Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msikiti wa al Aqsa

  • Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa  ; asema sitakaa kimya

    Israel yampiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa ; asema sitakaa kimya

    May 16, 2022 07:44

    Utawala wa Kizayuni umempiga marufuku kwa miezi minne Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa Sheikh Ikrima Sabri kutokanyaga katika eneo la msikiti huo kutokana na kile ulichokitaja kuwa hatua za Sheikh Sabri za kuuteteta Msikiti Mtukufu wa al Aqsa kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    Balozi wa Palestina London aitaka Magharibi kukomesha unafiki

    May 05, 2022 02:21

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina nchini Uingereza ameashiria kimya cha nchi za Magharibi mbele ya vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa na kueleza kuwa, Palestina itakombolewa kutokana na uungaji mkono mkubwa wa watu huru duniani.

  • HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    HAMAS: Operesheni ya Ari'el ni kuwazindua Wazayuni wasivuke mstari mwekundu

    May 04, 2022 11:52

    Kiongozi mmoja wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Wapalestina na kwamba Wazayuni hawapaswi kuuvuuka.

  • OIC: Mji wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu

    OIC: Mji wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu

    Apr 26, 2022 07:44

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuwa, mji mtakatifu wa Baytul Muqaddas pamoja na Msikiti wa al Aqsa ni mstari mwekundu kwa Umma wa Kiislamu na amani na utulivu hauwezi kupatikana bila ya kukombolewa maeneo hayo matakatifu kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni.

  • Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Msikiti wa Al Aqsa, utambulisho wa kihistoria na kidini wa Palestina

    Apr 24, 2022 08:26

    Karibu Wapalestina 150,000 walishiriki katika Sala ya Ijumaa iliyopita iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    UN yataka kuchunguzwa ukatili wa Wazayuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Apr 23, 2022 13:28

    Msemaji wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) ametoa wito wa kufanyika uchunguzi wa haraka na wa wazi kuhusiana na mashambulio ya kikatili ya wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya waumini wa Kipalestina waliokuwa wakifanya ibada katika Msikiti wa Al-Aqsa.

  • Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Mufti wa Oman awakosoa viongozi wa Kiarabu wanaofuturu na Wazayuni huku al Aqsa ikitiwa najisi

    Apr 21, 2022 02:49

    Mufti Mkuu wa Oman, Sheikh Ahmed bin Hamad al-Khalili, amepongeza misimamo ya kishujaa ya wanamapambano wanaoendelea kukabiliana na uvamizi wa mara kwa mara wa Israel katika Msikiti wa Al-Aqsa katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani.

  • Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Sisitizo la Jumuiya ya Mwamko wa Kiislamu kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za Israel

    Apr 17, 2022 10:38

    Jumuiya ya Kimataifa ya Mwamko wa Kiislamu imetoa taarifa na kulaani hatua za kichokozi na jinai mpya za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kusisitiza kuhusu ulazima wa kukabiliana na jinai za utawala huo. Aidha jumuiya hiyo imepongeza muqawama au mapambano ya watu wa Palestina dhidi ya utawala wa Kizayuni.

  • Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Wamorocco, Wabahrain, Waturuki waandamana kuitetea Aqsa, Syria, Kuwait zatoa kauli

    Apr 17, 2022 08:17

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandamano makubwa katika mji mkuu wa nchi hiyo, Rabat kutangaza uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina, sanjari na kulaani kitendo cha utawala haramu wa Israel cha kuuvamia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa.

  • Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Iran yawaasa Waislamu duniani waungane kuwatetea Wapalestina, Msikiti wa Aqsa

    Apr 17, 2022 03:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mara nyingine tena amelaani jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuushambulia na kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yanapaswa kuungana na kusima bega kwa bega kuitetea kadhia ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS