Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Feb 06, 2025 02:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema mwito wa Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky wa kutaka Kyev ipewe silaha za nyuklia na shirika la kijeshi la NATO unatia wasiwasi mkubwa.

  • Askari wa kulinda amani waliouawa DRC waongezeka na kufikia 13, mapigano yazidi kupamba moto

    Askari wa kulinda amani waliouawa DRC waongezeka na kufikia 13, mapigano yazidi kupamba moto

    Jan 26, 2025 11:35

    Idadi ya askari wa kulinda amani waliouawa katika mapigano na waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC imefikia 13.

  • Waasi wa ADF waua raia wasiopungua 21 mashariki ya DRC katika wiki ya Krismasi

    Waasi wa ADF waua raia wasiopungua 21 mashariki ya DRC katika wiki ya Krismasi

    Dec 29, 2024 11:01

    Waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) wameua watu wasiopungua 21 katika mashambulio kadhaa waliyofanya katika wiki ya Krismasi kwenye eneo lililokumbwa na mgogoro wa vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Iran yajibu tuhuma za Katibu Mkuu mpya wa NATO dhidi ya Tehran

    Iran yajibu tuhuma za Katibu Mkuu mpya wa NATO dhidi ya Tehran

    Dec 05, 2024 11:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa matamshi yaliyotolewa na Katibu Mkuu mpya wa shirika la kijeshi la nchi za Maghjaribi, NATO, akiituhumu Iran kuhusu matukio ya Ukraine na kusema matamshi hayo si ya kuwajibika.

  • Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Nov 26, 2024 06:42

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja huo uko hatarini kutokana na kukabiliwa na migogoro mingi kwa wakati mmoja, na akasisitiza kwamba EU haiwezi tena kuitegemea Marekani kwa ajili ya ulinzi wake.

  • Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

    Kuingia vita vya Ukraine katika hatua mpya na kuzidisha mzozo kati ya Russia na NATO

    Nov 24, 2024 02:26

    Matukio ya hivi karibuni katika vita vya Ukraine, yaani uamuzi wa nchi za Magharibi wa kutoa ruhusa kwa Ukraine kuishambulia Russia kwa kutumia silaha za masafa marefu za Marekani na Ulaya kwa upande mmoja, na Russia kutumia w kombora jipya la masafa ya kati lenye kasi ya zaidi ya sauti dhidi ya Ukraine kama tahadhari kali kwa Magharibi, kumeibua mgogoro mkubwa na usio na kifani kati ya Russia na NATO.

  • Korea Kusini yadai: Askari wa Korea Kaskazini wanapigana bega kwa bega na Russia Ukraine

    Korea Kusini yadai: Askari wa Korea Kaskazini wanapigana bega kwa bega na Russia Ukraine

    Oct 09, 2024 02:25

    Waziri wa Ulinzi wa Korea Kusini amesema, inavyoonekana wanajeshi wa Korea Kaskazini wanapigana bega kwa bega na wanajeshi wa Russia nchini Ukraine.

  • Erdogan: Marekani haitaki Ukraine iwe mwanachama wa NATO

    Erdogan: Marekani haitaki Ukraine iwe mwanachama wa NATO

    Sep 27, 2024 03:02

    Rais wa Uturuki amesema kuwa, ingawaje Marekani ndiye mpinzani mkuu wa Ukraine kujiunga na Shirika la la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), lakini pia nchi nyingi za jumuiya hiyo zinapinga Kyev kupewa uanachama.

  • Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Uhispania: NATO inapaswa kuacha undumakuwili kuhusu Ukraine na Gaza

    Jul 12, 2024 11:28

    Waziri Mkuu wa Uhispania ametoa wito kwa wanachama wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kuheshimu sheria za kimataifa kwa kiwango sawa kuhusiana na Gaza na Ukraine bila "kutumia misimamo na sera za kindumakuwili".

  • Kan’ani: Madai ya NATO ya Iran kuisaidia Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Kan’ani: Madai ya NATO ya Iran kuisaidia Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote

    Jul 11, 2024 13:24

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amesema kuwa, madai ya Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO kwamba, Iran inaisadia kijeshi Russia katika vita vya Ukraine hayana msingi wowote.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS