Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

NATO

  • Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Marekani na Ulaya zashindwa kukabiliana na changamoto za kimataifa

    Mar 28, 2025 06:04

    Mark Rutte, Katibu Mkuu wa NATO amesisitiza juu ya umoja wa pande mbili za Bahari ya Atlantiki na kusema kuwa changamoto za kiusalama duniani ni kubwa kiasi kwamba Ulaya na Marekani pake yazo haziwezi kukabiliana nazo.

  • Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mapatano mapya ya nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia

    Mar 24, 2025 10:34

    Kwa kutilia maanani jaribio la utawala wa Trump la kuanzisha usitishaji vita nchini Ukraine kwa kuilazimisha ikubali masharti yaliyowekwa na Russia na upinzani wa nchi za Umoja wa Ulaya dhidi ya suala hili, na kwa upande mwingine madai ya baadhi ya viongozi wa Ulaya kuhusu vitisho vya Russia dhidi ya bara hilo, nchi hizo sasa zimechukua hatua mpya kwa ajili ya kukabiliana na Moscow.

  • Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO

    Mar 02, 2025 12:25

    Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa kutoka Umoja wa Mataifa UN na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO.

  • Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO

    Feb 27, 2025 10:59

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.

  • Umoja wa Mataifa walishutumu kundi la RSF kwa kuzuia misaada inayopelekwa Darfur, Sudan

    Umoja wa Mataifa walishutumu kundi la RSF kwa kuzuia misaada inayopelekwa Darfur, Sudan

    Feb 11, 2025 06:52

    Umoja wa Mataifa umevishutumu Vikosi vya Usaidizi wa Haraka RSF vya Sudan kwa kuzuia msaada katika eneo linalokabiliwa na njaa la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.

  • Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Moscow: Zelensky 'ana kichaa' kwa kutaka silaha za nyuklia za NATO

    Feb 06, 2025 02:32

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, Maria Zakharova amesema mwito wa Rais wa Ukraine, Vladimir Zelensky wa kutaka Kyev ipewe silaha za nyuklia na shirika la kijeshi la NATO unatia wasiwasi mkubwa.

  • Askari wa kulinda amani waliouawa DRC waongezeka na kufikia 13, mapigano yazidi kupamba moto

    Askari wa kulinda amani waliouawa DRC waongezeka na kufikia 13, mapigano yazidi kupamba moto

    Jan 26, 2025 11:35

    Idadi ya askari wa kulinda amani waliouawa katika mapigano na waasi wa M23 mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC imefikia 13.

  • Waasi wa ADF waua raia wasiopungua 21 mashariki ya DRC katika wiki ya Krismasi

    Waasi wa ADF waua raia wasiopungua 21 mashariki ya DRC katika wiki ya Krismasi

    Dec 29, 2024 11:01

    Waasi wa Allied Democratic Forces (ADF) wameua watu wasiopungua 21 katika mashambulio kadhaa waliyofanya katika wiki ya Krismasi kwenye eneo lililokumbwa na mgogoro wa vita mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Iran yajibu tuhuma za Katibu Mkuu mpya wa NATO dhidi ya Tehran

    Iran yajibu tuhuma za Katibu Mkuu mpya wa NATO dhidi ya Tehran

    Dec 05, 2024 11:53

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa matamshi yaliyotolewa na Katibu Mkuu mpya wa shirika la kijeshi la nchi za Maghjaribi, NATO, akiituhumu Iran kuhusu matukio ya Ukraine na kusema matamshi hayo si ya kuwajibika.

  • Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya atoa indhari: Mustakabali wa EU uko 'hatarini'

    Nov 26, 2024 06:42

    Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya anayemaliza muda wake Josep Borrell ametoa indhari kuwa mustakabali wa umoja huo uko hatarini kutokana na kukabiliwa na migogoro mingi kwa wakati mmoja, na akasisitiza kwamba EU haiwezi tena kuitegemea Marekani kwa ajili ya ulinzi wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS