-
Kipindupindu chaua zaidi ya watu 100 katika maeneo ya mpaka wa pamoja wa Niger na Nigeria
Sep 04, 2021 02:17Wizara ya Afya ya Niger imetangaza kuwa, watu zaidi ya 100 wameaga dunia kwa ugonjwa wa kipindupindu ulioyakumba maeneo ya karibu na mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Nigeria.
-
Niger: Wanajeshi 16 wauawa katika shambulio la magaidi wa Boko Haram
Aug 26, 2021 03:34Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kwa akali wanajeshi wake 16 wameuawa kufuatia shambulio la kigaidi kusini magharibi mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Makumi ya watu wauawa katika hujuma ya silaha magharibi mwa Niger
Aug 17, 2021 11:21Kundi moja la watu wasiojulikana limeua karibu raia 40 huko magharini mwa nchi ya Niger.
-
Watu 19 wauawa katika shambulizi jipya la wabeba silaha Niger
Jul 30, 2021 08:09Raia 19 wameuawa kwenye shambulizi linaloaminika kuwa la kigaidi katika mpaka wa Niger na Mali.
-
Watu 14 wauawa katika shambulio la kundi la wabeba silaha magharibi ya Niger
Jul 27, 2021 10:23Serikali ya Niger imetangaza kuwa raia 14 wameuliwa katika shambulio lililofanywa na kundi la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.
-
Watu 19 wauawa katika shambulio la wabeba silaha nchini Niger
Apr 19, 2021 03:16Kwa akali watu 19 wanaripotiwa kuuawa katika shambulio la wabeba silaha huko magharibi mwa Niger,mpakani mwa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika na Mali.
-
Rais mpya wa Niger aapishwa baada ya jaribio la mapinduzi
Apr 02, 2021 22:08Mohamed Bazoum ameapishwa kuwa Rais mpya wa Niger, siku chache baada ya kujiri jaribio la mapinduzi lililofeli nchini humo.
-
Milio mikubwa ya risasi yasikika karibu na ofisi ya rais nchini Niger
Mar 31, 2021 03:13Milio mikubwa ya risasi imesikika mapema leo karibu na ofisi ya rais wa Niger katika mji mkuu wa nchi hiyo Niamey, siku mbili kabla ya kuapishwa rais mpya Mohamed Bazoum.
-
Serikali ya Niger: Raia waliouawa katika mashambulio ya wabeba silaha hawapungui 137
Mar 23, 2021 02:52Serikali ya Niger imetangaza kuwa, raia waliouawa katika hujuma za kinyama zilizofanywa na washambuliaji waliobeba silaha katika vijiji kadhaa vya eneo la Tahoua kusini magharibi mwa nchi hiyo hawapungui 137.
-
Mahakama ya Katiba ya Niger 'yabariki' ushindi wa Mohamed Bazoum
Mar 22, 2021 06:43Mahakama ya Katiba ya Niger imeidhinisha ushindi wa matokeo ya uchaguzi wa rais yaliyompa ushindi mgombea wa chama tawala cha PNDS, Mohamed Bazoum.