Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Wabunge Pakistan walalamikia kunyongwa raia 66 wa nchi hiyo huko Saudia

    Wabunge Pakistan walalamikia kunyongwa raia 66 wa nchi hiyo huko Saudia

    Apr 12, 2018 23:35

    Wawakilishi wa bunge la seneti nchini Pakistan wamelaani hatua ya kunyongwa raia 66 wa nchi hiyio katika kipindi cha miaka mitano pekee iliyopita huko nchini Saudi Arabia.

  • Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir

    Apr 02, 2018 02:53

    Watu wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India kufuatia mapigano makali baina ya wanajeshi wa India na wanamgambo wanaopigania kujitenga eneo hilo linalozozaniwa la Himalaya.

  • Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia

    Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia

    Mar 27, 2018 22:08

    Serikali ya Pakistan imetoa radiamali ya onyo kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington ya kuyawekea vikwazo mashirika saba ya nchi hiyo kwa kujihusisha na shughuli za nyuklia.

  • Mwanaharakati Pakistan: Dini ya Uislamu haihusiki hata kidogo katika kumwaga damu

    Mwanaharakati Pakistan: Dini ya Uislamu haihusiki hata kidogo katika kumwaga damu

    Mar 15, 2018 11:03

    Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kisiasa na Kidini nchini Pakistan, amesema kuwa Uislamu wa kweli hauhusiki kwa namna yoyote na umwagaji damu unaofanywa na makundi ya kigaidi.

  • Aal Saud na jinamizi la ukosefu wa usalama

    Aal Saud na jinamizi la ukosefu wa usalama

    Feb 22, 2018 23:00

    Vyombo vya habari ukiwemo mtandao wa Middle East Eye vimefichua kwamba, sababu ya kupelekwa idadi kubwa ya askari wa Pakistan nchini Saudi Arabia ni kulinda kizazi cha na ukoo wa mfalme wa nchi hiyo baada ya mageuzi na mapinduzi baridi yaliyofanyika ndani ya utawala wa kifalme na kuongezeka wasiwasi na hatari inayotishia watawala wa sasa.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan: Hatuhitaji msaada wa fedha wa Marekani

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan: Hatuhitaji msaada wa fedha wa Marekani

    Jan 25, 2018 10:12

    Katika radiamali kwa hatua ya Marekani ya kusitisha msaada wake wa kifedha kwa Pakistan, Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amesema, Islamabad haina haja na msaada huo wa Washington.

  • Maulamaa wa Pakistan watoa fatua ya kuharamisha kujiripua

    Maulamaa wa Pakistan watoa fatua ya kuharamisha kujiripua

    Jan 17, 2018 00:47

    Mamia ya maulamaa wa Kiislamu nchini Pakistan wametoa fatua ya kuharamisha mashambulizi ya kujitoa muhanga, katika hali ambayo nchi hiyo inaendelea kukabiliwa na hujuma za magenge ya kigaidi.

  • Larijani: Iran na Pakistan zimesimama kidete kukabiliana na matatizo ya ugaidi kwa busara

    Larijani: Iran na Pakistan zimesimama kidete kukabiliana na matatizo ya ugaidi kwa busara

    Jan 16, 2018 01:05

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Pakistan zikitumia busara na werevu zimeweza kusimama kidete na kukabiliana vyema na matatizo mbalimbali yanayosababishwa na ugaidi.

  • Jibu la Wapakistan kwa matamshi mapya ya Trump

    Jibu la Wapakistan kwa matamshi mapya ya Trump

    Jan 03, 2018 09:46

    Matamshi mapya ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu makosa ya kistratijia ya nchi hiyo katika kuipa Pakistan misaada ya kifedha kwa zaidi ya muongo mmoja uliopita, yamekabiliwa na radiamali kali kutoka kwa Wapakistan.

  • Viongozi wa kisiasa Pakistan wakerwa na Trump, waitaka serikali kuisusa US

    Viongozi wa kisiasa Pakistan wakerwa na Trump, waitaka serikali kuisusa US

    Jan 02, 2018 04:21

    Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati nchini Pakistan wameonyesha kukerwa mno na matamshi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu nchi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS