-
Watu 70 wameuawa katika mlipuko uliolenga kampeni za uchaguzi Pakistan
Jul 13, 2018 12:18Watu wasiopungua 70 wameuawa hii leo katika mlipuko wa bomu ulioulenga msafara wa kampeni za uchaguzi mkoani Baluchistan kusini magharibi mwa Pakistan.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan miaka 10 jela kwa ufisadi
Jul 06, 2018 09:55Mahakama ya Kupambana na Ufisadi ya Pakistan imempata na hatia ya ufisadi wa kifedha aliyekuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo pamoja na binti yake na kuwahukumu kifungo cha miaka 10 jela.
-
Joto ambalo halijawahi kushuhudiwa Pakistan laendelea kusababisha maafa
May 25, 2018 09:19Hadi sasa ongezeko la joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa mjini Karachi, Pakistan limesababisha maafa ya makumi ya watu.
-
Wimbi la joto kali laua watu 65 nchini Pakistan
May 22, 2018 09:18Watu wasiopungua 65 wamepoteza maisha kutokana na joto kali linaloshuhudiwa katika mji mkuu wa Pakistan, Karachi.
-
Jeshi la Iran lazima shambulio la kigaidi katika mpaka na Pakistan
Apr 17, 2018 09:43Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran SEPAH limefanikiwa kuzima jaribio la shambulizi la kigaidi karibu na mpaka wa nchi hii na Pakistan, ambapo magaidi watatu wameangamizwa.
-
Wabunge Pakistan walalamikia kunyongwa raia 66 wa nchi hiyo huko Saudia
Apr 12, 2018 23:35Wawakilishi wa bunge la seneti nchini Pakistan wamelaani hatua ya kunyongwa raia 66 wa nchi hiyio katika kipindi cha miaka mitano pekee iliyopita huko nchini Saudi Arabia.
-
Watu 20 wauawa katika mapigano ya jeshi la India na wanaotaka kujitenga Kashmir
Apr 02, 2018 02:53Watu wasiopungua 20 wamepoteza maisha katika eneo la Kashmir linalodhibitiwa na India kufuatia mapigano makali baina ya wanajeshi wa India na wanamgambo wanaopigania kujitenga eneo hilo linalozozaniwa la Himalaya.
-
Pakistan yaionya Marekani kwa kuyawekea vikwazo mashirika yake saba ya nyuklia
Mar 27, 2018 22:08Serikali ya Pakistan imetoa radiamali ya onyo kwa Marekani kufuatia hatua ya Washington ya kuyawekea vikwazo mashirika saba ya nchi hiyo kwa kujihusisha na shughuli za nyuklia.
-
Mwanaharakati Pakistan: Dini ya Uislamu haihusiki hata kidogo katika kumwaga damu
Mar 15, 2018 11:03Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Kisiasa na Kidini nchini Pakistan, amesema kuwa Uislamu wa kweli hauhusiki kwa namna yoyote na umwagaji damu unaofanywa na makundi ya kigaidi.
-
Aal Saud na jinamizi la ukosefu wa usalama
Feb 22, 2018 23:00Vyombo vya habari ukiwemo mtandao wa Middle East Eye vimefichua kwamba, sababu ya kupelekwa idadi kubwa ya askari wa Pakistan nchini Saudi Arabia ni kulinda kizazi cha na ukoo wa mfalme wa nchi hiyo baada ya mageuzi na mapinduzi baridi yaliyofanyika ndani ya utawala wa kifalme na kuongezeka wasiwasi na hatari inayotishia watawala wa sasa.