Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Muamala wa Karne

  • Serikali ya Misri: Watakaopinga mpango wa Muamala wa Karne watakiona

    Serikali ya Misri: Watakaopinga mpango wa Muamala wa Karne watakiona

    Feb 15, 2020 00:44

    Serikali ya Misri imetoa onyo kali kwa shakhsia na wanadiplomasia wa nchi hiyo wanaoukosoa mpango wa Muamala wa Karne na kueleza kwamba, watakaoupinga mpango huo watakaiona.

  • EU yatahadharisha kuhusu kuunganishwa Bonde la Jordan na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel

    EU yatahadharisha kuhusu kuunganishwa Bonde la Jordan na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na Israel

    Feb 12, 2020 05:53

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amekosoa mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne na kutahadharisha kuhusu taathira za kuunganishwa eneo la Bonde la Jordan na maeneo yanayokaliwa kwa mabavu na utawala wa Kizayuni wa Israel na uwezekano wa kushtadi machafuko.

  • Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Feb 12, 2020 04:10

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.

  • Kupingwa mpango wa Muamala wa Karne na viongozi wa Afrika

    Kupingwa mpango wa Muamala wa Karne na viongozi wa Afrika

    Feb 11, 2020 23:26

    Tangu mpango wa Marekanii uliopewa jina la Muamala wa Karne ulipozinduliwa na Rais Donald Trump wa Marekani, mataifa na asasi mbalimbali za kieneo na kimataifa zimetangaza wazi kuupinga na kuukataa mpango huo na kuutaja kama mpango wa kidhalimu.

  • Ramaphosa: Mapendekezo ya Muamala wa Karne yanafanana na ya 'apartheid'

    Ramaphosa: Mapendekezo ya Muamala wa Karne yanafanana na ya 'apartheid'

    Feb 10, 2020 09:11

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema mapendekezo ya Rais Donald Trump kwenye 'Muamala wa Karne' yanashabihiana na mfumo wa kipindi cha utawala wa ubaguzi wa rangi (apartheid) katika nchi hiyo ya kusini mwa Afrika.

  • Msemaji wa Hamas: Mumala wa Karne utafeli na kugonga mwamba

    Msemaji wa Hamas: Mumala wa Karne utafeli na kugonga mwamba

    Feb 10, 2020 04:50

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, mipango ya Marekani na utawala ghasibu wa Israel na ushirikiano wao mkubwa wa kutekeleza mpango wa Muamala wa Karne na kuchora ramani mpya ya kuliunganisha eneo la Ukingo wa Magharibi na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu, utafeli na kushindwa.

  • Umoja wa Afrika wapinga Muamala wa Karne uliobuniwa na Marekani

    Umoja wa Afrika wapinga Muamala wa Karne uliobuniwa na Marekani

    Feb 09, 2020 23:38

    Mkuu wa Kamisheni ya Afrika amesema kuwa, mpango wa Muamala wa Karne uko dhidi ya Wapalestina na unakinzana na sheria za kimataifa.

  •  Borrell autaka Umoja wa Ulaya kudhamini haki za Iran kwa mujibu wa mkataba wa JCPOA

    Borrell autaka Umoja wa Ulaya kudhamini haki za Iran kwa mujibu wa mkataba wa JCPOA

    Feb 08, 2020 23:12

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema uhai wa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA unafungamana na suala la Iran kudhaminiwa mafao yake katika mkataba huo.

  • Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Wajumbe zaidi ya 100 wa Baraza la Wawakilishi Marekani waukataa mpango wa 'Muamala wa Karne'

    Feb 08, 2020 09:27

    Wajumbe 107 wa chama cha Democrat katika Baraza la Wawakilishi la Marekani wamemwandikia barua rais wa nchi hiyo Donald Trump wakiupinga vikali mpango wake alioupa jina la "Muamala wa Karne".

  • Rais Mahmoud Abbas: Hatutaruhusu mpango mchafu wa Muamala wa Karne utekelezwe

    Rais Mahmoud Abbas: Hatutaruhusu mpango mchafu wa Muamala wa Karne utekelezwe

    Feb 06, 2020 08:45

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa mara nyingine tena ametoa radiamali yake kuhusiana na kuzinduliwa mpango mbaya wa Muamala wa karne na kusisitiza kwamba, taifa la Palestina katu halitaruhusu mpangop huo uliojaa njama utekelezwe.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS