-
Kesi ya kwanza ya Corona yaripotiwa DRC huku virusi hivyo vikiua Morocco
Mar 11, 2020 03:42Kesi ya kwanza ya ugonjwa wa Corona (Covid-19) imeripotiwa katika Jamhuri ya Kidemokrasia, huku virusi hivyo hatarishi vikiendelea kusambaa katika maeneo mbali mbali duniani.
-
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
Mar 06, 2020 08:04Vyombo vya habari vya Morocco vimeripoti kwamba, maafisa wa nchi hiyo wamenasa maelfu ya maski za masuala ya tiba zilizokuwa zikitoroshwa na kupelekwa Ulaya.
-
Morocco yatangaza kuiunga mkono serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya
Feb 03, 2020 03:25Wizara ya Mambo ya Nje ya Morocco imetoa tamko maalumu la kuitambua rasmi serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya inayoungwa mkono na jamii ya kimataifa.
-
Morocco yalalamikia kutoalikwa Rabat kwenye mkutano wa amani ya Libya
Jan 19, 2020 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco amelalamikia kitendo cha kutoalikwa nchi yake kushiriki mkutano wa amani ya Libya mjini Berlin, Ujerumani na akasema vigezo vinavyotumiwa kuchagua nchi kushiriki katika mkutano huo vinaibua maswali mengi.
-
Kushindwa kwa jitihada za Washington za kuanzisha uhusiano baina ya Morocco na Israel
Dec 07, 2019 04:12Tangu aliposhika madaraka ya nchi miaka kadhaa iliyopita Rais Donald Trump wa Marekani amechukua hatua ambazo hazijawahi kushuhudiwa za kuuhami na kuukingia kifua utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Mfalme wa Morocco awaachia huru mamia ya wafungwa kwa mnasaba wa Maulidi
Nov 10, 2019 03:53Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco ametangaza msahama kwa wafungwa 300 kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mazazi ya Mtume Muhammad (SAW).
-
Wamorocco wakasirishwa na kupeperushwa bendera ya Israel nchini kwao
Sep 24, 2019 08:42Safari ya ujumbe wa utawala haramu wa Israel ukiongozwa na mmoja wa viongozi wa chama cha Likud nchini Morocco na kupeperushwa bendera ya utawala huo kusini mashariki mwa nchi hiyo, kumezua malalamiko ya Wamorocco.
-
Morocco yazima njama na hujuma ya kigaidi ya Daesh
Sep 05, 2019 07:47Wizara ya Mambo ya Ndani ya Morocco imetangaza kuwa imezima mpango wa kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.
-
Wahariji 155 wa Kiafrika wamiminika kaskazini mwa Morocco
Aug 30, 2019 22:12Viongozi wa eneo la Ceuta linalodhibitiwa na Uhispania lililoka kaskasini mwa Morocco wametangaza kuwa kundi moja kubwa la wahajiri wa Kiafrika limeingia kwenye eneo hilo kinyume cha sheria.
-
Mfalme wa Morocco ashikilia msimamo wa kuipa Sahara Magharibi mamlaka yake ya ndani tu
Jul 30, 2019 20:48Mfalme Mohammed VI wa Morocco amesema, kutoa mamlaka ya ndani kwa Sahara Magharibi ya kujiendeshea mambo yake ndiyo njia pekee ya kutatua mgogoro wa eneo hilo.