Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Rais wa Palestina azitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia

    Rais wa Palestina azitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia "Muamala wa Karne" wa Trump

    Jan 28, 2020 02:58

    Rais wa Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina amezitaka nchi za Kiislamu na Kiarabu kususia uzinduzi wa mpango wa Rais Donald Trump wa Marekani kuhusiana na mgogoro wa Palestina uliopewa jina la "Muamala wa Karne".

  • Jihadul Islami:

    Jihadul Islami: "Muamala wa Karne" hautakwamisha mapambano ya kupigania uhuru ya Wapalestina

    Jan 26, 2020 04:06

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amesema kuwa maamuzi yasiyo sahihi ya Rais Donald Trump wa Marekani kuhusu mpango wa "Muamala wa Karne" hayana thamani yoyote. Amesema kuwa mpango huo hautakwamisha mapambano ya wananchi wa Palestina.

  • Hamas: Hatutaruhusu Mpango wa ‘Muamala wa Karne” utekelezwe

    Hamas: Hatutaruhusu Mpango wa ‘Muamala wa Karne” utekelezwe

    Jan 25, 2020 23:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetangaza kuwa, katu haitaruhusu mpango uliojaa njama wa Marekani-Israel wa Muamala wa Karne utekelezwe na kufikia malengo yake machafu.

  • Askari wa Israel wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Waislamu kuswali Ijumaa

    Askari wa Israel wavamia Msikiti wa al Aqsa, wawazuia Waislamu kuswali Ijumaa

    Jan 24, 2020 13:30

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamevamia Msikiti mtukufu wa al Aqsa na kuwajeruhji Wapalestina wengi katika viwanja vya msikiti huo wakiwazuia kutekeleza ibada ya Swala ya Ijumaa.

  • Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Wapalestina 3 wauawa shahidi na jeshi la Israel Ukanda wa Gaza

    Jan 22, 2020 08:28

    Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewaua shahidi kwa kuwapiga risasi Wapalestina watatu katika uzio wa Ukanda wa Gaza.

  • Maaskofu wa Kikatoliki wataka kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina

    Maaskofu wa Kikatoliki wataka kutambuliwa rasmi nchi huru ya Palestina

    Jan 19, 2020 07:56

    Maaskofu wa Ulaya, America ya Kaskazini na Afrika Kusini amezitaka nchi zao kuitambua rasmi nchi huru ya Palestina na kusisitiza udharura wa kuwapa Wapalestina haki zao zote.

  • Liverpool FC yawatetea Wapalestina, yakataa udhamini wa Puma kutokana na ushirikiano wake na Israel

    Liverpool FC yawatetea Wapalestina, yakataa udhamini wa Puma kutokana na ushirikiano wake na Israel

    Jan 14, 2020 03:20

    Klabu ya soka ya Uingereza, Liverpool imekataa ufadhili wa kifedha wa kampuni ya Puma ikipinga ushirikiano wa kampuni hiyo na utawala haramu wa Israel. Liverpool imechukua hatua hiyo kutokana na mashinikizo ya mashabiki wa klabu hiyo wanaopinga mauaji na ukatili unaofanywa na Israel dhidi ya raia wasio na hatia wa Palestina.

  • Ripoti: Israel iliwateka nyara Wapalestina 5,500 mwaka 2019

    Ripoti: Israel iliwateka nyara Wapalestina 5,500 mwaka 2019

    Jan 01, 2020 04:33

    Shirika moja la kutetea haki za wafungwa limefichua kuwa, kwa akali Wapalestina 5,500 walitekwa nyara au kutiwa mbaroni na askari wa utawala wa Kizayuni wa Israel mwaka uliomalizika wa 2019.

  • Hamas yakataa mapatano ya aina yoyote na utawala wa Kizayuni

    Hamas yakataa mapatano ya aina yoyote na utawala wa Kizayuni

    Dec 29, 2019 04:35

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amepinga kufikiwa mapatatano yoyote kati ya harakati hiyo na utawala wa Kizayuni kwa ajili ya kutoa suhula mbalimbali huko Ghaza mkabala na Hamas kusitisha uvurumishaji wa makombora katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Israel yatishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina

    Israel yatishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina

    Dec 27, 2019 21:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa mara nyingine ametishia kuwaua kigaidi viongozi wa Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS