-
Ujumbe wa jumuiya za Mayahudi watembelea Saudia kwa siri na kufanya mazungumzo katika kasri la Mfalme Salman
Feb 15, 2020 23:20Kanali ya Kwanza ya televisheni ya Israel imetangaza kuwa ujumbe uliojumuisha viongozi wa jumuiya za Kiyahudi za Marekani ulitembelea Saudi Arabia siku za hivi karibuni na kupokewa katika kasri la Mfalme Salman bin Abdul Azizi Aal Saud mjini Riyadh.
-
Saudia yaanzisha wimbi jipya la kuwatia mbaroni Wapalestina
Feb 14, 2020 04:02Utawala wa Aal-Saud umeanzisha wimbi jipya la kuwakamata na kuwazuilia raia wa Palestina wanaoishi Saudi Arabia kwa madai ya kuiunga mkono Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel
Feb 13, 2020 01:06Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatekeleza uvamizi au hatua yoyote ya kijinga dhidi ya maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria na katika eneo, basi utawala huo utapokea jibu kali ambalo litakuwa la majuto."
-
Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN
Feb 12, 2020 04:10Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.
-
Palestina yaishukuru Iran kutokana na misimamo yake chanya katika kutetea taifa hilo
Feb 11, 2020 04:05Balozi wa Palestina mjini tehran amepongeza misimamo imara na tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu haki za taifa hilo hususan msimamo wake wa kupinga mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne.
-
Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa "Muamala wa Karne" wa Trump
Feb 08, 2020 23:07Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzindua mpango kwa jina la 'Muamala wa Karne' tarehe 28 Januari mwaka huu ambao umewasilishwa eti kwa ajili ya kutatua mzozo wa muda mrefu kati ya Wapalestina na utawala wa Kizayuni, umepingwa vikali ndani na nje ya Marekani.
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu Marekani: Muqawama, njia pekee ya wananchi wa Palestina
Feb 05, 2020 21:49Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Princeton nchini Marekani amesema kuwa mpango wa Marekani na Wayuni kwa jina la Muamala wa Karne umekiuka haki za kimsingi za wananchi wa Palestina na kwamba njia pekee ya wao kuupinga ni kuendesha mapambano.
-
Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
Feb 05, 2020 04:23Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina
-
EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina
Feb 05, 2020 01:16Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.
-
Jumuiya ya Maulama wa Palestina yaharamisha kushirikiana na "Muamala wa Karne"
Feb 02, 2020 09:48Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Palestina imetangaza kuwa, ni haramu kushiriki katika utekelezaji wa mpango wa kibaguzi uliopendekezwa na Marekani na Wazayuni kwa ajili ya kadhia ya Palestina.