-
Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Saudi Arabia
Sep 21, 2018 03:23Katika safari yake nchini Saudi Arabia Imran Khan, Waziri Mkuu wa Pakistan amekutana na kufanya mazungumzo na Mfalme Salman bin Abdul Aziz pamoja na Muhammad bin Salman mrithi wa kiti cha ufalme wa nchi hiyo.
-
Kulaaniwa jinai za Saudi Arabia nchini Yemen na Waziri wa Haki za Binadamu wa Pakistan
Sep 12, 2018 02:31Waziri wa Haki za Binadamu wa Pakistan amelaani mauaji ya kizazi ya Saudi Arabia dhidi ya wananchi madhulumu wa Yemen.
-
Nipigie baada ya dakika 30: Waziri Mkuu wa Pakistan amtaka Rais wa Ufaransa angojee kwenye laini ya simu
Sep 01, 2018 21:51Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alitakiwa angojee kwa muda wa nusu saa kuzungumza na Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan, baada ya kumpigia simu bila taarifa wakati Waziri Mkuu huyo wa Pakistan akiwa kwenye kikao na shakhsia waandamizi wa vyombo vya habari vya nchi hiyo.
-
Mazungumzo ya Dakta Zarif na Waziri Mkuu wa Pakistan
Aug 31, 2018 23:40Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo na Imrah Khan Waziri Mkuu wa Pakistan aliyechaguliwa hivi karibuni.
-
Zarif: Hatuna mpaka wowote katika kustawisha uhusiano wetu na Pakistan
Aug 31, 2018 09:25Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran haina mpaka wowote katika kukuza na kustawisha uhusiano wake na jirani yake Pakistan.
-
Safari ya Zarif mjini Islamabad; kufunguliwa ukurasa mpya wa uhusiano wa Iran na Pakistan
Aug 31, 2018 08:36Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameelekea nchini Pakistan kwa safari rasmi ya siku mbili akiwa mwanadiplomasia wa mwanzo wa kigeni kutembelea nchi hiyo na kukutana kwa mazungumzo na maafisa mbalimbali wa serikali mpya chini ya uwaziri mkuu wa Imran Khan.
-
Maandamano ya kilomita 400 yafanyika Pakistan kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW
Aug 30, 2018 03:26"Harakati ya Tumeitika Ewe Mjumbe wa Allah" ya nchini Pakistan inayoongozwa na Allamah Khadim Hussein Razavi jana ilianza maandamano yake kutoka mji wa Lahore kuelekea Islamabad, mji mkuu wa nchi hiyo ambayo yanafanyika kwa lengo la kulaani kuvunjiwa heshima Bwana Mtume Muhammad SAW nchini Uholanzi.
-
Bunge la Pakistan lalaani vikali kitendo cha kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw)
Aug 27, 2018 23:13Wawakilishi wa bunge la seneti nchini Pakistan wametoa taarifa ya pamoja ya kulaani kitendo cha chama chenye misimamo ya chuki dhidi ya Uislamu cha Uhuru nchini Uholanzi cha kuendesha mashindano ya katuni dhidi ya Mtukufu Mtume Muhammad (saw).
-
Kuchaguliwa Imran Khan kuwa Waziri Mkuu mpya wa Pakistan
Aug 20, 2018 03:26Kwa kupata kura 176 za wabunge wa bunge la taifa la Pakistan, Imran Khan, Mkuu wa Chama cha Tehreek-e-Insaf cha Pakistan ametangazwa kuwa Waziri Mkuu wa 22 wa nchi hiyo.
-
Imran Khan aapishwa kama waziri mkuu mpya wa Pakistan
Aug 18, 2018 02:52Nyota wa zamani wa mchezo wa cricket nchini Pakistan amechukua nafasi ya waziri mkuu mpya wa nchi hiyo kufuatia idhini ya bunge.