Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ndege ya kivita

  • Ndege za kivita za jeshi la Israel zashambulia makazi ya raia Ukanda wa Gaza

    Ndege za kivita za jeshi la Israel zashambulia makazi ya raia Ukanda wa Gaza

    Apr 23, 2024 03:08

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Kizayuni Israel jana zilishambulia kusini kwa Ukanda wa Gaza na kubomoa nyumba kadhaa za raia katikati mwa Gaza na shule moja katika kambi ya wakimbizi ya al Bureij.

  • Makabiliano ya kijeshi yasiyo ya kawaida kati ya Russia na Marekani katika anga ya Bahari Nyeusi

    Makabiliano ya kijeshi yasiyo ya kawaida kati ya Russia na Marekani katika anga ya Bahari Nyeusi

    Mar 16, 2023 04:15

    Kituo cha kamandi ya Marekani barani Ulaya kimetangaza kuwa Jumanne asubuhi, ndege ya kivita ya Russia aina ya Sukhoi Su-27 iligongana na ndege isiyo na rubani (droni) ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper katika anga ya Bahari Nyeusi, na kupelekea droni hiyo kuanguka kwenye maji ya kimataifa.

  • Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Feb 02, 2022 07:57

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa watu wasiopungua wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika mji wa Sinjar kaskazini mwa Iraq.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti mtakatifu wa al-Aqswa

    Jan 11, 2022 02:40

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kuuvunjia heshima msikiti huo ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Jeshi la Anga la Iran lapokea ndege za kivita za 'Kauthar'

    Jeshi la Anga la Iran lapokea ndege za kivita za 'Kauthar'

    Jun 25, 2020 07:54

    Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimepokea ndege tatu za kivita aina ya 'Kauthar' zilizotengenezwa na wataalamu wa humu nchini.

  • Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    Mahathir bin Mohamad: Marekani inauza duniani ndege zake za kivita zenye ubovu

    May 19, 2020 02:26

    Waziri Mkuu wa zamani wa Malaysia amefichua kwamba serikali ya Marekani iliiuzia nchi hiyo ndege za kivita za F16 huku zikiwa hazina namba maalumu wala vifaa muhimu na kwamba Washington huwa inatekeleza siasa hizo kwa nchi zote za dunia isipokuwa utawala haramu wa Kizayuni.

  • Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Marekani yatishia kuiwekea vikwazo Misri kwa kununua ndege za kivita za Russia

    Nov 16, 2019 11:17

    Mitazamo ya upande mmoja ya Marekani na juhudi za nchi hiyo za kuimarisha ubeberu wake duniani, ambazo zimepata kasi kubwa katika utawala wa Rais Donald Trump, imechukua muelekeo mpya ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa huko nyuma.

  • Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Raia 10 wa Syria wauawa katika mashambulizi ya ndege za muungano vamizi

    Mar 17, 2019 16:55

    Duru za habari za Syria zimetangaza kuwa raia kumi wa nchi hiyo wamuawa katika mashambulizi yaliyofanywa na ndege za muungano vamizi unaoongozwa na Marekani huko mashariki mwa Syria.

  • Iran yaanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kivita aina ya 'Kauthar' + Video

    Iran yaanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kivita aina ya 'Kauthar' + Video

    Nov 04, 2018 02:41

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeanza kuzalisha kwa wingi ndege ya kisasa ya kivita iliyopewa jina la 'Kauthar'.

  • Ndege irukayo kwa mwendo wa kasi kuliko ya sauti ya “Kowsar”; kielelezo cha uwezo wa Iran unaotokana na wataalamu wa ndani + Video

    Ndege irukayo kwa mwendo wa kasi kuliko ya sauti ya “Kowsar”; kielelezo cha uwezo wa Iran unaotokana na wataalamu wa ndani + Video

    Aug 23, 2018 01:40

    Rais Hassan Rouhani amesema: "kujizatiti kulinzi Iran maana yake si kushupalia vita ila ni kutaka kuwa na usalama na amani endelevu, kwa sababu historia imetufunza kuwa kama hatutakuwa imara na wenye nguvu tutasambaratishwa."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS