- 
          Madaktari wa Sudan: RSF imeua watu wengi kwenye kambi ya Abu Shouk, wamo watoto sabaAug 18, 2025 03:26Mtandao wa Madaktari wa Sudan umeripoti kuwa, wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) wamefyatua makombora kwenye kambi ya wakimbizi waliokumbwa na njaa katika eneo la magharibi mwa Darfur na kusababisha vifo vya watu wasiopungua 31 wakiwemo watoto saba na mwanamke mjamzito. 
- 
          UN yatuma salamu za pole na rambirambi kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko wa Bandar AbbasApr 27, 2025 07:43Umoja wa Mataifa umetuma salamu za pole kwa wananchi na serikali ya Iran kufuatia mripuko mkubwa uliotokea katika bandari ya Shahidi Rajaee kusini mwa Iran jana Jumamosi. 
- 
          Zelensky: Kombora lililoua raia 12 Kiev lilikuwa na vifaa vilivyotengezwa na makampuni ya silaha ya MarekaniApr 27, 2025 02:33Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy amedai kuwa vifaa vilivyotengenezwa na makampuni ya Marekani vilipatikana kwenye kombora lililotumiwa kushambulia mji mkuu wa nchi hiyo Kyiv mapema wiki hii na kuua watu 12. 
- 
          UNHCR yatoa wito wa kuwasaidia raia 3,000 wa Msumbiji waliokimbilia Malawi na EswatiniJan 02, 2025 07:47Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limetoa mwito wa kuwasaidia raia wapatao 3,000 wa Msumbiji waliohama nchi yao na kukimbilia nchi jirani za Malawi na Eswatini kufuatia machafuko yaliyozuka katika nchi yao baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba mwaka jana. 
- 
          Hizbullah yaishambulia tena Tel Aviv kwa makombora, droni zake zawa jinamizi kwa jeshi la IsraelNov 09, 2024 07:12Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah imezishambulia tena kwa makombora ngome na vituo vya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Tel Aviv. 
- 
          HAMAS: Mateka watatu, akiwemo raia wa US, waliuawa katika shambulio la Israel NuseiratJun 10, 2024 08:06Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema mateka watatu waliuawa akiwemo raia wa Marekani katika shambulio la kinyama lililofanywa hivi karibuni na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel kwenye kambi ya wakimbizi wa Kipalestina ya Nuseirat huko Ghaza, lililoua pia zaidi ya raia 270 wa Kipalestina. 
- 
          Mashambulizi ya kigaidi Afghanistan na katika eneo yanahitaji mapambano makubwa dhidi ya ugaidiJan 11, 2024 04:05Kabul mji mkuu wa Afghanistan Jumanne wiki hii ulikumbwa na shambulio la kigaidi; na kwa mujibu wa Khalid Zadran, msemaji wa Polisi ya Kabul, watu watatu waliuawa na wengine wanne kujeruhiwa katika mripuko wa bomu lililokuwa limetegwa kwenye gari katika mkoa wa 16 wa kiusalama mjini Kabul. 
- 
          Idadi ya walioaga dunia katika mripuko wa lori la mafuta Liberia yaongezekaDec 28, 2023 06:39Idadi ya watu waliopoteza maisha katika mripuko wa lori la mafuta uliotokea katikati ya Liberia imeongezeka na kufikia watu 40. 
- 
          Makumi wauawa katika mripuko wa bomu nchini Pakistan; Iran yatoa mkono wa poleJul 31, 2023 03:10Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea jana nchini Pakistan na ametoa mkono wa pole kwa wananchi na serikali ya nchi hiyo ndugu na jirani. 
- 
          Watu kadhaa wauawa katika miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, SomaliaJul 15, 2023 06:53Miripuko miwili ya mabomu iliyotokea Mogadishu, mji mkuu wa Somalia, imesababisha watu kadhaa kuuawa na kujeruhiwa.