Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

ndege ya kivita

  • Rais Rouhani: Iran haiiamini Marekani hata kidogo

    Rais Rouhani: Iran haiiamini Marekani hata kidogo

    Aug 21, 2018 15:21

    Rais Hassan Rouhani amesema Iran haiiamini Marekani hata kidogo na kwamba nchi za Ulaya, China na Canada, nazo pia hazina imani tena na nchi hiyo.

  • Radiamali kwa makubaliano ya kuiuzia Saudia ndege za kivita za Uingereza aina ya Typhoon

    Radiamali kwa makubaliano ya kuiuzia Saudia ndege za kivita za Uingereza aina ya Typhoon

    Mar 11, 2018 07:48

    Hatua ya kusainiwa makubaliano ya kuiuzia Saudi Arabia ndege 48 za kivita aina ya typhoon katika safari ya Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo huko London imeakisiwa pakubwa na duru za kisiasa na vyombo vya habari vya ndani na nje ya Uingereza.

  • Ndege za Saudia zaendelea kubomoa misikiti nchini Yemen

    Ndege za Saudia zaendelea kubomoa misikiti nchini Yemen

    Nov 26, 2017 13:35

    Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zikishirikiana na za Marekani zimeendelea kubomoa misikiti, nyumba za raia na vituo vya serikali na vya watu binafsi katika maeneo mbalimbali ya Yemen.

  • Ndege ya kivita ya Saudi Arabia yaanguka kusini mwa Yemen; rubani aaga dunia

    Ndege ya kivita ya Saudi Arabia yaanguka kusini mwa Yemen; rubani aaga dunia

    Sep 14, 2017 07:50

    Ndege ya kivita ya Saudi Arabia imeanguka katika mkoa wa Abyan kusini mwa Yemen kwa sababu zisizojulikana na kuuwa rubani.

  • Wayemen watungua helikopta ya Saudia, askari kadhaa wauawa

    Wayemen watungua helikopta ya Saudia, askari kadhaa wauawa

    Apr 19, 2017 02:30

    Jeshi la Yemen likishirikiana na wapiganaji wa kujitolea limefanikiwa kutungua helikopta ya kisasa ya Saudi Arabia ambayo ilikuwa ikitumika katika mashambulizi ya anga ya Riyadh dhidi ya nchi hiyo jirani ya Kiarabu.

  • Shambulizi la Marekani lafeli Syria, ndege zaanza kuruka kama kawaida

    Shambulizi la Marekani lafeli Syria, ndege zaanza kuruka kama kawaida

    Apr 08, 2017 07:52

    Siku moja baada ya Marekani kufanya shambulio la makombora dhidi ya uwanja wa ndege wa jeshi la anga la Syria wa Shayrat huko Homs, ndege za kivita za Syria zimeanza kuruka kama kawaida kwa ajili ya kuendeleza mapambano dhidi ya magaidi wanaoungwa mkono na Marekani na vibaraka wake.

  • Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio dhidi ya wananchi wa Yemen

    Saudi Arabia yaendelea kufanya mashambulio dhidi ya wananchi wa Yemen

    Feb 16, 2017 04:06

    Ndege za kijeshi za Saudi Arabia zimeendelea kufanya mashambulio dhidi ya Yemen ikitumia mabomu yaliyopigwa marufuku ya fosforasi na vishada.

  • Ndege za kivita za Saudia zashambulia Yemen mara 80 kwa siku moja

    Ndege za kivita za Saudia zashambulia Yemen mara 80 kwa siku moja

    Sep 04, 2016 13:56

    Raia kadhaa wa Yemen, wakiwemo watoto, wameuawa baada ya ndege za kivita za Saudi Arabia kutekeleza mashambulizi zaidi ya 80 kote Yemen katika muda wa siku moja.

  • Ndege za kivita za Saudia zaua raia 5 nchini Yemen

    Ndege za kivita za Saudia zaua raia 5 nchini Yemen

    Apr 09, 2016 16:03

    Kwa akali raia watano Wayemen wameuawa kufuatia mashambulio mapya ya ndege za kivita za utawala wa Saudia katika mkoa wa Tai'zz wa kusini magharibi mwa Yemen.

Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS