-
Rais wa Palestina azitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia "Muamala wa Karne" wa Trump
Jan 28, 2020 02:58Rais wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amezitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia uzinduzi wa mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na mgogoro wa Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".
-
Jihadul Islami: "Muamala wa Karne" hautakwamisha mapambano ya kupigania uhuru ya Wapalestina
Jan 26, 2020 04:06Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuwa maamuzi yasiyo sahihi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mpango wa "Muamala wa Karne" hayana thamani yoyote. Amesema kuwa mpango huo hautakwamisha mapambano ya wananchi wa Palestina.
-
Hamas: Hatutaruhusu Mpango wa ‘Muamala wa Karne” utekelezwe
Jan 25, 2020 23:22Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, katu haitaruhusu mpango uliojaa njama wa Marekani-Israel wa Muamala wa Karne utekelezwe na kufikia malengo yake machafu.
-
Askari wa Israel wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Waislamu kuswali Ijumaa
Jan 24, 2020 13:30Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti mtukufu wa al Aqsa na kuwajeruhji Wapalestina wengi katika viwanja vya msikiti huo wakiwazuia kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa.
-
Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel Ukanda wa Gaza
Jan 22, 2020 08:28Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi Wapalestina watatu katika uzio wa Ukanda wa Gaza.
-
Maaskofu wa Kikatoliki wataka kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina
Jan 19, 2020 07:56Maaskofu wa Ulaya, America ya Kaskazini na Afrika Kusini amezitaka nchi zao kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina na kusisitiza udharura wa kuwapa Wapalestina haki zao zote.
-
Liverpool FC yawatetea Wapalestina, yakataa udhamini wa Puma kutokana na ushirikiano wake na Israel
Jan 14, 2020 03:20Klabu ya soka ya Uingereza, Liverpool imekataa ufadhili wa kifedha wa kampuni ya Puma ikipinga ushirikiano wa kampuni hiyo na utawala haramu wa Israel. Liverpool imechukua hatua hiyo kutokana na mashinikizo ya mashabiki wa klabu hiyo wanaopinga mauaji na ukatili unaofanywa na Israel dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina.
-
Ripoti: Israel iliwateka nyara Wapalestina 5,500 mwaka 2019
Jan 01, 2020 04:33Shirika moja la kutetea haki za wafungwa limefichua kuwa, kwa akali Wapalestina 5,500 walitekwa nyara au kutiwa mbaroni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka uliomalizika wa 2019.
-
Hamas yakataa mapatano ya aina yoyote na utawala wa Kizayuni
Dec 29, 2019 04:35Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amepinga kufikiwa mapatatano yoyote kati ya harakati hiyo na utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kutoa suhula mbalimbali huko Ghaza mkabala na Hamas kusitisha uvurumishaji wa makombora katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Israel yatishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina
Dec 27, 2019 21:01Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine ametishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina.