Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Arab League yapinga

    Arab League yapinga "Muamala wa Karne", yatoa onyo kali kwa Israel

    Feb 02, 2020 07:28

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi wanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) wamepinga mpango eti wa amani uliopendekelezwa na Marekani kwa ajili ya mgogoro wa Wapalestina na utawala wa kizayuni wa Israel maarufu kwa jina la "Muamala wa Karne".

  • Rouhani: Muamala wa Karne ni muamala wa fedheha na chuki

    Rouhani: Muamala wa Karne ni muamala wa fedheha na chuki

    Feb 02, 2020 04:08

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja 'Muamala wa Karne' kama mpango wa Marekani wa kufedhehesha, aibu na wenye kuchukiza.

  • Kikosi cha Quds cha IRGC kuendelea kuwaunga mkono Wapalestina

    Kikosi cha Quds cha IRGC kuendelea kuwaunga mkono Wapalestina

    Feb 02, 2020 03:58

    Kamanda mpya wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuwaunga mkono Wapalestina na kuhakikisha kuwa ndoto zao za kuwa taifa huru zinafanikiwa.

  • Mamia waandamana Tel Aviv na London kupinga 'Muamala wa Karne'

    Mamia waandamana Tel Aviv na London kupinga 'Muamala wa Karne'

    Feb 02, 2020 03:51

    Mamia ya watu wamefanya maandamano katika barabara za mji mkuu wa utawala haramu wa Israel, Tel Aviv kulaani "Muamala wa Karne" uliozinduliwa hivi karibuni na Rais Donald Trump wa Marekani, anayedai kuwa mapendekezo yaliyomo kwenye mpango huo ghalati yataleta suluhu ya amani ya mgogoro baina ya Israel na Palestina.

  • Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yasema haitaacha kuwaunga mkono Wapalestina

    Jumuiya ya Nchi za Kiarabu yasema haitaacha kuwaunga mkono Wapalestina

    Feb 01, 2020 09:40

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu amekosoa tangaza la mpango wa Marekani na Israel ambao ni maarufu kama 'muamala wa karne' kwa ajili ya kutatua kadhia ya Palestina na kusema nchi za Kiarabu katu hazitaliacha taifa la Palestina peke yake.

  • Wapalestina kadhaa wajeruhiwa baada ya askari wa Israel kuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa

    Wapalestina kadhaa wajeruhiwa baada ya askari wa Israel kuuhujumu Msikiti wa Al Aqsa

    Jan 31, 2020 11:38

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na utawala huo na kuwajeruhi Wapalestina kadhaa waliokuwa wamefika hapo kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.

  • Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautazaa matunda

    Kiongozi Muadhamu: Muamala wa Karne kamwe hautazaa matunda

    Jan 30, 2020 10:09

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema pendekezo la Marekani lililopewa jina la 'Muamala wa Karne' katu halitazaa matunda kwa Rehema za Mwenyezi Mungu.

  • Muamala wa Karne; usaliti wa wazi dhidi ya Palestina kutokana na makosa ya kistratijia ya baadhi ya Waarabu

    Muamala wa Karne; usaliti wa wazi dhidi ya Palestina kutokana na makosa ya kistratijia ya baadhi ya Waarabu

    Jan 29, 2020 08:50

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kwamba kile kinachotajwa kuwa 'Muamala wa Karne' kwa hakika ni 'Hiana na Usaliti' dhidi ya taifa la Palestina.

  • Palestina yaomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Palestina yaomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Jan 28, 2020 21:58

    Mamlaka ya Ndani ya Palestina (PA) imeomba kikao cha dharura cha Jumuiya ya Nchi za Kiarabu baada ya kuzinduliwa kile ambacho Marekani imekitaja kuwa 'Muamala wa Karne' kuhusu kadhia ya Palestina.

  • Larijani: Lengo la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha Waislamu

    Larijani: Lengo la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha Waislamu

    Jan 28, 2020 08:28

    Spika wa Majilisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema madhumuni ya njama za Marekani dhidi ya Wapalestina kwa jina la 'Muamala wa Karne' ni kuwadhalilisha na kuwatweza Waislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS