Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Askari watoto wakombolewa na wanajeshi wa Msumbiji

    Oct 06, 2021 12:45

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema vikosi vya serikali ya Msumbiji vimefanikiwa kuwakomboa watoto waliosajiliwa kwa nguvu na kutumiwa vitani na genge la kigaidi la al-Shabaab kaskazini mwa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Rais wa Msumbiji ataka magaidi wajisalimishe baada ya kinara wao kuuawa

    Oct 05, 2021 08:10

    Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji ametoa mwito kwa magenge ya kigaidi kusalimu amri baada ya kinara wao kuuawa hivi karibuni kaskazini mwa nchi.

  • Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu, wauawa Msumbiji

    Oct 03, 2021 12:45

    Magaidi 19, akiwemo kamanda wa ngazi ya juu wa genge moja la kigaidi, wameuawa katika operesheni ya kiusalama iliyofanywa na wananjeshi wa kieneo huko kaskazini mwa Msumbiji.

  • Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Umoja wa Ulaya kutoa mafunzo kwa jeshi Msumbiji ili kupambana na Daesh

    Jul 13, 2021 10:06

    Umoja wa Ulaya umeanzisha rasmi kampeni ya kijeshi ya kutoa mafunzo kwa vikosi vya ulinzi vya Msumbiji vinavyopambana na wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh huko katika mkoa wa kaskazini wa Cabo Delgado.

  • SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji

    SADC yaafiki mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji

    Jun 24, 2021 07:24

    Nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC zimeafikiana juu ya mpango wa kutuma wanajeshi nchini Msumbiji kuisaidia Maputo kupambana na magenge ya magaidi na waasi huko kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Magaidi wanawateka nyara watoto nchini Msumbiji

    Jun 10, 2021 02:32

    Mwakilishi wa Taasisi ya Kulinda Watoto nchini Msumbiji imeripoti kuwa, magaidi nchini humo wanawateka nyara watoto.

  • UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano

    UN yaiomba Tanzania iwape hifadhi raia wa Msumbiji wa Cabo Delgado wanaokimbia mapigano

    May 19, 2021 06:28

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi, UBHCR limesema lina wasiwasi mkubwa na taarifa zinazoendelea za watu wanaokimbia jimboni Cabo Delgado nchini Msumbiji kurudishwa kwa nguvu baada ya kuvuka mpaka kuelekea nchi jirani ya Tanzania.

  • Amnesty International: Wazungu na mbwa waliokolewa kabla ya watu weusi huko Palma, Msumbiji

    Amnesty International: Wazungu na mbwa waliokolewa kabla ya watu weusi huko Palma, Msumbiji

    May 14, 2021 11:47

    Kundi la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake kwamba, wakandarasi wazungu walisafirishwa kwa ndege na kupelekwa maeneo yenye usalama kabla ya wenzao weusi baada ya shambulio la magaidi mwezi Machi mwaka huu katika mji Palma nchini Msumbiji.

  • Viongozi wa Msumbiji waeleza wasiwasi wao kuhusiana na harakati za kundi la Daesh nchini humo

    Viongozi wa Msumbiji waeleza wasiwasi wao kuhusiana na harakati za kundi la Daesh nchini humo

    Apr 12, 2021 02:51

    Katika miaka ya hivi karibuni makundi ya kigaidi yameimarisha harakati zao katika nchi mbalimbali za Kiafrika. Genge la Daesh ni miongoni wa makundi hayo ya kigaidi ambayo yamezidisha mashambulizi na harakati zao katika nchi za Afrika.

  • Jeshi la Msumbiji laua magaidi 36 katika mji wa Palma

    Jeshi la Msumbiji laua magaidi 36 katika mji wa Palma

    Apr 10, 2021 12:32

    Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema askari wa nchi hiyo wamewaangamizi makumi ya wanamgambo katika operesheni ya usalama katika mji wa pwani wa Palma, kaskazini mwa nchi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS