-
Zaidi ya watu 100 wauawa katika shambulio dhidi ya kambi ya jeshi Niger
Dec 05, 2021 12:08Shambulio la kigaidi dhidi ya kambi moja ya jeshi magharibi mwa Niger limepelekea zaidi ya watu 100 kuuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa.
-
Upinzani dhidi ya wanajeshi wa Ufaransa waongezeka Niger, Burkina Faso
Nov 27, 2021 23:21Asasi za kitaifa za Niger zimeendelea na harakati kama za wananchi wa Burkina Faso za kufanya maandamano ya kupinga kuwepo wanajeshi wa Ufaransa katika nchi hizo.
-
Wanne wajeruhiwa Burkina Faso katika kupinga msafara wa kijeshi wa Ufaransa
Nov 21, 2021 04:42Vyombo vya habari vimeripot kwamba raia wanne wa Burkina Faso wamejeruhiwa katika malalamiko ya kupinga kupita nchini humo msafara wa kijeshi wa Ufaransa kuelekea nchi jirani ya Niger.
-
Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki
Nov 20, 2021 23:32Niger na Uturuki zimetangaza kufikia makubaliano ambayo yanajumuisha kuiuzia Niger silaha mbalimbali zikiwemo ndege zisizo na rubani (droni) na magari ya kivita ili kuongeza uwezo wake wa kijeshi katika kukabiliana na makundi ya kigaidi.
-
25 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Niger
Nov 17, 2021 23:27Watu wasiopungua 25 wameuawa katika shambulio la watu waliobeba silaha huko kusini magharibi mwa Niger.
-
Wanafunzi 26 waaga dunia katika mkasa wa moto shuleni Niger
Nov 08, 2021 23:53Wanafunzi wasiopungua 26 wameaga dunia katika mkasa wa moto ulioikumba shule moja nchini Niger.
-
AU yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua watu 69 Niger
Nov 05, 2021 23:54Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani shambulio la kigaidi lililoua makumi ya watu huko kusini magharibi mwa Niger.
-
Watu wapatao 70 wauawa katika shambulio dhidi ya kijiji kusini magharibi mwa Niger
Nov 04, 2021 23:38Serikali ya Niger imethibitisha kuwa watu wasiopungua 69, akiwemo meya wa mji, wameuawa katika shambulio lililofanywa na watu wenye silaha kusini magharibi mwa nchi hiyo.
-
Watu 10 wauawa msikitini katika hujuma ya kigaidi Niger
Oct 14, 2021 02:34Taarifa zinasema kuwa watu 10 wameuawa katika shambulizi la kigaidi lililolenga msikiti wa kijiji kimoja huko magharibi mwa Niger.
-
Amnesty International: Watoto wengi wanauawa au kusajiliwa na makundi ya kitakfiri
Sep 13, 2021 21:03Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetangaza kuwa, watoto wengi wamekuwa wakisajiliwa na kutumiwa kama askari vitani na makundi ya kitakfiri au kuuawa na makundi hayo katika maeneo ya mpaka wa Burkina Faso, Niger na Mali