Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    ICC: Mawasiliano na ufuatiliaji unaendelea kufanywa ili kuwatia nguvuni Netanyahu na Gallant

    Dec 15, 2024 05:35

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC imetangaza kuwa, mawasiliano na ufuatiliaji mkubwa unaendelea kufanywa ili kuweza kuwatia mbaroni waziri mkuu pamoja na waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Syria yajibu madai ya Netanyahu kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu

    Syria yajibu madai ya Netanyahu kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu

    Dec 11, 2024 04:29

    Spika wa Bunge la Syria amejibu madai ya kijeuri ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Golan inayokaliwa kwa mabavu.

  • Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Shirikisho la Wanahabari: Waandishi 104 wameuliwa 2024, zaidi ya nusu wameuawa Ghaza

    Dec 10, 2024 11:26

    Shirikisho la Kimataifa la Wanahabari (IFJ) limetangaza leo kuwa 2024 umekuwa mwaka wa "mauti zaidi" kwa waandishi wa habari kutokana na waandishi 104 wa habari kuuawa duniani kote, huku zaidi ya nusu kati yao wakiuawa katika Ukanda wa Ghaza.

  • Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant

    Jumuiya 11 za Ufaransa zaihimiza serikali itekeleze agizo la ICC la kumkamata Netanyahu na Gallant

    Nov 24, 2024 10:01

    Jumuiya 11 zisizo za kiserikali (NGO's) nchini Ufaransa zimeitaka serikali ya nchi hiyo itekeleze agizo la Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ya kukamatwa kwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na mkuu wa zamani wa ulinzi Yoav Gallant.

  • Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi

    Maji yamfika shingoni Netanyahu; amtimua waziri wa vita, maandamano yashtadi

    Nov 06, 2024 03:05

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu amemfuta kazi Waziri wa Vita wa utawala huo, Yoav Gallant kutokana na kushindwa kwa utawala huo wa Kizayuni kukabiliana na mrengo wa Muqawama katika Ukanda wa Gaza na Lebanon.

  • Ripoti: Netanyahu na Gallant wamekimbilia kwenye mahandaki

    Ripoti: Netanyahu na Gallant wamekimbilia kwenye mahandaki

    Oct 26, 2024 11:01

    Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu na Yoav Gallant Waziri wa Vita wa utawala huo wamekimbilia katika mahandaki kujificha kwa kuhofia kushambuliwa.

  • Mufti wa Oman apongeza shambulio dhidi ya makazi ya Netanyahu

    Mufti wa Oman apongeza shambulio dhidi ya makazi ya Netanyahu

    Oct 21, 2024 06:35

    Mufti Mkuu wa utawala wa Kisultani wa Oman amepongeza shambulio la wanamuqawama lililolenga makazi ya Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • UK: Hatutapinga waranti wa ICC wa kukamatwa Netanyahu kwa kuhusika na jinai za kivita

    UK: Hatutapinga waranti wa ICC wa kukamatwa Netanyahu kwa kuhusika na jinai za kivita

    Jul 27, 2024 10:17

    Serikali mpya ya Uingereza imetangaza kuwa, tofauti na serikali iliyopita ya nchi hiyo, haitapinga kutekelezwa hukumu ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu kukamatwa Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kwa sababu ya kuhusika na uhalifu wa kivita.

  • Netanyahu kutopitia Ulaya akienda US, anahofia kukamatwa

    Netanyahu kutopitia Ulaya akienda US, anahofia kukamatwa

    Jul 11, 2024 02:33

    Waziri Mkuu wa utawala wa Israel, Benjamin Netanyahu amefuta mpango wa kushukia katika moja ya nchi za Ulaya kabla ya kuendelea na safari yake ya kwenda Marekani, akihofia kuwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) inajiandaa kutoa waranti wa kumtia nguvuni kwa tuhuma za kuhusika na jinai za kivita katika Ukanda wa Gaza.

  • Jenerali wa Israel: ‘Makubaliano tu’ na Hamas ndio yanayoweza kuwarudisha nyumbani mateka wengine

    Jenerali wa Israel: ‘Makubaliano tu’ na Hamas ndio yanayoweza kuwarudisha nyumbani mateka wengine

    Jun 09, 2024 09:28

    Israel Ziv, mkuu wa zamani wa kitengo cha operesheni za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amesema, inapasa kuwepo na "mpango mpana na wa kina" wa kuwarudisha mateka waliosalia na kumaliza vita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS