Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Shauku ya Pakistan ya kustawisha zaidi uhusiano wa kibiashara na Iran

    Shauku ya Pakistan ya kustawisha zaidi uhusiano wa kibiashara na Iran

    Aug 06, 2018 02:40

    Mkuu wa Chama cha Tehreek-e-Insaf cha Pakistan ambacho hivi karibuni kiliibuka na ushindi katika uchaguzi wa Bunge, kwa mara nyingine tena ametangaza utayari wake wa kustawisha uhusiano wa pande zote na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Katibu Mkuu wa UN apongeza uchaguzi wa Bunge Pakistan

    Katibu Mkuu wa UN apongeza uchaguzi wa Bunge Pakistan

    Jul 27, 2018 23:03

    Katibu MKuu wa Umoja wa Mataifa ametoa taarifa akipongeza uchaguzi wa Bunge nchini Pakistan na kuutaja kuwa ni hatua nzuri ya kurejesha amani na demokrasia nchini humo.

  • Wasi wasi wa kushiriki baadhi ya wanachama wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi wa Pakistan

    Wasi wasi wa kushiriki baadhi ya wanachama wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi wa Pakistan

    Jul 18, 2018 22:35

    Spika wa zamani wa Bunge la Kongresi nchini Pakistan, amekutaja kushiriki kwa baadhi ya viongozi wa zamani wa makundi ya kigaidi katika uchaguzi ujao wa bunge, kuwa ni maafa.

  • Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Aziz Ahmed Fanus: Saudia inalinda maslahi ya Marekani nchini Afghanistan

    Jul 15, 2018 23:46

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa na kieneo wa nchini Afghanistan ambaye pia ni muhadhiri katika Chuo Kikuu cha mjini Kabul, mji mkuu wa nchi hiyo amesema kuwa, Saudi Arabia inalinda kikamilifu maslahi na malengo ya Marekani nchini Afghanistan.

  • Shambulizi la kigaidi Balochistan, nchini Pakistan

    Shambulizi la kigaidi Balochistan, nchini Pakistan

    Jul 14, 2018 07:23

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani shambulizi la kigaidi lililolenga mkutano wa kampeni za uchaguzi katika mkoa wa Balochistan nchini Pakistan.

  • Watu 70 wameuawa katika mlipuko uliolenga kampeni za uchaguzi Pakistan

    Watu 70 wameuawa katika mlipuko uliolenga kampeni za uchaguzi Pakistan

    Jul 13, 2018 12:18

    Watu wasiopungua 70 wameuawa hii leo katika mlipuko wa bomu ulioulenga msafara wa kampeni za uchaguzi mkoani Baluchistan kusini magharibi mwa Pakistan.

  • Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi

    Jul 06, 2018 09:55

    Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.

  • Joto ambalo halijawahi kushuhudiwa Pakistan laendelea kusababisha maafa

    Joto ambalo halijawahi kushuhudiwa Pakistan laendelea kusababisha maafa

    May 25, 2018 09:19

    Hadi sasa ongezeko la joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa mjini Karachi, Pakistan limesababisha maafa ya makumi ya watu.

  • Wimbi la joto kali laua watu 65 nchini Pakistan

    Wimbi la joto kali laua watu 65 nchini Pakistan

    May 22, 2018 09:18

    Watu wasiopungua 65 wamepoteza maisha kutokana na joto kali linaloshuhudiwa katika mji mkuu wa Pakistan, Karachi.

  • Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan

    Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan

    Apr 17, 2018 09:43

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH limefanikiwa kuzima jaribio la shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hii na Pakistan, ambapo magaidi watatu wameangamizwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS