Feb 08, 2020 12:57
Umoja wa Mataifa umesema, watu wanayakimbia makazi yao ili kujinusuru na wimbi la hujuma na mashambulio katika mkoa wa Cabo Delgado, kaskazini mwa Msumbiji ambako mashuhuda wamesema, raia wanakatwa vichwa na kutekwa nyara kwa umati huku vijiji vya eneo hilo vikiteketezwa kwa moto.