-
Misri: Rais Tayyip Erdoğan ana uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin
Jun 21, 2019 03:32Serikali ya Misri kupitia Waziri wake wa Mambo ya Nje imemtuhumu Rais Tayyip Erdoğan wa Uturuki kuwa ana uhusiano na kundi la Ikhwanul Muslimin.
-
UN yataka Misri ifanye uchunguzi huru wa kifo cha Morsi
Jun 18, 2019 22:10Ofisi ya Kamishna mkuu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa imesema ni matumaini yake kuwa uchunguzi huru na wa kina utafanyika juu ya mazingira ya kifo cha rais wa zamani wa Misri, Mohamed Morsi kilichotokea jana wakati akiwa mahakamani.
-
Iran yatoa mkono wa pole kwa taifa la Misri kufuatia kifo cha Mohammad Morsi
Jun 18, 2019 07:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa mkono wa pole kwa familia ya Mohammed Morsi, kufuatia kifo tata cha rais huyo wa zamani wa Misri.
-
Muhammad Morsi aaga dunia mahakamani wakati kesi yake ikisikilizwa
Jun 17, 2019 15:33Muhammad Morsi rais wa kwanza kuchaguliwa kwa njia za kidemokrasia nchini Misri na kupinduliwa na jeshi ameaga dunia akiwa mahakamani kusikiliza kesi iliyokuwa ikimkabili.
-
Wapinzani Sudan wazitaka Saudia, Misri na Imarati ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi yao
Jun 05, 2019 07:29Wapinzani wa utawala wa kijeshi nchini Sudan wamezitaka badhi ya nchi za Saudi Arabia, Imarati na Misri ziache kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo.
-
Askari 8 wa serikali wauawa Sinai Misri
Jun 05, 2019 06:58Wizara ya Mambo ya Ndani ya Misri imetangaza habari ya kuuawa askari wanane wa serikali katika mkoa wa Sinai wa kaskazini mwa nchi hiyo.
-
HRW: Misri imetenda jinai za kivita katika mkoa wa Sinai
May 28, 2019 09:12Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Human Righs Watch (HRW) limesema kuwa askari usalama wa Misri wametenda jinai za kivita kwa kuwalenga kwa mashambulizi raia katika Peninsula ya Sinai kaskazini mwaMisri.
-
Ripoti: Watu milioni 10 Afrika Mashariki wanavuta bangi, Tanzania yaongoza
May 25, 2019 05:54Utafiti mpya umefichua kuwa, takriban watu milioni 10 katika kanda ya Afrika Mashariki wanavuta bangi kinyume cha sheria, huku Tanzania ikishika nafasi ya kwanza katika orodha hiyo.
-
Basi jingine la watalii lashambuliwa karibu na Mapiramidi ya Giza, Misri
May 19, 2019 09:56Watu 16 wamejeruhiwa katika shambulizi la bomu lililolenga basi la watalii karibu na Mapiramidi ya Giza, eneo ambalo ni kivutio kikuu cha watalii, nje kidogo ya mji mkuu wa Misri, Cairo.
-
Makumi ya magaidi wauawa na jeshi la Misri Peninsula ya Sinai
May 16, 2019 22:02Jeshi la Misri limeangamiza magaidi 47 wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh katika operesheni ya vikosi vya usalama vya nchi hiyo katika mkoa wa Sinai Kaskazini.