Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  • Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma

    Msumbiji yatuma timu ya madaktari kutambua wahanga wa shambulio la kigaidi huko Palma

    Apr 09, 2021 15:52

    Msemaji wa jeshi la Msumbiji amesema kuwa nchi hiyo inatuma timu ya madaktari ili kutambua miili ya watu 12 waliouawa katika shambulio la magaidi wenye uhusiano na kundi la Daesh katika machimbo ya gesi asilia kwenye mji wa Palma kaskazini mwa Msumbiji.

  • Viongozi wa SADC wanakutana kujadili vita dhidi ya ugaidi Msumbiji

    Viongozi wa SADC wanakutana kujadili vita dhidi ya ugaidi Msumbiji

    Apr 08, 2021 02:34

    Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Kusini mwa Afrika, SADC, wanakutana leo katika mazungumzo ya dharura kuhusu mzozo unaoendelea nchini Msumbiji.

  • Raia 50 wa Afrika Kusini watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Msumbiji

    Raia 50 wa Afrika Kusini watoweka kufuatia shambulio la kigaidi Msumbiji

    Apr 04, 2021 10:58

    Afrika Kusini imesema raia wake zaidi ya 50 hawajulikani walipo mpaka sasa baada ya magaidi kuvamia na kuudhibiti mji wa Pwani wa Palma nchini Msumbiji, huku taarifa zikisema kuwa makumi ya watu wameuawa katika shambulio hilo.

  • AU: Hatua za dharura zichukuliwe kuinusuru Msumbiji

    AU: Hatua za dharura zichukuliwe kuinusuru Msumbiji

    Apr 01, 2021 10:40

    Umoja wa Afrika (AU) umetoa mwito wa kuchukuliwa hatua za dharura katika ngazi za kieneo na kimataifa kufuatia kushtadi harakati na mashambulio ya magenge ya kigaidi kaskazini mwa Msumbiji.

  • Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Msumbiji yaanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa Palma

    Mar 29, 2021 11:37

    Wizara ya Ulinzi ya Msumbiji imetangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limeanzisha oparesheni kubwa ya kukomboa mji wa pwani wa Palma unaodhibitiwa na kundi linalojiita al Shabab.

  • Save the Children: Magaidi wanaua watoto kwa kuwachinja Msumbiji

    Save the Children: Magaidi wanaua watoto kwa kuwachinja Msumbiji

    Mar 17, 2021 04:33

    Shirika la misaada ya kibinadamu la Save the Children limesema wanachama wa magenge ya kigaidi katika mkoa wa Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji wanaua watoto wadogo kikatili kwa kuwakata vichwa.

  • Wanamgambo wenye silaha wakishambulia kituo cha gesi kaskazini mwa  Msumbiji

    Wanamgambo wenye silaha wakishambulia kituo cha gesi kaskazini mwa Msumbiji

    Dec 30, 2020 07:27

    Kundi la watu wenye silaha wamekishambulia kijiji kimoja karibu na mradi mkubwa wa gesi wa Ufaransa kaskazini mwa Msumbiji.

  • UNICEF: Watoto 250,000 wamekimbia makazi Cabo Delgado , Msumbiji

    UNICEF: Watoto 250,000 wamekimbia makazi Cabo Delgado , Msumbiji

    Dec 23, 2020 00:53

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto, UNICEF limesema takribani watoto 250,000 wamekimbia makazi yao kutokana na hujuma za kigaidi zinazoendelea kwenye jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji na sasa wako hatarini kupata magonjwa ya kuambukiza kwa kuwa msimu wa mvua unaanza.

  • UN yatiwa wasiwasi na mapigano Msumbiji; laki 4 wahama makazi yao

    UN yatiwa wasiwasi na mapigano Msumbiji; laki 4 wahama makazi yao

    Dec 14, 2020 12:22

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, mgogoro mkubwa wa kibinadamu unanukia kaskazini mwa Msumbiji, ambapo watu zaidi ya laki nne wamelazimika kuyahama makazi yao wakihofia usalama wao.

  • Zaidi ya 50 wauawa kwa kukatwa vichwa na magaidi huko Msumbiji

    Zaidi ya 50 wauawa kwa kukatwa vichwa na magaidi huko Msumbiji

    Nov 10, 2020 07:21

    Makumi ya watu wakiwemo vijana mabarobaro wameuawa kwa kukatwa vichwa na genge la wanamgambo wenye mfungamano na kundi la kigaidi la Daesh (ISIS), kaskazini mashariki mwa Msumbiji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS