Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Kiongozi wa HAMAS: Iran ni nchi muhimu na mhimili wa msingi katika eneo

    Kiongozi wa HAMAS: Iran ni nchi muhimu na mhimili wa msingi katika eneo

    Jun 11, 2018 10:30

    Mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuenzi na kuusifu mchango wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuihami na kuiunga mkono Palestina na kusisitiza kwamba: Hamas haiungi mkono mhimili wowote wa Kiarabu au wa kieneo dhidi ya mhimili mwengine.

  • Watu wanne wauawa katika mapigano ya jeshi la Misri na magaidi Sinai Kaskazini

    Watu wanne wauawa katika mapigano ya jeshi la Misri na magaidi Sinai Kaskazini

    Jun 11, 2018 09:36

    Duru za habari za Misri zimetangaza habari ya kuuawa watu wanne katika mapigano yaliyozouka baina ya jeshi la Misri na makundi yenye silaha katika mkoa wa Sinai Kaskazini.

  • Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Misri na Imarati zapinga kufanyika uchaguzi wa Rais na Bunge nchini Libya

    Jun 09, 2018 22:19

    Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) zimeelezea kutofurahishwa kwao na maamuzi wa mkutano wa mjini Paris Ufaransa kuhusiana na Libya na kusema kuwa zinapinga uchaguzi wa Rais na Bunge uliopangwa kufanyika nchini humo tarehe 10 Disemba mwaka huu.

  • Israel yafichua kuwa, mkuu wa usalama wa Taifa nchini Misri amefanya safari ya siri Tel Aviv

    Israel yafichua kuwa, mkuu wa usalama wa Taifa nchini Misri amefanya safari ya siri Tel Aviv

    Jun 07, 2018 02:59

    Vyombo vya utawala haramu wa Israel vimetangaza kwamba, mkuu wa usalama wa taifa nchini Misri amefanya safari ya siri mjini Tel Aviv kwa ajili ya makubaliano yaliyo nyuma ya pazia yanayoitwa 'Muamala wa Karne' kati ya Marekani, Israel pamoja na Misri.

  • UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    Jun 06, 2018 03:07

    Ofisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi wimbi la kamatakamata nchini Misri.

  • Mwaka mmoja wa mgogoro kati ya nchi za Kiarabu

    Mwaka mmoja wa mgogoro kati ya nchi za Kiarabu

    Jun 06, 2018 01:27

    Umetimia mwaka mmoja tokea uanze mgogoro baina ya nchi za Kiarabu na dalili zote zinaonyesha kuwa mgogoro huo ungali unaendelea bali hata utazidi kupanuka na kuwa mbaya zaidi.

  • Marekani yafichua: Saudia iliunga mkono mapatano ya Camp David kati ya Misri na Israel

    Marekani yafichua: Saudia iliunga mkono mapatano ya Camp David kati ya Misri na Israel

    Jun 03, 2018 10:26

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa nyaraka zinazofichua uungaji mkono wa utawala wa Saudi Arabia kwa mazungumzo ya mapatano kati ya utawala wa Kizayuni wa Israel na Misri na Jordan katika enzi za utawala wa Anwar Sadat nchini Misri.

  • Magaidi 8, askari 2 wa Misri wauawa katika mapigano eneo la Sinai

    Magaidi 8, askari 2 wa Misri wauawa katika mapigano eneo la Sinai

    May 29, 2018 22:14

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuuawa askari wake wawili katika mapigano baina ya wanajeshi wa serikali na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika eneo la Sinai.

  • Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni

    Kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini Misri atiwa mbaroni

    May 27, 2018 23:46

    Vyombo vya usalama vya Misri vimemtia mbaroni kiongozi mashuhuri wa upinzani nchini humo, Hazim Abdelazim.

  • Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri

    Mgogoro wa Qatar na nchi za Kiarabu wazidi kutokota, Doha yapiga marufuku bidhaa za Saudia, Imarati, Bahrain na Misri

    May 27, 2018 00:13

    Katika hali inayoonekana ni kuzidi kuwa mkubwa mgogoro wa Qatar na nchi nne za Kiarabu zilizoizingira kila upande nchini hiyo, wizara ya uchumi na biashara ya Qatar jana ilipiga marufuku kuhifadhi, kunua na kuuza bidhaa yoyote iliyotengenezwa Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati, Bahrain na Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS