Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mtume Muhammad SAW()

  • Spika wa Bunge la Iran awapongeza maspika wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (saw)

    Spika wa Bunge la Iran awapongeza maspika wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa Maulidi ya Mtume (saw)

    Oct 24, 2021 08:15

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amewatumia ujumbe maspika wenzake katika nchi za Kiislamu akiwapa mkono wa kheri na baraka kwa mnasaba wa maadhimisho na sherehe za Maulidi ya Mtume Muhammad (saw).

  • Iran yaadhimisha siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw)

    Iran yaadhimisha siku ya kuzaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad (saw)

    Oct 24, 2021 03:26

    Leo tarehe 17 Mfunguo Sita Rabiu Awwal 1443 Hijria inasadifiana na siku aliyozaliwa Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu, Muhammad bin Abdullah (saw) na mjukuu wake mwema, Imam Ja'far al Swadiq (as).

  • Maomblezo ya kuaga dunia Mtume (saw) na kuuawa shahidi Imam Hassan (as)

    Maomblezo ya kuaga dunia Mtume (saw) na kuuawa shahidi Imam Hassan (as)

    Oct 16, 2020 07:22

    Taifa zima la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezama katika maombolezo ya kumbukumbu ya kuaga dunia Mtume Mtukufu wa Uislamu (saw) pamoja na kuuawa shahidi Imam Hassan Mujtaba (as), Imam wa pili wa Waislamu wa madhehebu ya Shia.

  • India yapiga marufuku sherehe za maulidi ya Mtume (saw) katika eneo la Kashhmir

    India yapiga marufuku sherehe za maulidi ya Mtume (saw) katika eneo la Kashhmir

    Nov 11, 2019 15:35

    Serikali ya India imepiga marufuku sherehe zote za mazazi ya Mtume Muhammad (saw) pamoja na maadhimisho ya Wiki ya Umoja katika eneo la Kashmir lililo chini ya udhibiti wa serikali ya New Delhi.

  • Waislamu wahimizwa kusherehekea kwa amani na mapenzi Maulidi ya Mtume + Sauti

    Waislamu wahimizwa kusherehekea kwa amani na mapenzi Maulidi ya Mtume + Sauti

    Nov 16, 2018 06:50

    Mkurugenzi wa Kitengo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Tanzania Bw. Ali Bagheri amesema kuwa, maadhimisho ya Maulidi na kuzaliwa Mtume Muhammad SAW kunaleta mapenzi kwa Waislamu wote, hivyo waitumie fursa hiyo kuimarisha udugu wao. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS