Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

    NATO inayoongozwa na Marekani yakumbwa na sakata la ufisadi

    May 16, 2025 06:48

    Imefichuka kuwa, nchi nyingi duniani zimeanzisha uchunguzi wa rushwa katika mfumo wa ununuzi wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) linaloongozwa na Marekani.

  • Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Trump: Ukraine ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha mzozo na Russia

    Apr 26, 2025 05:36

    Rais wa Marekani, amedai kuwa maneno yake kuhusu kumaliza vita nchini Ukraine kwa siku moja yalitiwa chumvi, na kusema kuwa Kiev ndiyo ya kulaumiwa kwa kuanzisha vita na Russia.

  • Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Kamanda Mkuu wa US Ulaya: Mauzo ya silaha za Marekani kwa Ulaya yameongezeka kwa 600%

    Apr 09, 2025 06:34

    Kamanda Mkuu wa Marekani katika Kamandi ya jeshi la nchi hiyo barani Ulaya amesema, mauzo ya silaha za Marekani kwa nchi za Ulaya yameongezeka kwa asilimia 600 tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine na akaongeza kuwa, thamani ya kiwango cha silaha zilizoagizwa na nchi za Ulaya tangu vilipoanza vita kati ya Russia na Ukraine hadi sasa imefikia dola bilioni 265.

  • Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Mamia ya familia zalazimika kukimbia baada ya RSF kushambulia vijiji Darfur, Sudan

    Apr 08, 2025 09:42

    Mamia ya familia zimefurushwa kutoka vijiji viwili magharibi mwa Sudan baada ya mashambulizi yaliyofanywa na wapiganaji wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF). Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM).

  • Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Mar 28, 2025 06:04

    Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

  • Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mar 24, 2025 10:34

    Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na Russia na upinzani wa nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya suala hili, na kwa upande mwingine madai ya baadhi ya viongozi wa Ulaya kuhusu vitisho vya Russia dhidi ya bara hilo, nchi hizo sasa zimechukua hatua mpya kwa ajili ya kukabiliana na Moscow.

  • Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Mar 02, 2025 12:25

    Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa kutoka Umoja wa Mataifa UN na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO.

  • Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Feb 27, 2025 10:59

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.

  • Umoja wa Mataifa walishutumu kundi la RSF kwa kuzuia misaada inayopelekwa Darfur, Sudan

    Umoja wa Mataifa walishutumu kundi la RSF kwa kuzuia misaada inayopelekwa Darfur, Sudan

    Feb 11, 2025 06:52

    Umoja wa Mataifa umevishutumu Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF vya Sudan kwa kuzuia msaada katika eneo linalokabiliwa na njaa la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.

  • Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Feb 06, 2025 02:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema mwito wa Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky wa kutaka Kyev ipewe silaha za nyuklia na shirika la kijeshi la NATO unatia wasiwasi mkubwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS