-
Asasi za Kiafrika zasisitiza ulazima wa kutekelezwa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi
Nov 11, 2016 04:38Asasi za Kiafrika zinazoshiriki katika mkutano wa 22 wa mabadiliko ya tabianchi nchini Morocco zimesisitiza juu ya udharura wa kutekelezwa vipengee vya mkataba wa mabadiliko ya tabianchi vilivyopasishwa katika mkutano wa Paris, Ufaransa.
-
Ban: Mkataba wa tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo
Apr 22, 2016 16:28Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema jitihada za kupambana na mabadiliko ya tabianchi ni kwa ajili ya vizazi vijavyo, wakati ambapo kila siku rekodi za uchafuzi wa hali ya hewa zinavunjwa.