-
Mkasa wa moto msituni waua watu 58 nchini Ureno
Jun 18, 2017 09:15Habari kutoka Ureno zinasema watu 58 wamethibitishwa kufariki dunia baada ya moto mkubwa ulioanzia katika msitu mmoja uliko karibu na mji wa Pedrogao Grande, katikati mwa nchi kuteketeza magari na makazi ya watu.
-
Mwanamke aanguka kwenye moto na kuungua wakati wa ibada India
Jun 01, 2016 09:02Mwanamke mmoja aliyekuwa katika ibada ya kupita juu ya moto nchini India aanguka katikati ya makaa ya moto na kuanza kuungua
-
Idadi ya waliokufa katika mkasa wa moto India yapindukia 100
Apr 10, 2016 03:21Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mkasa wa moto uliotokea alfajiri ya leo kusini mwa India imepindukia 100.
-
84 waaga dunia katika mkasa wa moto kusini mwa India
Apr 09, 2016 23:44Kwa akali watu 84 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa katika mkasa wa moto uliotokea mapema leo katika mji bandari wa Kollam, kusini mwa India.