-
Wanachama 6 wa Ikhwanul Muslimin wauawa nchini Misri
Sep 25, 2019 04:16Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza kuwa, polisi wa nchi hiyo wamewapiga risasi na kuwaua wanachama sita wa Ikhwanul Muslim katika mapigano yaliyotokea baina ya pande hizo mbili.
-
Waandamanaji zaidi ya 650 watiwa mbaroni Misri
Sep 23, 2019 09:03Vyombo vya sheria vya Misri vimewatia mbaroni wafanya maandamano zaidi ya 650. Watu hao walikuwa wakiandamana dhidi ya serikali ya Rais Abdel Fattah al Sisi.
-
Wamisri wafanya maandamano dhidi ya utawala wa Rais Sisi
Sep 21, 2019 02:44Wananchi wa Misri wamefanya maandamano dhidi ya Rais Abdel Fattah al-Sisi wa nchi hiyo.
-
Afisa wa zamani wa jeshi la Misri atishia kufichua ufuska wa Rais al Sisi
Sep 20, 2019 02:54Afisa wa zamani wa jeshi la Misri amesema kuwa anazo nyaraka zinazohusiana na ufuska na utovu wa maadili wa rais wa nchi hiyo katika masuala ya ngono.
-
Kadhaa wauawa katika makabaliano baina ya askari wa Misri na magaidi, Sinai
Sep 15, 2019 02:46Vyombo vya usalama vya Misri vimetangaza habari ya kuuawa watu kadhaa katika makabiliano baina ya wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo na wanamgambo huko kaskazini mwa mkoa wa Sinai.
-
Trump amuita Rais Sisi wa Misri kuwa dikteta
Sep 14, 2019 07:05Rais Donald Trump wa Marekani ameripotiwa kumtaja Rais Abdul Fattah al-Sisi kuwa dikteta.
-
Misri yataka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan
Sep 10, 2019 02:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri ametaka kuondolewa vikwazo vya Marekani dhidi ya Sudan, akisisitiza kuwa serikali mpya ya kiraia ya Khartoum inahitaji uungaji mkono wa jamii ya kimataifa na sio kuendelea kuwekewa vikwazo na kutengwa.
-
Viongozi wa Ikhwanul Muslimin Misri wahukumiwa vifungo vya maisha jela
Sep 08, 2019 02:50Mahakama nchini Misri imewahukumu viongozi kadhaa wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin vifungo vya maisha jela.
-
Ofisi ya mwanasheria wa Misri yachunguza kifo cha mtoto wa Morsi
Sep 05, 2019 06:40Wakili wa familia ya rais wa zamani wa Misri aliyefariki dunia miezi kadhaa iliyopita akiwa mikononi mwa vyombo vya usalama vya nchi hiyo, Muhammad Morsi amesema kuwa ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa nchi hiyo inafanya uchunguzi kuhusu kifo cha mtoto wa mwisho wa Morsi, Abdullah Morsi aliyeaga dunia ghafla hiyo jana.
-
Deni la kigeni la serikali ya Misri linazidi kuongezeka
Aug 27, 2019 07:24Benki Kuu ya Misri imetangaza habari ya kuongezeka deni la kigeni la nchi hiyo na kupindukia dola bilioni 106.