-
Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa Libya yafichua: Kikosi cha jeshi la Ufaransa kinamsaidia Haftar
Aug 22, 2019 22:01Maafisa wa Serikali ya Mwafaka wa Kitaifa ya Libya wamefichua kuwa kundi moja la jeshi la Ufaransa linalomsaidia jenerali mstaafu Khalifa Haftar limewajengea wapiganaji wa kiongozi huyo muasi kituo cha kurushia ndege zisizo na rubani katika bandari ya mafuta ya al Sidr huko kaskazini mwa Libya.
-
Watu wasiopungua 19 waaga dunia Cairo Misri kufuatia mlipuko uliosababishwa na ajali
Aug 05, 2019 03:43Wizara ya Afya ya Misri imetangaza kuwa, kwa akali watu 19 wameuawa mapema leo na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mripuko nje ya Taasisi ya Taifa ya Saratani katikati mwa mji mkuu wa Cairo.
-
Amnesty: Wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula, wanaishi katika hali mbaya
Jul 31, 2019 22:27Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, wafungwa 130 wa Misri wanafanya mgomo wa kula katika mojawapo ya jela za nchi hiyo.
-
Matamshi aliyotoa waziri wa Misri Canada kwamba wakosoaji wa serikali 'watakatwa vichwa' yazusha taharuki
Jul 25, 2019 02:26Matamshi yaliyotolewa nchini Canada na waziri mmoja wa serikali ya Misri ya kuwatisha wapinzani wa serikali ya rais Abdel Fattah el Sisi wa nchi hiyo yamezusha taharuki miongoni mwa wananchi.
-
Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3 mingine
Jul 22, 2019 02:29Rais Abdul-Fattah al-Sisi wa Misri ametangaza kuongeza muda wa hali ya hatari nchini humo kwa kipindi cha miezi mitatu mingine.
-
Makumi ya magaidi waangamizwa na jeshi la Misri eneo la Sinai
Jul 20, 2019 02:54Jeshi la Misri limetangaza kuwa limeua magaidi 20 katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo kwenye mkoa wa Sinai Kaskazini.
-
Mwanasiasa nchini Misri: Nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Iran na Uturuki
Jul 13, 2019 02:43Mwanadiplomasia na mgombea wa zamani wa uchaguzi wa rais nchini Misri, Abdullah al-Ashaal amezitaka nchi za Kiarabu zifanye mazungumzo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki.
-
Misri kuwauzia wageni uraia wa nchi hiyo kwa dola elfu kumi
Jul 08, 2019 06:57Bunge la Misri limekubaliana na mpango wa serikali ya nchi hiyo kwa kuwauzia uraia wageni kwa dola elfu kumi za Kimarekani licha ya baadhi ya wabunge kupinga suala hilo.
-
Ikhwanul Muslimin ya Misri yatangaza mikakati mipya baada ya kifo cha Morsi
Jun 30, 2019 21:00Kundi la Ikhwanul Muslimin la Misri limetangaza mikakati yake mipya baada ya kufariki dunia Mohammad Morsi, mwanachama mwandamizi wa kundi hilo ambaye alikuwa rais wa kwanza wa Misri kuwahi kuchaguliwa kidemokrasia.
-
Mwana wa Morsi ahadithia alivyopewa maiti ya baba yake, asisitiza ameuawa
Jun 24, 2019 22:00Abdullah Morsi mwana wa kiume wa aliyekuwa rais wa Misri Muhammad Morsi aliyefariki dunia siku chache zilizopita akiwa kizimbani kusikiliza kesi iliyokuwa ikimkabili amehadithia jinsi alivyokabidhiwa mwili wa baba yake na jinsi alivyoaga dunia.