Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Netanyahu

  • HAMAS: Kufanya ibada ya Kiyahudi Rubio na Netanyahu kwenye Ukuta wa Buraq ni kuitusi Quds na Msikiti wa Al Aqsa

    HAMAS: Kufanya ibada ya Kiyahudi Rubio na Netanyahu kwenye Ukuta wa Buraq ni kuitusi Quds na Msikiti wa Al Aqsa

    Sep 15, 2025 02:55

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, hatua ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, pamoja na Benjamin Netanyahu, ambaye anasakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC ya kufanya ibada ya Kiyahudi kwenye Ukuta wa Buraq, ambayo ni sehemu isiyotenganika na Msikiti wa Al-Aqsa, ni kuuvunjia heshima waziwazi utakatifu wa msikiti huo na ni ukiukaji wa hadhi ya kihistoria na kisheria ya Baitul Muqaddas.

  • Netanyahu aapa hakutakuwa na Dola la Palestina, asisitiza ardhi yote ni milki ya wazayuni

    Netanyahu aapa hakutakuwa na Dola la Palestina, asisitiza ardhi yote ni milki ya wazayuni

    Sep 12, 2025 06:58

    Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameapa kuwa, hakutakuwa na dola la Palestina, na kusisitiza kwamba ardhi zote za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo haramu ni milki ya wazayuni.

  • Netanyahu na jeshi la kizayuni watoa vitisho vikali kwa Wapalestina: Ondokeni Ghaza sasa hivi!

    Netanyahu na jeshi la kizayuni watoa vitisho vikali kwa Wapalestina: Ondokeni Ghaza sasa hivi!

    Sep 09, 2025 06:58

    Waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ametishia kile anachokiita operesheni kali ya ardhini katika mji wa Ghaza, huku akitoa vitisho kwa Wapalestina walioko katika mji huo kwa kuwataka waondoke sasa hivi.

  • Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Kwa nini maandamano yameshadidisha hali mbaya ya mgogoro Israel?

    Aug 19, 2025 06:56

    Mgogoro wa hivi sasa katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel) na kushadidi maandamano yanaashiria kudhoofika muundo wa kisiasa na kiusalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Borrell amkemea Netanyahu kwa kutaka Trump apewe Tuzo ya Amani ya Nobel

    Borrell amkemea Netanyahu kwa kutaka Trump apewe Tuzo ya Amani ya Nobel

    Jul 10, 2025 02:39

    Mkuu wa zamani wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amekemea pendekezo la waziri mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu la kutaka rais wa Marekani Donald Trump atunukiwe Tuzo ya Amani ya Nobel, akilielezea hilo kuwa ni hatua iliyochukuliwa na "mtu anayeaminika kuwa mhalifu wa kivita" kwa ajili ya "muuzaji wake mkuu wa silaha".

  • Seneta, mbunge wa US walaani mhalifu wa vita Netanyahu kukaribishwa tena White House

    Seneta, mbunge wa US walaani mhalifu wa vita Netanyahu kukaribishwa tena White House

    Jul 09, 2025 04:43

    Seneta wa Marekani Bernie Sanders na Mbunge Ilhan Omar wamelaani waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu kukaribishwa tena mjini Washington na katika Ikulu ya White House wakati utawala huo ghasibu unaendeleza vita vya kinyama na mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza, ambapo zaidi ya Wapalestina 57,500 wameuawa shahidi hadi sasa.

  • Ni marufuku wenye paspoti za Israel kuingia Maldives kutokana na jinai za Wazayuni Ghaza

    Ni marufuku wenye paspoti za Israel kuingia Maldives kutokana na jinai za Wazayuni Ghaza

    Apr 15, 2025 22:50

    Maldives haitawaruhusu tena watu wenye pasi za kusafiria za utawala wa Kizayuni wa Israel kuingia nchini humo.

  • Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Amnesty International: Netanyahu anapaswa kukamatwa na kupelekwa The Hague

    Apr 01, 2025 23:36

    Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, mwaliko wa Hungary kwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuzuru nchi hiyo ni ukiukaji wa sheria za kimataifa, na Budapest inapaswa kumkamata na kumkabidhi kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • HAMAS: Netanyahu anaongopa akidai vita vitawarejesha mateka wote wakiwa hai

    HAMAS: Netanyahu anaongopa akidai vita vitawarejesha mateka wote wakiwa hai

    Mar 26, 2025 07:41

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imemshutumu Waziri Mkuu wa Israel, Benjami Netanyahu kwa "kudanganya familia za [mateka], anapodai kuwa chaguo la kijeshi lina uwezo wa kuwarejesha (mateka wote) wakiwa hai."

  • Mawakili 77 wa Ujerumani waitaka serikali iheshimu hukumu ya ICC ya kumkamata Netanyahu

    Mawakili 77 wa Ujerumani waitaka serikali iheshimu hukumu ya ICC ya kumkamata Netanyahu

    Mar 23, 2025 23:01

    Mawakili 77 mashuhuri wa Ujerumani wametoa tamko la kuunga mkono uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kuagiza waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe na kuitaka serikali ya shirikisho ya Ujerumani iheshimu uamuzi huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS