Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Ujumbe wa jumuiya za Mayahudi watembelea Saudia kwa siri na kufanya mazungumzo katika kasri la Mfalme Salman

    Ujumbe wa jumuiya za Mayahudi watembelea Saudia kwa siri na kufanya mazungumzo katika kasri la Mfalme Salman

    Feb 15, 2020 23:20

    Kanali ya Kwanza ya televisheni ya Israel imetangaza kuwa ujumbe uliojumuisha viongozi wa jumuiya za Kiyahudi za Marekani ulitembelea Saudi Arabia siku za hivi karibuni na kupokewa katika kasri la Mfalme Salman bin Abdul Azizi Aal Saud mjini Riyadh.

  • Saudia yaanzisha wimbi jipya la kuwatia mbaroni Wapalestina

    Saudia yaanzisha wimbi jipya la kuwatia mbaroni Wapalestina

    Feb 14, 2020 04:02

    Utawala wa Aal-Saud umeanzisha wimbi jipya la kuwakamata na kuwazuilia raia wa Palestina wanaoishi Saudi Arabia kwa madai ya kuiunga mkono Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel

    Mousavi: Iran itatoa jibu kali kwa hatua yoyote ya kijinga ya Israel

    Feb 13, 2020 01:06

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utatekeleza uvamizi au hatua yoyote ya kijinga dhidi ya maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria na katika eneo, basi utawala huo utapokea jibu kali ambalo litakuwa la majuto."

  • Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Rais Abbas kwa Baraza la Usalama: Muamala wa Karne unakiuka maazimio ya UN

    Feb 12, 2020 04:10

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameliambia Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuwa, mbali na mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani uliopewa jina la Muamala wa Karne kukanyaga maazimio ya umoja huo, pia unakiuka mamlaka na uhuru wa kujitawala Palestina.

  • Palestina yaishukuru Iran kutokana na misimamo yake chanya katika kutetea taifa hilo

    Palestina yaishukuru Iran kutokana na misimamo yake chanya katika kutetea taifa hilo

    Feb 11, 2020 04:05

    Balozi wa Palestina mjini tehran amepongeza misimamo imara na tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu haki za taifa hilo hususan msimamo wake wa kupinga mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne.

  • Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa

    Wawakilishi 107 wa Kongresi ya Marekani wapinga mpango wa "Muamala wa Karne" wa Trump

    Feb 08, 2020 23:07

    Hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuzindua mpango kwa jina la 'Muamala wa Karne' tarehe 28 Januari mwaka huu ambao umewasilishwa eti kwa ajili ya kutatua mzozo wa muda mrefu kati ya Wapalestina na utawala wa Kizayuni, umepingwa vikali ndani na nje ya Marekani.

  • Mhadhiri wa Chuo Kikuu Marekani: Muqawama, njia pekee ya wananchi wa Palestina

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu Marekani: Muqawama, njia pekee ya wananchi wa Palestina

    Feb 05, 2020 21:49

    Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Princeton nchini Marekani amesema kuwa mpango wa Marekani na Wayuni kwa jina la Muamala wa Karne umekiuka haki za kimsingi za wananchi wa Palestina na kwamba njia pekee ya wao kuupinga ni kuendesha mapambano.

  • Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Feb 05, 2020 04:23

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

  • EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    EU yapinga njama za Trump dhidi ya Wapalestina

    Feb 05, 2020 01:16

    Umoja wa Ulaya umepinga mpango uliopendekezwa na Rais Donald Trump wa Marekani ambao unakandamiza haki za taifa la Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne" ukisisitiza kuwa, mpango huo unakanyaga sheria za kimataifa.

  • Jumuiya ya Maulama wa Palestina yaharamisha kushirikiana na

    Jumuiya ya Maulama wa Palestina yaharamisha kushirikiana na "Muamala wa Karne"

    Feb 02, 2020 09:48

    Jumuiya ya Wanazuoni wa Kiislamu wa Palestina imetangaza kuwa, ni haramu kushiriki katika utekelezaji wa mpango wa kibaguzi uliopendekezwa na Marekani na Wazayuni kwa ajili ya kadhia ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS