani wa Misri aliyefariki dunia miezi kadhaa iliyopita akiwa mikononi mwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo, Muhammad Morsi amesema kuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo inafanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwisho wa Morsi, Abdullah Morsi aliyeaga dunia ghafla hiyo jana.

  • Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka

    Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka

    Aug 27, 2019 07:24

    Benki Kuu ya Misri imetangaza habari ya kuongezeka deni la kigeni la nchi hiyo na kupindukia dola bilioni 106.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS