-
Iran yawatia mbaroni wanachama wa ISIS waliotaka kushambulia maombolezo ya Muharram
Aug 05, 2022 01:15Wizara ya Intelijensia ya Iran imetangaza habari ya kutiwa mbaroni wanachama kumi wenye mfungamano na Wazayuni wa kundi la kigaidi na kitakfiri la ISIS (Daesh).
-
Kikao cha Moscow cha maulamaa wa Kishia na Kisuni chatilia mkazo umoja na mshikamano
Jul 27, 2022 08:04Sambamba na kukaribia mwezi wa Muharram, maulamaa na mashekhe wa madhehebu za Suni na Shia wamefanya mkutano wa pamoja katika kituo cha Kiislamu mjini Moscow Russia wakisisitiza juu ya kuwepo umoja baina ya Waislamu na kujiepusha na mifarakano.
-
Arubaini ya Imam Husain AS katika Picha
Nov 05, 2017 10:54Waislamu kutoka kona mbalimbali za dunia wanazidi kumiminika Karbala kwa ajili ya Arubaini ya Imam Husain AS.
-
Muharram; mwezi wa rehema na huruma
Sep 22, 2017 12:25Mwezi wa Muharram ni mwezi wa rehema na huruma na ambao unaweza kuyafanya makundi na madhehebu tofauti ya Kiislamu kuwa na uhusiano mzuri wa kimaanawi.