Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Msumbiji

  •  Ongezeko la vitendo vya kigaidi lapelekea raia wa Msumbiji 310,000 kuhama makazi yao

    Ongezeko la vitendo vya kigaidi lapelekea raia wa Msumbiji 310,000 kuhama makazi yao

    Sep 23, 2020 13:20

    Ongezo la vitendo vya uasi vya wanamgambo wenye silaha kaskazini mwa Msumbiji limesababisha mamia ya maelfu ya watu kuyahama makazi yao.

  •  Amnesty: Msumbiji inawatesa na kuwanyanyasa washukiwa wa vitendo vya uasi

    Amnesty: Msumbiji inawatesa na kuwanyanyasa washukiwa wa vitendo vya uasi

    Sep 10, 2020 06:47

    Shirika la Msamaha Duniani, Amnesty International, limetangaza kuwa askari jeshi wa serikali ya Msumbiji wanawatesa wanamgambo wanaoshukiwa kufanya mashambulizi katika mkoa wa Cabo Delgado nchini humo. 

  • Afrika Kusini: Tupo tayari kuisaidia Msumbiji iliyokumbwa na mashambulizi ya magaidi

    Afrika Kusini: Tupo tayari kuisaidia Msumbiji iliyokumbwa na mashambulizi ya magaidi

    Sep 03, 2020 11:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesemam kuwa nchi hiyo iko tayari kuisaidia Msumbiji iliyoathiriwa na mashambulizi ya wanamgambo wenye mfungamano na kundi la Daesh yaani ISIS.

  • Msumbuji yachukua uwenyekiti wa SADC

    Msumbuji yachukua uwenyekiti wa SADC

    Aug 18, 2020 03:37

    Tanzania imekabidhi Msumbiji uwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika, SADC huku jumuiya hiyo ikiadhimisha miaka 40 tangu kuasisiwa kwake.

  • Kampuni ya Msumbiji: Shehena ya ammonium nitrate iliyosababisha mlipuko Beirut ilikuwa mali yatu

    Kampuni ya Msumbiji: Shehena ya ammonium nitrate iliyosababisha mlipuko Beirut ilikuwa mali yatu

    Aug 08, 2020 13:36

    Kampuni moja ya kutengeneza baruti ya Msumbiji imetangaza kuwa, shehena ya mzigo iliyokuwa imesimamishwa katika bandari ya Beirut ambayo imesababisha mlipuko wa tarehe 4 Agosti ilikuwa mali ya kampuni hiyo.

  • Maafisa usalama wa Msumbiji waua magaidi 50 Cabo Delgado

    Maafisa usalama wa Msumbiji waua magaidi 50 Cabo Delgado

    May 15, 2020 12:26

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Msumbiji amesema maafisa usalama wa nchi hiyo wamefanikiwa kuwaangamiza magaidi 50 ndani ya siku chache zilizopita katika eneo la kaskazini la Cabo Delgado.

  • Magaidi 129 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na maafisa usalama Msumbiji

    Magaidi 129 wameuawa ndani ya mwezi mmoja na maafisa usalama Msumbiji

    Apr 29, 2020 11:12

    Waziri wa Mambo ya Ndani wa Msumbiji ametangaza habari ya kuuawa makumi ya wanachama wa magenge ya kigaidi kaskazini mwa nchi katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Makumi ya wanakijiji wauawa na magaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Makumi ya wanakijiji wauawa na magaidi kaskazini mwa Msumbiji

    Apr 22, 2020 12:57

    Jeshi la Polisi la Msumbiji limetangaza habari ya kuuawa makumi ya watu katika shambulizi jipya la kigaidi lililotokea huko kaskazini mwa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Kampuni ya Total ya Ufaransa inatuhumiwa kueneza virusi vya Corona nchini Msumbiji

    Kampuni ya Total ya Ufaransa inatuhumiwa kueneza virusi vya Corona nchini Msumbiji

    Apr 18, 2020 00:42

    Maafisa Afya wa Msumbiji wamesema kuwa kampuni ya mafuta ya Total ya Ufaransa imehusika kueneza maambukizi ya virusi vya corona nchini humo.

  • "Wahajiri" 60 wapatikana wameaga dunia ndani ya lori Msumbiji

    Mar 26, 2020 11:27

    Miili zaidi ya 60 imepatikana ndani ya lori la mizigo katika mkoa wa Tete, kaskazini magharibi mwa Msumbiji.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS